"Kwa kutambua umuhimu wa haki kama misingi ya amani, utulivu, lakini pia maendeleo ya taifa letu, na ustawi wa wananchi kwa ujumla. Haki ndiyo inayo-prevail katika hayo yote hayo. Nendeni mkae"...
Kwa hali ya sasa na kwa namna ya Wasaliti wanavyopiga Magoti kwa CHADEMA kuna haja ya kuanzisha kitengo maalum cha dharula cha usaili wa Wasaliti
Ningeomba pia niwe miongoni mwa Wajumbe wa Kamati...
"Mimi ni mtu wa kusema haki, mimi ni mtu wa kunyoosha maelezo, mtu wa kusema ukweli. Sasa kuna vitu ambavyo naona nikiwa upande huu, ile umimi inashindwa, naanza kuwa bata wakati natakiwa niwe...
Wakuu,
Mungu anaendelea Kuwaumbua.
Kwa madai ya huyu mzee ALIFUATWA NA POLISI TANZANIA, MZEE ANAMTAJA POLISI KWA MAJINA YAKE, MZEE ANASEMA,
JUZI JUZI JUZI walimfuata Nyakati za usiku...
Wimbi kubwa la hivi karibuni la wanachama na viongozi wanaorejea CHADEMA linapaswa kutazamwa kwa tahadhari kubwa ya kisiasa.
Ingawa hatua hii inaongeza idadi ya wanachama, kuna uwezekano mkubwa...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dkt. Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), leo amewasilisha hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya wizara yake kwa Mwaka wa Fedha...
Mwalimu Leah Ulaya, aliyekuwa Rais wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), anazungumziwa sana baada ya kushindwa katika uchaguzi wa uongozi wa chama hicho.
Hatima yake imekuwa ya wasiwasi kwa wengi...
Kila kukicha wanatuvamia na kutuua. Ili tusiubiri upendo, umoja na Mshikamano. Tuubiri visasi, Tufoke na Tutangaze mapambano bila Silaha.
Baada ya hapo wajipe uhalali wa kutufunga, kutunyonga ata...
Baraza la Viongozi wa Dini nchini limeiomba Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kufanya mapitio ya mahusiano ya kidiplomasia na nchi ya Marekani...
Ubalozi wa Tanzania Nchini Afrika Kusini umethibitisha kukamatwa kwa zaidi ya raia 90 wa Tanzania na kuwekwa katika Kituo cha Lindela kufuatia msako wa Wahamiaji Haramu unaoendelea Nchini humo...
Ukiangalia hawa watu ndio wameivuruga kama sio kuiimarisha Chadema ila kwa upande mwingine wamemsaidia Mama Samia kwa kuwaaminisha wananchi kuwa watazuia uchaguzi na wengine wao kukimbilia CCM na...
Hii ndio Taarifa ya sasa ikiwa ni maandalizi ya Mkutano Kabambe wa Uzinduzi wa Operesheni Katiba Mpya na Free Lissu
ikumbukwe kwamba Mkutano wa No Reforms No Election uliofanyika Dodoma uling'oa...
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassana akiapisha Majaji 9 wa Mahakama ya Rufani aliowateua leo Mei 26, 2026, amesema Serikali itaendelea kuchukua hatua kuimarisha uwezo wa...
Wachangiaji wote waliochangia bajeti ya mambo ya nje Kila mtu alimsifia Samia
Nape Samia
Bulaya Samia
Kingu Samia
Samia Samia Samia
Wao wanafanya kazi Gani Sasa kama Kila kitu anafanya Samia...
Humprey Polepole alijua anapiga picha na Rais kumbe anapiga picha na Samia
Watanganyika walitamani kuwa na kiongozi bora anaye thamini uhai wa watu, ila wakampata Samia
Walitamani mtu wa kuwatoa...
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT) Sheikh Alhad Mussa Salum, amekosoa vikali muswada wa maseneta wawili wa Bunge la Marekani, akiitaja hatua hiyo pingine kuwa ni wivu kwa...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dkt. Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) akiwa Bungeni jijini Dodoma leo Mei 26, 2026, akiwasilisha Hotuba ya Bajeti ya Wizara kwa Mwaka wa...
Akizungumzia ziara za waziri mkuu jinsi watu wanavyojitokeza kwa wingi na matatizo wanayoywasilisha kwa waziri mkuu.
Mtangazaji huyo wa redio anasema hii inaonyesha wazi kwamba system zimefeli...
Hofu kubwa imetanda kufuatia tukio la kuvamiwa na kujeruhiwa kwa Katibu wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki nchini Tanzania (TEC) Padri Dkt.Charles Kitima.
Kupitia mitandao ya kijamii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.