Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Huu ukweli ambao ukiusema mbele ya viongozi wa vyama hawa utaishia kuonekana we ni mtu wa ajabu, CCM chama hiki kimejikita sana kuwa cha kuwaficha wafanya biashara wakubwa wakwepa kodi, wanofanya...
15 Reactions
174 Replies
14K Views
Uwa nikiandika wananinanga sana 1. Nilisema kuhusu Mbowe kuachia madaraka nikakangwa 2. Nikasema uhuni wa kumpeleka Lowassa CDM nikanangwa 3. Nikasema Covid 19 Mnyika na Mbowe walipanga nikanangwa...
11 Reactions
24 Replies
1K Views
Ukija kwa sasa nje ya Nyerere ambaye aliweza kukiri makosa yake kadhaa na kukosoa chama chake! Naona mwingine anayeweza kuthubutu ni Tundu A Lissu, CHADEMA ni chama tegemeo la Ukombozi kwa...
2 Reactions
12 Replies
970 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chadema John Heche ameingia mitaani kuomba wananchi wachangie chama chake hela za kuendeshea baraza kuu Taarifa zingine zinaeleza kwamba wananchi wamefurika n.a. kuvuruga...
17 Reactions
33 Replies
700 Views
Baada ya Siku 33 kutoka siku ambayo Waziri wa Mambo ha Ndani Patrobas Katambi kuzuia milutano ya vyama vya siasa, Jeshi la Polisi limesema kutokana na hali ya nchi kuwa shwari, vyama vya siasa...
21 Reactions
57 Replies
1K Views
Aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP Mstaafu), Omar Mahita, ameshikilia msimamo wake wa kimfumo akisisitiza kuwa chombo hicho kina uwezo kamili wa kujiendesha chenyewe kiutendaji bila...
6 Reactions
51 Replies
863 Views
Wanaogopana au ufisadi ndani ya chadema ndio mtindo wa maisha ya viongozi wao hasa wa kitaifa? Chadema hawajui kwamba ufisadi ni adui wa haki? Au chadema wanapambania haki za mafisadi kama yule...
4 Reactions
64 Replies
458 Views
Kwamba nyinyi mnaofanya Porojo dhidi ya HECHE, mnajijua CHADEMA kuliko LISSU??. Unakuta kajitu ni kakatibu ka BAVICHA huko matopeni, hawajawahi hata Kuona HECHE Uso kwa Uso, hakachangii hata...
3 Reactions
10 Replies
134 Views
Nawasalimia ndugu zangu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Moja kati ya salamu bora kabisa ya nyakati zetu. Mama tangu ashike madaraka amekuja na surprise nyingi sana mojawapo ni uteuzi...
1 Reactions
27 Replies
4K Views
Wakuu naomba msaada. Inakuwaje binadamu mzima akakubali ima kwa kutaka, kujituma, au kulazimika kuwa chawa? Inakuwaje kiongozi mzima akakosa busara, falsafa na. hekima hata akaja na sera ya...
6 Reactions
18 Replies
206 Views
Nitofautiane na makada wenzangu kwenye swala Zima la desturi kuifanya sheria ndani ya chama! Hatuna Cha kuogopa Wala kupoteza kwenye mchakato wa ndani wa kumpata mgombea mpya hapo 2025, ninaamini...
2 Reactions
7 Replies
748 Views
Leo Nampa heshima mtu mmoja. Max Mello Mmiliki wa Jamiiforums. Katika kipindi ambacho serikali ilimuwinda, ikimtaka atoee siri za wachangiaji mada mbalimbali... alisimama imara...
70 Reactions
82 Replies
2K Views
Waungwana tunashukuru Kwa kile kilichotokea jana kuhusu vyeo vya watumishi wa umma na badiliko la mishahara tuliloliona, tuliteseka Kwa muda mrefu sana tukifanya KAZI ya punda bila badiliko lolote...
12 Reactions
47 Replies
2K Views
  • Redirect
Rais Samia katika kikao na vyama vya siasa leo Julai 30, 2026 amesema hali ya kisiasa nchini inaendelea kuwa nzuri, akibainisha kuwa licha ya hali hiyo, bado kuna upande mmoja ambao unaendelea...
5 Reactions
Replies
Views
Hamjambo! Polls zinazoendelea humu JF, Mpaka sasa WanaCCM wenye ushawishi humu JF ambao wanaweza kuipeperusha tiketi ya urais kupitia CCM ni Emanuel Nchimbi ambaye kwa sasa ni Makamu wa Rais, na...
3 Reactions
81 Replies
745 Views
https://vt.tiktok.com/ZS4J6KuBH/ Soon veri soon....
19 Reactions
93 Replies
3K Views
SERIKALI KUANGALIA FURSA ZA MIKOPO KWA WANAOSOMA KOZI FUPI - WAZIRI MKUU WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imepokea ombi la Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) la kutoa fursa ya...
0 Reactions
0 Replies
42 Views
Hii ndio Taarifa mpya inayozunguka mitandaoni kwa sasa, tuendelee kuichukulia kama tetesi Kwa Taarifa zaidi usiondoke JF
30 Reactions
191 Replies
3K Views
Makamu Mwenyekiti wa ChademaTz Bara leo Julai 29, 2026 akihutubia kwenye mkutano wa ndani wa chama hicho uliofanyika jijini Mwanza ameeleza kuwa kuna gari aina ya Toyota Land Cruiser (hardtop)...
8 Reactions
40 Replies
752 Views
Back
Top Bottom