akaunti ni yake na pesa iliingia. Full stop.Naomba kujua huyu Salman Nileshi anaehusishwa kwenye sakata la John Heche n nani hasa na kwann anamsaidia Heche
View attachment 3670711

Kwa hiyo huyo ndiyo umbea mnaofurahia?Naomba kujua huyu Salman Nileshi anaehusishwa kwenye sakata la John Heche n nani hasa na kwann anamsaidia Heche
View attachment 3670711
Mkuu kimya pm sana Tlaatlaah nimekuona Nina shidaakaunti ni yake na pesa iliingia. Full stop.![]()
Michango ya 2024? Nadhani wanataka kutrngeneza propaganda.Hiyo Hela iliingizwa straight kwenye account ya Heche na Wakala...
Sasa Heche hajui nani kaweka...
Ni game flani hivi wanacheza kuonyesha jamaa ana neemeka na michango...
Naomba kujua huyu Salman Nileshi anaehusishwa kwenye sakata la John Heche n nani hasa na kwann anamsaidia Heche
View attachment 3670711
Utafanyaje sasa wewe choko, baada ya kutekekeza Eda.akaunti ni yake na pesa iliingia. Full stop.![]()
Naomba kujua huyu Salman Nileshi anaehusishwa kwenye sakata la John Heche n nani hasa na kwann anamsaidia Heche
View attachment 3670711
Hiyo si kesi ya msingi, kesi ya msingi inamuhusu mhe. Lissu hayo mengine ni kuiyumbisha kesi baada ya kuendelea upande wa mashitaka kuendelea kukosa ushahidi wa ugaidi wa Lissu.Naomba kujua huyu Salman Nileshi anaehusishwa kwenye sakata la John Heche n nani hasa na kwann anamsaidia Heche
View attachment 3670711
Kwanini huyu aliemwekea Heche hizo pesa hiyo risit aitoe kwa mawakili?Michango ya 2024? Nadhani wanataka kutrngeneza propaganda.
Si kweli. Own wa State Oil ni Anil Nilesh Suchak
Naomba kujua huyu Salman Nileshi anaehusishwa kwenye sakata la John Heche n nani hasa na kwann anamsaidia Heche
View attachment 3670711
TUMSIKILIZE NALESH MWENYEWE KISHA TUMUULIZE TENA HECHE, JE NALESH ANAMJUA? Akizungumza kuhusu suala hilo, Nilesh alisema Heche ni mfanyabiashara mwenzake katika sekta ya mafuta nchini Kenya, na kwamba mara kadhaa wamekuwa wakisaidiana kifedha kutokana na ushirikiano wao wa muda mrefu.Naomba kujua huyu Salman Nileshi anaehusishwa kwenye sakata la John Heche n nani hasa na kwann anamsaidia Heche
View attachment 3670711
Tatizo maswali ya majaji yamekaa kimtego sana ,unaulizwa Nilish Unamfahamu? Ukiju Ndiyo wanaachia hapo hapo then unatengeneza mjadala huko LUMUMBA kwamba Heche anafahamiana na Nilesh(ambapo siyo kosa) ,Ukisema Simjui ndiyo hivyo wanaenda next stage ya kuweka miamala hapo ndipo BALAA zaidi hata ukija kujieleza wananzengo watakataa.TUMSIKILIZE NALESH MWENYEWE KISHA TUMUULIZE TENA HECHE, JE NALESH ANAMJUA? Akizungumza kuhusu suala hilo, Nilesh alisema Heche ni mfanyabiashara mwenzake katika sekta ya mafuta nchini Kenya, na kwamba mara kadhaa wamekuwa wakisaidiana kifedha kutokana na ushirikiano wao wa muda mrefu.
"Ninachotaka kuweka wazi ni kwamba fedha nilizompa Heche si za CHADEMA wala hazikuhusiana na shughuli zozote za kisiasa. Heche ni mfanyabiashara mwenzangu upande wa mafuta nchini Kenya, hivyo kumpatia fedha kwa ajili ya shughuli zake binafsi ni jambo la kawaida kwetu na si mara ya kwanza kufanya hivyo," alisema Nilesh.
CCM na mawakili wake vilaza wanajidhalilisha tu.