Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Katika hizi teuzi za nafasi kubwa serikalini ni vizuri kuteua watu ambao umri umeenda kidogo ili kulipungizia Taifa gharama ya kuhudumia Wastaafu kwa miaka mingi ijayo. Mtu kama Ndejembi akiwa...
2 Reactions
4 Replies
210 Views
Makamu wa rais aliyelazimika kujiuzulu akadai kajiuliza mwenyewe Emaruel Nchimbi, Japo umeondoka kimya kimya, umeacha kelele kila mahari. Japo, umesema kuwa umeachia ngazi na si kuachiswa...
2 Reactions
6 Replies
179 Views
Naona mfuniko umechagua pipa, hizi nazo ni elimu mbalimbali
19 Reactions
53 Replies
1K Views
Eti Ndejembi ndiye kapendekezwa! Heri hiyo nafasi ingebaki wazi au kupewa Abduli kama siyo Wanuu au Mchengerwa. Tumefikishwa hapa? Natamani huyu awe mzanzibari wa mwisho kuwa rais wetu. Inauma...
3 Reactions
8 Replies
184 Views
Sisi wataalamu wa kuyasoma matukio tumeamshwa tena ...na hatutaacha kuonya na kusema. Wale wale waliowahi kuzandiki Serikali tena kipindi kile kile cha kuelekea uchaguzi wamerudi tena kwa style...
8 Reactions
44 Replies
2K Views
Rais Magufuli amemteuwa Deo Ndejembi kuwa Mkuu mpya wa Wilaya ya Kongwa.Deo anaenda kuziba nafasi ya Mkuu wa Wilaya aliyehamishiwa Mbozi
4 Reactions
69 Replies
20K Views
Maadili ya CCM ni yapi ?
6 Reactions
29 Replies
307 Views
Bila shaka vikao vya kumtafuta Mbadala wa Nchimbi anayempenda yeye Mama, haya nasubiri kuona nani kuketi kiti cha Nchimbi =============== Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri...
3 Reactions
36 Replies
1K Views
Wanabodi, Kama kawaida yangu, siku za Jumapili, nikiwa nimejimpumzikia home baada ya ibada, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu elimishi za KMT, kwa maslahi ya taifa, ambazo ni za kuwafunda...
34 Reactions
372 Replies
18K Views
Naona watu wanasema makamu wa Rais awe mkataliki je ni lazima makamu wa Rais awe mkatoliki Wakatoliki wanajikutaga wao ni watu wa muhimu sana kuliko madhehebu mengine ya wakristo Unajua watu...
12 Reactions
66 Replies
884 Views
Huyu mwanamke ni hatari aisee.. Kakataa katakata kushindwa kirahisi rahisi na asiye upande wake... Je, inaandaliwa kesi ya uhaini dhidi yake...? Inasemekana alikuwa na mipango ya kumpindua boss...
8 Reactions
19 Replies
535 Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA John Heche amesema Viongozi wa mpira ni Wana-CCM, walienda kugombea. Wanatenganishaje mpira na siasa?’ Hatutaki mpira utumike kisiasa unaenda kuangalia mpira usianze...
1 Reactions
12 Replies
227 Views
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu, akiwa katika Chumba cha Mahakama kabla ya kesi kuanza leo Agosti 26, 2026, amesikika akimwambia Makamu Mwenyekiti wa chama...
2 Reactions
4 Replies
232 Views
Nchi imechangamka Hii kweli ni account yake?
14 Reactions
94 Replies
3K Views
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi leo 20 Novemba, 2025 amekabidhiwa rasmi ofisi na aliyekuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Mashaka Biteko kwenye ofisi za wizara...
0 Reactions
3 Replies
355 Views
Wana wa Mungu JF , amani ya Bwana ikawe juu yenu kila mmoja kwa imaniyake popote mlipo. Yupo uyu Bwana mkubwa Dr Nchimbi kwa kujiuzulu hali ya hewa katika mitandao ya kijamii imechafuka balaa...
2 Reactions
10 Replies
240 Views
Kuna tetesi nimezisikia nikiwa maeneo ya Kisutu kwenye kijiwe kimoja ambacho huwa wanakaa wazee wenye habari nyeti. Kuna mpasuko mkubwa sana ndani ya CCM. Mama hakubaliki na wanaCCM zaidi ya...
12 Reactions
24 Replies
713 Views
Nani anakua nani anachukua nafasi ya nani sioni kama ni vitu ambavyo watu GT hatutakiwi kua navyo tuachie watu IG huko. Mkamu wa rais ni cheo kwa...
2 Reactions
11 Replies
152 Views
Kwenye siasa kuwa na msimamo unaoleweka na wa wazi ni jambo muhimu sana la kujenga heshima na kuaminika. Ukiangalia katika siasa za Tanzania BAKWATA wao wamejifungamanisha wazi kabisa na CCM na...
19 Reactions
243 Replies
2K Views
Back
Top Bottom