Ni kweli kwamba Kazi ni Kazi tu ili mradi mkono uende kinywani, lakini Je inawezekanaje aliyekuwa IGP akawe RC?
Soma Pia: UTEUZI: Balozi Simon Sirro ateuliwa kuwa RC wa Kigoma, Kenan Kihongosi...
Mwenyekiti wa CHADEMA Mbowe, amesema Vyama vya Upinzani vimegawanyika mara mbili; vipo vinavyofanya Biashara ya Siasa na vingine vinafanya Siasa.
Sisi kama CHADEMA tumeamua kufanya Siasa za...
Ni muhimu sana kwa wana CCM wenye nia na wanaojianda kwaajili ya nafasi hiyo sasa, labda wajipange kwa 2040-2050. Agenda ya taifa kwa mwaka 2030-2040 ni Dr.Emmanuel John Nchimbi, full stop...
Huu ukweli ambao ukiusema mbele ya viongozi wa vyama hawa utaishia kuonekana we ni mtu wa ajabu,
CCM
chama hiki kimejikita sana kuwa cha kuwaficha wafanya biashara wakubwa wakwepa kodi, wanofanya...
Ukija kwa sasa nje ya Nyerere ambaye aliweza kukiri makosa yake kadhaa na kukosoa chama chake! Naona mwingine anayeweza kuthubutu ni Tundu A Lissu,
CHADEMA ni chama tegemeo la Ukombozi kwa...
Makamu Mwenyekiti wa Chadema John Heche ameingia mitaani kuomba wananchi wachangie chama chake hela za kuendeshea baraza kuu
Taarifa zingine zinaeleza kwamba wananchi wamefurika n.a. kuvuruga...
Baada ya Siku 33 kutoka siku ambayo Waziri wa Mambo ha Ndani Patrobas Katambi kuzuia milutano ya vyama vya siasa, Jeshi la Polisi limesema kutokana na hali ya nchi kuwa shwari, vyama vya siasa...
Aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP Mstaafu), Omar Mahita, ameshikilia msimamo wake wa kimfumo akisisitiza kuwa chombo hicho kina uwezo kamili wa kujiendesha chenyewe kiutendaji bila...
Wanaogopana au ufisadi ndani ya chadema ndio mtindo wa maisha ya viongozi wao hasa wa kitaifa?
Chadema hawajui kwamba ufisadi ni adui wa haki? Au chadema wanapambania haki za mafisadi kama yule...
Kwamba nyinyi mnaofanya Porojo dhidi ya HECHE, mnajijua CHADEMA kuliko LISSU??.
Unakuta kajitu ni kakatibu ka BAVICHA huko matopeni, hawajawahi hata Kuona HECHE Uso kwa Uso, hakachangii hata...
Nawasalimia ndugu zangu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Moja kati ya salamu bora kabisa ya nyakati zetu.
Mama tangu ashike madaraka amekuja na surprise nyingi sana mojawapo ni uteuzi...
Wakuu naomba msaada.
Inakuwaje binadamu mzima akakubali ima kwa kutaka, kujituma, au kulazimika kuwa chawa?
Inakuwaje kiongozi mzima akakosa busara, falsafa na. hekima hata akaja na sera ya...
Nitofautiane na makada wenzangu kwenye swala Zima la desturi kuifanya sheria ndani ya chama!
Hatuna Cha kuogopa Wala kupoteza kwenye mchakato wa ndani wa kumpata mgombea mpya hapo 2025, ninaamini...
Leo Nampa heshima mtu mmoja.
Max Mello Mmiliki wa Jamiiforums.
Katika kipindi ambacho serikali ilimuwinda, ikimtaka atoee siri za wachangiaji mada mbalimbali... alisimama imara...
Waungwana tunashukuru Kwa kile kilichotokea jana kuhusu vyeo vya watumishi wa umma na badiliko la mishahara tuliloliona, tuliteseka Kwa muda mrefu sana tukifanya KAZI ya punda bila badiliko lolote...
Rais Samia katika kikao na vyama vya siasa leo Julai 30, 2026 amesema hali ya kisiasa nchini inaendelea kuwa nzuri, akibainisha kuwa licha ya hali hiyo, bado kuna upande mmoja ambao unaendelea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.