Nchi vijana wanakusanyika kuangalia tamthiliya kwenye cinema
Vijana wanakubali haki yao kuporwa kwa sh elfu 5 tu
Vijana ambao hawako committed wanatupa mpira kwa wengine kuwafanyia maendeleo...
Nchimbi hata mara moja hajazungumzia CCM na amesema anajiuzulu siasa maana yake ni kwamba kapiga dongo CCM kwa kiasi kikubwa.
Sasa kama wewe bado upo CCM jiulize kusudi lako hasa ni lipi! Kwa...
Mfululizo wa viongozi kujiuzulu katika awamu yako umeongezeka na unatishia sana Usalama wa kidemokrasia wa taifa, mheshimiwa rais nakushauri kataa Barua yake hii ni aibu kwa taifa letu.
Orodha ya...
Vita ya majimaji iliongozwa na Kinjeketile na akaweza kuwashawishi wananchi wengi vijana wakajiunga na jeshi lake.
Vita ya majimaji ilikuwa na wapiganaji walikuwa na Imani kubwa kuwa watawashinda...
Hapo juu wanakabana koo,
Kuna mkuu hatamaliza miaka miwili hapo top! Kisa anatamani nafasi ya Mkuu wake zaidi Mambo yanayopikwa yako beyond belief!
Kampango ka kufanya bibi aendelee 2030 eti...
Hii Nafasi ilikuwa ikitumika kama Nafasi ya kumpooza uchungu,mzanzibari yoyote AMBAE atagombea uraisi zanzibari na akakatwa na halimashauri kuu ya ccm baada ya kubaini yakuwa mgombea aliyekatwa...
Suala la kuachia ngazi kwa Nchimbi ni hatua muhimu katika mapinduzi ya Umma. Serikali huanguka pale maafisa ndani ya dola, chama tawala na Jeshi huachia ngazi na kuwaunga mkono wananchi...
Wanabodi
Makala yangu Gazeti la Mwananchi la Jumatano hii.
TAAMULI HURU: Si lazima kila ukweli usemwe hadharani
Jumatano, Januari 08, 2025
By Paschal Mayalla
Japo makala zangu zinajikita zaidi...
Wanabodi.
Kama kawaida yangu, kila nikipata muda, nashuka na zile makala zangu elimishi za KMT - "Kwa Maslahi ya Taifa". Mada ya leo ni swali la kitu kinachoitwa "the morality of telling the...
Hatimaye code zimeanza kufunguka, video hii ya miezi mitano iliyopita, akiwa Bungeni, Dkt. Godwin Mollel aliyasema haya kuhusu watu aliodai wanachokonoa Ikilu, kwamba yeyote anayefanya hivyo ni...
Kuna kitu kinachonifanya niitazame sana tarehe 4 September 2026 kwenye kujiuzulu kwa Dr Emmanuel Nchimbi.
Sidhani kama tarehe hiyo imechaguliwa kwa bahati mbaya. Nchimbi ameamua kuondoka rasmi...
Hekima kubwa itumike juu ya nani awe mbadala.
Ni kweli, saa nyingine ujasiri hutakikana katika siasa, ila si mara zote. Na gumu zaidi ni kugundua muda gani ni muwafaka.
Ah! Laiti ningekuwa na...
Tuliyemtarajia atamfunga paka kengele, kaamua kukaa pembeni
Huyu alifikiriwa ataleta Imani, tumaini na hali mpya ya kupoza joto linalo panda kati ya Shume na panya wa mwituni.
Sasa kaamua...
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, amebainisha kuwa chama chao kiliandika barua kwenda Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) kulalamikia matumizi ya kisiasa yanayofanywa kupitia klabu...
Bibi Titi Mohamed na wenzake walihukumiwa kifungo cha maisha gerezani kwa makosa ya uhaini ya kutaka kuipindua serikali ya Nyerere mwaka 1970.
Kwa nini amekuwa anaenziwa kwa kupewa Barabara yenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.