Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

  • Redirect
Vyama vya upinzani nchini Namibia vyapinga uteuzi wa jaji katika tume ya uchunguzi ya Tanzania. Vyama viwili vya upinzani nchini Namibia vimepinga uteuzi wa Naibu Jaji Mkuu wa nchi hiyo, Petrus...
0 Reactions
Replies
Views
Wanabodi, Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa, zenye swali la msingi, kisha majibu utayatoa wewe. Swali la leo la bandiko hili ni kuhusu hoja ya...
9 Reactions
36 Replies
2K Views
Au zoezi la uhamasishaji uchangiaji limesitishwa kwa muda mitandaoni na linaendelea kimkakati kimya kimya kule field ground, moja kwa moja, nyumba kwa nyumba kwa wananchi? Maana ghafla tu...
3 Reactions
38 Replies
328 Views
Tarehe 11/12/2014 Pale Mwitongo walikuwapo watu kwa kikao cha Siri hasa Mzee Mkapa ndo alishnikiza kikao kufanyika, nakumbuka tulikuwa watu saba! Kulikuwa na Threat ndani ya CCM yaan Lowassa, na...
36 Reactions
122 Replies
3K Views
Kichwa cha habari chahusika. Rais Samia amemteua Paul Kadushi kuwa Katibu wa Tume ya Jaji Lila. Paul Kadushi ndiye muasisi wa muenendo mbaya wa mawakili wa serikali dhidi ya wapinzani kipindi...
13 Reactions
20 Replies
356 Views
Msiache comedy hizi zikapita bila kukemewa. Tafuteni wataalamu wa sheria, siasa, psychology, philosophy and the like fields to counter these movies. Msiache bila kutoa strong statements against...
2 Reactions
0 Replies
55 Views
https://www.youtube.com/watch?v=lTwq-sOG2Is Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akizindua Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Wahusika wa Ghasia na Ukiukwaji wa Sheria...
6 Reactions
69 Replies
1K Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Anaweza Kuongoza Taifa letu kwa mafanikio Makubwa kabisa hata bila...
0 Reactions
32 Replies
155 Views
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk Anna Henga ametoa maoni yake kuhusu Tume iliyoundwa na Rais Samia Suluhu Hassan ya Kuchunguza Ghasia za Oktoba 29, 2025...
3 Reactions
12 Replies
192 Views
Ujue haya mambo inatakiwa kukaa kwa makini na kuyataftia ufumbuzi wa kina. Alianza Ndugai akaona Mwanga kama Sauli akawa Paulo...mkamshinikiza na kina Msukuma wakiwa mstari wa mbele.. Mzee wa...
0 Reactions
5 Replies
96 Views
Siandiki chochote, zaidi hangaika mwenyewe na. Picha UJUMBE: HATUTAKI MARIDHIANO NA SHETANI
30 Reactions
89 Replies
1K Views
Nchimbi amekuwa akitoa kauli zinazojitenga na mambo ya aibu na ukatili yanayotendwa na Samia pamoja genge lake Kikao cha Kamati Kuu CCM kilichofanyika Unguja kimevuja kuwa Nchimbi atapelekwa...
26 Reactions
70 Replies
1K Views
Mfumo wa T-CAMS ni Mageuzi ya Kidijitali Yanayojenga Uwazi, Ufanisi na Ushindani katika Sekta ya Uwakala wa Forodha Tanzania Utangulizi Katika dunia ya sasa, ushindani wa biashara haupimwi tena...
0 Reactions
2 Replies
77 Views
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema wakazi wa Mkoa huo wana kila sababu ya kumshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kutokana na maendeleo yaliyofanyika katika miradi ya...
1 Reactions
17 Replies
187 Views
Mfumo wa T-CAMS ni Mageuzi ya Kidijitali Yanayojenga Uwazi, Ufanisi na Ushindani katika Sekta ya Uwakala wa Forodha Tanzania Utangulizi Katika dunia ya sasa, ushindani wa biashara haupimwi tena...
0 Reactions
1 Replies
67 Views
Hii Vita itakuwa kama ya Israel na Palestina. Kila Mtu anadai Tanga ni ardhi yake. Wakulima wa Tanga wanadai Wafugaji ndo wamewafuata. Na Wafugaji wanadai Serikali ndo iliwaelekeza Wapeleke...
1 Reactions
2 Replies
75 Views
Huu ni mtegon mkubwa. Kujalalisha uovu.. Matais wa nchi zilizoleta majaji ni birds of the same feathers fly together! Uganda haina Independent judiciary, pia Namibia! Museveni ni dikitaita namba...
3 Reactions
2 Replies
78 Views
Bila katiba za kidemokrasia kwa Tanzania na Uganda uwekezaji hauna uhakika Tanzania haina katiba ya kueleweka na Raisi wajao wanaweza kufanya lolote kwa katiba hii ya kirojo. Uganda nao uongozi ni...
0 Reactions
1 Replies
27 Views
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wanawake wa Chama cha Wakulima (AAFP) Taifa, Shani Ally Kitumbua, amemkosoa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, John Heche kutokana na...
6 Reactions
57 Replies
783 Views
Bila Chadema chama kikuu kwa mbali sana Tanzania hakuna maridhiano yeyote ya ukweli ni maigizo tu ya kujidanganya na kulaghai watanzania. Bila katiba hakuna Dira! yeyote inaweza kufanikiwa kwa...
4 Reactions
3 Replies
41 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…