Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Simulizi ya Sugu toka kwa mkazi wa Géita alivyouawa mama na mtoto wake. Very sad story from Sugu! Akamalizia na MATAKO YENU
2 Reactions
2 Replies
177 Views
Wakuu Waziri mkuu Mwigulu Nchemba akiwa mkoani Iringa anasema: Ujasusi wa dunia hii, ameufuatilia kwa miaka mingi sana. Anaijua michezo mingi. "Najua haya yaliyotokea Ghana, najua yaliyotokea...
1 Reactions
9 Replies
219 Views
Tukio hilo limedaiwa kutokea jana jijini Arusha baada ya gari la matangazo la CHADEMA kugongana na gari la abiria coastal maarufu inaitwa Wamusoma linalofanya safari za Arusha Mjini kwenda...
0 Reactions
4 Replies
171 Views
Narudia kusema siasa sio mpira wa miguu na hivyo hutuhitaji kushabikia kama Simba na Yanga Siasa inagusa Maisha ya watu Moja Kwa Moja Siasa inahitaji watu serious na wenye misimimamo ya kweli...
3 Reactions
5 Replies
201 Views
Msigwa na Sugu ni kambi mbili tofauti ndani ya Chadema kwasababu Msigwa ni adui namba moja wa Bestfriend wa Sugu, William. Nikauliza kijiwe vipi hali ikoje? Wakaniambia wao wanaamini Msigwa...
1 Reactions
7 Replies
188 Views
  • Redirect
Kuna mtu ukimuona unayaona mamlaka ndani yake, unauona uongozi, busara na hekima za kuwaongoza watu Kuna mtu akiongea unauona mwongozo, unayaona maelekezo, unaliona suruhisho la matatizo na...
8 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Kwanza kabisa nikuambie ukweli waziri mkuu upo hapo kwenye hicho kiti lakini Watanzania wanakuchukia sana. Unahusishwa na ufisadi mwingi. Kumiliki mabasi yanayofahamika huku wewe ni kiongozi wa...
2 Reactions
Replies
Views
Alichoandika Hilda Newton: Nakumbuka January 15, 2026 Buyobe alinitumia namba yake DM akasema nimchek WhatsApp kuna issue tuongee, nilimchek tukaongea. Alinielezea jinsi alivotekwa na kikosi cha...
5 Reactions
23 Replies
708 Views
Ndugu zangu Watanzania, Huyu Padri Ameonyesha waziwazi kuwa na chuki binafsi na Rais wetu Mpendwa,ameonyesha tangia awali kuwa na kinyongo na utawala huu, ameonyesha kuwa na dharau na maneno ya...
5 Reactions
261 Replies
5K Views
Na wahakikishia, hata itokee Leo hiii Lissu Yuko Nje, HATUA YA KWANZA NI KUKUTANA NA PETER MSIGWA !!.
3 Reactions
10 Replies
179 Views
Kuna mambo mengine yapo wazi kabisa kwamba taifa linahitaji mabadiliko. Kuwa na katiba ambayo ilitungwa na makada wa CCM ambao hawakushirikisha wananchi ni aibu kwa taifa kama hili na haifai...
1 Reactions
1 Replies
98 Views
Hizi ni pesa za walipa kodi na ni pesa ambazo zilipaswa kutumika kwa maendeleo ya Watanzania. Sasa wanaletwa akina Rio Ferdinand, wacheza mieleka wapiga masumbwi na wakata viuno kwa kigezo cha...
2 Reactions
10 Replies
155 Views
Msigwa angeshinda ubunge au kupata cheo kupitia CCM asingehamia Leo chadema. Tunatamani kuona chadema yenye msimamo inayoheshimika na kuaminika kwa wananchi sio usanii. Siasa inagusa Maisha ya...
6 Reactions
19 Replies
230 Views
Kuna mwanga mkubwa umeanza kuonekana ndani ya Chadema, ndio maana wenye akili wameanza kurudi na walio ndani ya CCM wanaki-sapoti kwa siri. Watu wameanza kugundua Chadema ni chama halisi cha...
17 Reactions
39 Replies
496 Views
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema hayo Mei 23, 2026 wakati akizungumza na wananchi katika Viwanja vya Kichangani kwenye ziara yake ya kikazi ya siku mbili. "Tunagombanishwa mno. Watu...
1 Reactions
140 Replies
2K Views
Chadema wawe makinini sana kila wanapoenda kufanya mikutano. Maana imeonekana wanaCCM wamechanganyikwa na sasa hawapati usingizi. Ulinzi uimarishwe maana kama wameanza kukata watu mapanga...
5 Reactions
8 Replies
174 Views
. Huyu bwana haoni haya kudanganya. Anaropoka chochote anashusha hadhi ya waziri mkuu hizo cheap propaganda amwachie kihongosi
6 Reactions
8 Replies
160 Views
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kuwa tumaini na nguzo imara ya Taifa letu kupitia sera, falsafa na dira inayoweka mbele maslahi ya Watanzania. Kwa miaka mingi, CCM imebeba dhamana ya...
1 Reactions
12 Replies
105 Views
Hebu tumalize propaganda na uongo wa Chadema, Hivi chama kilicho moyoni mwa Watanzania 70M ndio hiki chenye wanachama halali LAKI NNE na ELFU TATU NA THEMANINI NA TATU (403,083) kwamjibu wa...
1 Reactions
5 Replies
112 Views
Back
Top Bottom