ok.🐒Hellow wana JF.
"Siumwi, sina kichomi wanao niombea mabaya watatangulia wao mie nitashiriki mazishi yao". JK.
View attachment 3669615
Una pepo punda usibisheHellow wana JF.
"Siumwi, sina kichomi wanao niombea mabaya watatangulia wao mie nitashiriki mazishi yao". JK.
View attachment 3669615
So he is a killing machine😀 Mzee kashasema ukisema tu anakichomi uje atakuzika wewe kwanza so zingatia mdomo wako mkuu.
Akumbuke kutubu.Of course muda bado so wanadamu watulie waache midomo midomo (Mzee JK kasema).
Hana hiyana mzee wa msoga kutoka yeye the best anafuata Mwinyi bila hao tz ilingekuwa ya kijima😀 Kumi kwa kumi wote mpate.
Hata kama unavyeti feki unapiga pesa ushwindwe wewe tu kilaza wakitanzania.
Sana kwa mzee mwinyi wamezaliwa matajiri wengi sana.Hana hiyana mzee wa msoga kutoka yeye the best anafuata Mwinyi bila hao tz ilingekuwa ya kijima
Kuna kundi linasapoti ujima na ujamaa na kuna lingine linasapoti ubinafsishaji nipo na kundi la piliSana kwa mzee mwinyi wamezaliwa matajiri wengi sana.
Mfano S.Bakhresa, R.Mengi, Rostam alifanikiwa kuendeleza business zake kwa ukubwa n.k
Lile tezi dume liliisha?Hellow wana JF.
"Siumwi, sina kichomi wanao niombea mabaya watatangulia wao mie nitashiriki mazishi yao". JK.
View attachment 3669615