Rais Samia katika kikao na vyama vya siasa leo Julai 30, 2026 amesema hali ya kisiasa nchini inaendelea kuwa nzuri, akibainisha kuwa licha ya hali hiyo, bado kuna upande mmoja ambao unaendelea...
Hamjambo!
Polls zinazoendelea humu JF, Mpaka sasa WanaCCM wenye ushawishi humu JF ambao wanaweza kuipeperusha tiketi ya urais kupitia CCM ni Emanuel Nchimbi ambaye kwa sasa ni Makamu wa Rais, na...
SERIKALI KUANGALIA FURSA ZA MIKOPO KWA WANAOSOMA KOZI FUPI - WAZIRI MKUU
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imepokea ombi la Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) la kutoa fursa ya...
Makamu Mwenyekiti wa ChademaTz Bara leo Julai 29, 2026 akihutubia kwenye mkutano wa ndani wa chama hicho uliofanyika jijini Mwanza ameeleza kuwa kuna gari aina ya Toyota Land Cruiser (hardtop)...
Rais Samia Suluhu Hassan, akizungumza katika kikao na viongozi wa vyama vya siasa kilichofanyika leo, Julai 30, 2026, amesema hakuna mtu mwenye haki ya kudai kuwa nchi ni yake na hivyo kufanya...
Ukiona mtu anafanya kazi ya kumlaumu Heche, lakini hajawahi kuyakemea/ kuyasemea haya listed below, ujue katumwa na mbogamboga kumchafua Heche. Mfukuze kama ana kadi ya chama
1. Akiambiwa kuna...
Mkurugenzi Mstaafu wa TBC, Mr Rioba,nimemsikiliza kidogo akidadavua mambo anuai,
Nimejisikia Vibaya sana kuwa anafanyiwa interview na Mtoto katika Tasnia ya habari, kwenye Maswala mazito na...
Kuna watanzania wengi sasa ambao walikuwa watoto mwaka 2011 wakati mchakato wa kuandika Katiba mpya ulipovurugika.
Kabla ya mchakato wa kuandika Katiba haujaanza upya lazima mjue kwanini mchakato...
Ikiwa imepita siku moja tangu Jeshi la Polisi lifungue milango ya kupokea taarifa za nia ya kufanya mikutano ya hadhara kutoka kwa vyama vya siasa na wadau wengine kwa kuzingatia sheria, kanuni na...
BUSINESS INSIDER AFRICA, JULY 28, 2026
Marekani itasitisha huduma za kawaida za uchakataji wa visa katika ofisi zake za kidiplomasia katika miji 25 barani Afrika kuanzia Agosti 1, ikiwa ni sehemu...
Upi mchango wa Wakristo na Kanisa katika kuutafuta uhuru wa Tanganyika?
Wakristo wa Tanganyika na Kanisa walifanya jitahada gani muhimu kuwandosha Wakaloni Tanganyika?
Mzee Mohamed Said amekuwa...
Ndugu zangu Watanzania,
Embu Fikiria Tanzania ingekuwa katika hali gani kama isingekuwepo CCM madarakani? Watu wangeishi Maisha ya namna na aina gani kama siyo CCM?
CCM ndio imefanya Taifa hili...
M. M. Mwanakijiji
Professor Issa Shivji remains a flickering light of intellectual courage atop a hill darkened by clouds of fear and compromise. Among Tanzania's intellectual elite—in academia...
Nimefuatilia Clip ya John Heche kuhusiana na Kufuatiliwa na gari aina ya Toyota LandCruiser Hardtop Nyeupe, Pale unapoona Viashiria kama hivyo toa taarifa polisi ili waweze kuchunguza nchi ina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.