Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Hii ni kufuru na dhihaka kwa wahanga wa October 29. Watu wameuawa kinyama, hakuna hata mtu mmoja aliyewajibika au kuwajibishwa kwa hayo mauaji ya kikatiri halafu unasema tupo vizuri kisiasa. Hili...
9 Reactions
24 Replies
236 Views
Kuna wabobezi wa masuala haya kama kaka yetu Evarist Chahali watadadavua tetesi tulizopata hizi Nimepenyezewa kwamba mwaka 2015 bwana mkubwa ambaye anaongoza visiwa vya Guam alikuwa na ushindani...
37 Reactions
284 Replies
55K Views
CCM chama changu HUWA mnakurupuka sana,sijui akili zenu HUWA mnamwazima nani wakati wa kupitisha SHERIA tata kama hizo. Hivi mnajua baada ya hapo mnatakiwa muwe makini mnapokosoa serikali!!?yaani...
13 Reactions
15 Replies
3K Views
Akizungumza katika mahojiano na Crown Media Julai 30, 2029, Wakili Peter Madelekea amedai kuwa nchini kuna aina ya "ugaidi wa kisiasa" ambao unatumika kimkakati ili kutengeneza mazingira ya...
1 Reactions
2 Replies
120 Views
Hamjambo! Mimi sijambo Unapoingia kwenye siasa usiingie kichwa kichwa kama panya kwenye shimo ambalo hakulichimba. Asilimia kubwa ya watu siasa kwao ni fursa ya kibiashara na kiuchumi. Wao...
1 Reactions
2 Replies
87 Views
Assalam alaykum Ukisikiliza kwa uzuri kauli ya kiongozi ya jana ukiunganisha na uamuzi wa mahakama ya rufaa utang"amua kuwa huenda mh Tundu Lissu ataachwa huru hivi punde. Serikali imekubali...
14 Reactions
27 Replies
603 Views
Chadema haiwezi kuwa na wazee kama hawa. === Katibu wa Baraza la Wazee la CHADEMA Jimbo la Katavi, Anthony Kalala amesema walipanga kufanya maandamano ili Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA akae...
6 Reactions
23 Replies
418 Views
Wakuu amani ya Bwana iwe juu yenu kila mmoja kwa imani yake popote mlipo Rejea mada Tajwa hapo juu Ccm ni chama cha mda mrefu , ila unaweza jiuliza kwa vijana katika chama husika wote ni vilaza...
11 Reactions
36 Replies
455 Views
Unadhani hii inaweza kua imetokana na nini na inaonyesha picha gani kubwa na ya jumla kisiasa humu nchini? Sifahamu sana ikiwa vyama vingine vya siasa nchini viko katika hali ya kutokubalika kama...
3 Reactions
60 Replies
535 Views
Kichwa cha Marehemu James Temba Chadaiwa kupatikana maeneo ya Kitunda Kibeberu. Ni yule aliyeookotwa Mto msimbazi akiwa anaelea bila kicwa ambapo mwili wake ulisafirishwa kwenda kwao Moshi na...
2 Reactions
83 Replies
2K Views
Na. M. M. Mwanakijiji Inashangaza na inakera kwa wakati mmoja. Mojawapo ya mambo yanayoshangaza sana ni kwa jinsi gani wapinzani uchwara wa CHAUMA wanajitahidi sana kufuatilia mambo yanayoendelea...
25 Reactions
33 Replies
615 Views
Hii Nchi Wenye akili waliuliwa October 29. Endeleeen kupumzika kwa Amani ndugu zetu.🙏
2 Reactions
5 Replies
151 Views
UCHAMISHAJI WA TAASISI ZA UMMA: TISHIO KWA UTAWALA BORA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Katika mfumo wa taifa la kisasa, kuna tofauti kubwa kati ya chama cha siasa, serikali na taifa. Chama...
3 Reactions
0 Replies
55 Views
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Karagwe, Dkt. Benson Bagonza, amekosoa mwelekeo wa mchakato wa Katiba Mpya nchini, akidai kuwa watawala wanajaribu kusukuma...
1 Reactions
2 Replies
81 Views
Nimeziona picha zilizotumwa mtandaoni zikiwaonyesha viongozi wa vyama vya siasa waliokua wakimsikiliza Samia, ama kwa hakika ni aibu na hawatii matumaini kwa Tanzania ijayo. Yani ule ukumbi...
0 Reactions
1 Replies
49 Views
Joseph Mrindoko wa Wachokonozi amesema hakushangazwa na tukio lililomhusisha, akieleza kuwa alilitarajia kutokana na mazingira na upeo wa watu wanaohusika. Amesisitiza kuwa, kwa uelewa wake wa...
1 Reactions
4 Replies
198 Views
Katibu Baraza la Wazee la CHADEMA Jimbo la Katavi, Anthony Mwamba Kalala, ameunga mkono wito uliotolewa na Viongozi wa CHADEMA kwenye Mikoa na Wilaya mbalimbali wa kumtaka Msajili aingie kati...
1 Reactions
34 Replies
624 Views
Hii barabara ndio kipimo cha namna gani mabwenyeye wa CCM hawawajali raia. Kwa basi hii barabara haifai kabisa yaaani ni makorongo tu na rami ilishachoka zaidi ya miaka minne. CCM hawajali kitu.
1 Reactions
5 Replies
142 Views
Tusidanganyane mfumo imara hujengwa na watu majasiri,shupavu na walio imara kwenye kusimamia sheria. je hao watu tunao? Mfumo imara hutegemea wananchi imara wenye kujua sheria na taratibu za nchi...
11 Reactions
49 Replies
4K Views
Rais Samia Suluhu Hassan, akizungumza katika mkutano na viongozi wa vyama vya siasa uliofanyika leo, Julai 30, 2026, jijini Dar es Salaam, amesema jukumu la kuilinda Tanzania ni la kila Mtanzania...
1 Reactions
8 Replies
228 Views
Back
Top Bottom