Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

RCO-Mbeya na polisi wamefika nyumbani kwa Mdude_Nyagali kuchukua sampuli ya damu iliyomwagika na kufanya uchunguzi. Moyo wangu umejaa hofu. Sioni mwisho mzuri katika habari hii. Hali ilivyo hadi...
12 Reactions
87 Replies
6K Views
  • Featured
Faiza Ally amedai kuwa mfanyabiashara Niffer amepigwa sana na amechukuliwa na watu wasiojulikana, Niffer ambaye kwa siku za ivi karibuni amekuwa akionekana kucheza Challenge Nywinywi katika kurasa...
11 Reactions
214 Replies
9K Views
Wakuu, Rais Samia ameyasema baada ya kupokea Ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Yaliyotokea Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025, tarehe 23 Aprili...
1 Reactions
9 Replies
381 Views
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, Bungeni Dodoma leo Mei 25, 2026 akiwasilisha bajeti ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2026/2027 "Katika mwaka wa fedha 2026/2027, Wizara...
1 Reactions
13 Replies
267 Views
Sasa hivi kila neno la CHADEMA ni Sheria kwa Wananchi. Na huu ujumbe umfikie msajili wa Vyama vya siasa Nchi, Nyahoza na Mtungi. Maamuzi ya Msajili wa vyama ni kumfurahisha Samia na Genge lake...
13 Reactions
29 Replies
475 Views
Ndugu zangu Watanzania, CCM ni chama chenye akili kubwa sana ,ni chama chenye uwezo mkubwa sana wa kijasusi na mbinu za kijasusi na kijeshi . CCM ndio Maana inaitwa chama kiongozi Barani...
3 Reactions
54 Replies
832 Views
Mbunge wa Jimbo la Malindi, Muhsin Haji Ussi akichangia hoja Bungeni Dodoma leo Mei 25, 2026 "Wanadamu wengi tuna tabia na mapungufu ya kutokujua thamani ya kitu ambacho tunacho. Thamani hii...
3 Reactions
34 Replies
410 Views
Siku za hivi karibuni nimemsikia msajili msaidizi wa vyama vya siasa ndugu Sisty Nyahoza akikiri hadharani kuwa pamoja na ukubwa wa CCM lakini wamekuwa wanatii na kuwajibika kwa makosa mbalimbali...
1 Reactions
6 Replies
136 Views
Akizungumza Jaji Chande leo wakati anakabidhi anakabidhi Ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Yaliyotokea Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025, tarehe 23...
0 Reactions
13 Replies
432 Views
Mbunge wa Tunduru Kaskazini (ACT Wazalendo), Ado Shaibu, ameibana serikali akitaka majibu na maelezo ya ziada kufuatia tukio la karibuni kabisa la kutekwa kwa David Jumbe, msaidizi wa Mwenyekiti...
1 Reactions
15 Replies
275 Views
Samia, katuharibia Nchi. Zamani tulikuwa tunamuona Polisi tunakimbia.. Tukimuona na bunduki tunazima. Lakini baada ya mauaji ya 29.10.2025, ambayo Samia alikuwa analazishia kuingia madarakani...
10 Reactions
12 Replies
301 Views
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi amesema kuwa amani iliyopo nchini kwa kiasi kikubwa imechangiwa na kazi kubwa inayofanywa na majeshi ya ulinzi na usalama, huku akitoa wito kwa...
3 Reactions
21 Replies
321 Views
Tuliwaonya Hawa Wauaji, Marekani na Ulaya hazitautambua Uchaguzi wa Okt 29. Tukawaonya, Baada ya Okt 29 Hali zenu zitakua Ngumu sana . Tukawaonya ACHENI VITA NA KANISA , Acheni Kabisa ...
23 Reactions
59 Replies
1K Views
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi amesema kuwa serikali itachukua hatua kali dhidi ya mtu yeyote atakayesambaza taarifa za uongo dhidi ya serikali au mtu binafsi. Amesema hata...
1 Reactions
11 Replies
234 Views
HOJA HUJIBIWA KWA HOJA: TAIFA LISIPOHESHIMU LOGIC HUTAWALIWA NA KELELE, HOFU NA USANII WA UONGO Na Silvio Mnyifuna “Logic is a practical science of correct thinking.” Hii si sentensi ya...
3 Reactions
1 Replies
121 Views
Kama mnavyofuatilia siasa za nchi yetu hivi sasa, kuna wimbi kubwa la wanachama waliokihama chama na kukipigia kelele nyingi za kashfa wakiondoka, lakini sasa hivi wanarudi CHADEMA kwa kasi ya...
42 Reactions
155 Replies
2K Views
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amesema "Wizara kupitia Jeshi la Polisi imepokea Tsh. Bilioni 247.48 kwa ajili ya ununuzi wa magari 412 na pikipiki 29 za kuongozea misafara"...
3 Reactions
14 Replies
292 Views
Sikiliza clip! Sina la kuongeza , si mimi bali Ado Shahibu! Hotuba ya jana ya Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba imewakosea sana Watanzania na ACT Wazalendo tusipoweza kusimama kwa kujaiamini na kuusema...
4 Reactions
1 Replies
253 Views
  • Redirect
Mama yake Magufuli afariki Dinia
0 Reactions
Replies
Views
Adui yetu ni Genge la Samia , Genge la MAFWELE, Genge la Msoga. Adui yetu ni Mtanzania yoyote ambaye ama kwa Nafasi yake ametumika Kushabikia, Kutekeleza au kufunika Matukio ya Utekaji, Uuaji...
2 Reactions
7 Replies
161 Views
Back
Top Bottom