Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Vita ya majimaji iliongozwa na Kinjeketile na akaweza kuwashawishi wananchi wengi vijana wakajiunga na jeshi lake. Vita ya majimaji ilikuwa na wapiganaji walikuwa na Imani kubwa kuwa watawashinda...
0 Reactions
0 Replies
32 Views
Watu wa malawi mnamkumbuka uyo mama?
1 Reactions
9 Replies
207 Views
Hapo juu wanakabana koo, Kuna mkuu hatamaliza miaka miwili hapo top! Kisa anatamani nafasi ya Mkuu wake zaidi Mambo yanayopikwa yako beyond belief! Kampango ka kufanya bibi aendelee 2030 eti...
28 Reactions
72 Replies
3K Views
Hii Nafasi ilikuwa ikitumika kama Nafasi ya kumpooza uchungu,mzanzibari yoyote AMBAE atagombea uraisi zanzibari na akakatwa na halimashauri kuu ya ccm baada ya kubaini yakuwa mgombea aliyekatwa...
1 Reactions
0 Replies
51 Views
Suala la kuachia ngazi kwa Nchimbi ni hatua muhimu katika mapinduzi ya Umma. Serikali huanguka pale maafisa ndani ya dola, chama tawala na Jeshi huachia ngazi na kuwaunga mkono wananchi...
0 Reactions
2 Replies
110 Views
Mohamed Mchengerwa ni Waziri mwenye kifua kipana. Ni Waziri mchapajazi kuliko mawaziri wote. Hakika Nafasi ya Makamu wa Rais inamtosha sana.
1 Reactions
26 Replies
370 Views
Hakuna mtu anamfikia John Mongela kwa sasa. Ni mwadilifu, mnyenyekevu, mtiifu. Wanaoweza kufuatia Innocent Bashungwa, Dotto Biteko
0 Reactions
9 Replies
170 Views
Wanabodi Makala yangu Gazeti la Mwananchi la Jumatano hii. TAAMULI HURU: Si lazima kila ukweli usemwe hadharani Jumatano, Januari 08, 2025 By Paschal Mayalla Japo makala zangu zinajikita zaidi...
10 Reactions
54 Replies
2K Views
Wanabodi. Kama kawaida yangu, kila nikipata muda, nashuka na zile makala zangu elimishi za KMT - "Kwa Maslahi ya Taifa". Mada ya leo ni swali la kitu kinachoitwa "the morality of telling the...
23 Reactions
223 Replies
25K Views
Hatimaye code zimeanza kufunguka, video hii ya miezi mitano iliyopita, akiwa Bungeni, Dkt. Godwin Mollel aliyasema haya kuhusu watu aliodai wanachokonoa Ikilu, kwamba yeyote anayefanya hivyo ni...
0 Reactions
2 Replies
206 Views
Kuna kitu kinachonifanya niitazame sana tarehe 4 September 2026 kwenye kujiuzulu kwa Dr Emmanuel Nchimbi. Sidhani kama tarehe hiyo imechaguliwa kwa bahati mbaya. Nchimbi ameamua kuondoka rasmi...
2 Reactions
2 Replies
346 Views
Hekima kubwa itumike juu ya nani awe mbadala. Ni kweli, saa nyingine ujasiri hutakikana katika siasa, ila si mara zote. Na gumu zaidi ni kugundua muda gani ni muwafaka. Ah! Laiti ningekuwa na...
0 Reactions
6 Replies
186 Views
Daah kwa hakika Mungu ana namna yake ya kufanya kazi!!. Hakuna Mwanadamu alitegemea Anguko ka CCM lingekuja kwa style hii R.I.P in Advance !!.
10 Reactions
31 Replies
457 Views
Tuliyemtarajia atamfunga paka kengele, kaamua kukaa pembeni Huyu alifikiriwa ataleta Imani, tumaini na hali mpya ya kupoza joto linalo panda kati ya Shume na panya wa mwituni. Sasa kaamua...
0 Reactions
2 Replies
111 Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, amebainisha kuwa chama chao kiliandika barua kwenda Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) kulalamikia matumizi ya kisiasa yanayofanywa kupitia klabu...
9 Reactions
38 Replies
626 Views
Bibi Titi Mohamed na wenzake walihukumiwa kifungo cha maisha gerezani kwa makosa ya uhaini ya kutaka kuipindua serikali ya Nyerere mwaka 1970. Kwa nini amekuwa anaenziwa kwa kupewa Barabara yenye...
1 Reactions
3 Replies
73 Views
Wanabodi, Naomba kuanza bandiko hili kwa angalizo. Hakuna jina la mtu yeyote limetajwa, naomba na wewe mchangiaji, usitaje jina la mtu yeyote!. Pomoja na hii taarifa ya gazeti la The Citizen...
39 Reactions
107 Replies
2K Views
Wakati Tanzania ikishuhudia mabadiliko mapya katika uongozi baada ya Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, kutangaza kujiuzulu na kustaafu siasa pamoja na utumishi wa umma, kuna wimbo ambao...
0 Reactions
0 Replies
34 Views
Kati ya mzee JOSEPH BUTIKU na Dr. EMMANUEL NCHIMBI nani ana busara? (Hatima ya mkoa mkoa wa RUVUMA na viongozi wake Kwa waliosahau, Dr. Nchimbi ndiye alikuwa mbunge wa Jimbo la Songea mjini...
0 Reactions
2 Replies
659 Views
Kuna very reliable trusted sources viungani ubalozi Sweden. Ni vijana wangu wana ni brief kila mara maswala sensitive ya taifa le kuwa Kitila Mkumbo akae standby. Ikumbukwe Kitila ndo alikuwaga...
16 Reactions
67 Replies
2K Views
Back
Top Bottom