UVCCM Wamelala fofofo kwisha.kabisa

UVCCM Wamelala fofofo kwisha.kabisa

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
9,110
Reaction score
21,977
Look at this energy

FB_IMG_1786530684784.jpg
 
Mara ya mwisho kusikia habari zao ilikuwa mwaka Jana🤣🤣

TOKA MAKTABA

24 January 2025
Dar es Salaam, Tanzania

OTUBA YA Pascrates Albinus Mwemezi kwa vyombo vya habali leo wakiwa Ofisi ya CCM mkoa wa DSM :FIRE:

View: https://m.youtube.com/watch?v=woYIDnx1xcw


"Vihongozi wa vijana vyuo vikuu watoa tamko kupongeza mkutano mkuu mahaalum kuunga mkono lahisi wa jamhuri la muhungano wa Tanzania Mh. Samia assan kuwa mgombea pekee na lahisi wa Zanzibar mh. Dr. Ussein Hali Mwinyi kuwa mgombea pekee wa ulahisi Zanzibar , wawili ao kupepelusha bendela ya CCM katika uchaguzi wa Oktoba 2025 " - Vihongozi wa Vijana wa CCM Vyuo Vikuhu wasema

Pascrates Albinus Mwemezi Kada huyo wa UVCC kiongozi wa wasomi wanaCCM hakiongea na wahandishi wa habali alikumbushia makubwa yaliyofanywa na mheshimiwa lahisi ikiwemo kuongeza boom kwa wanafunzi wakati alipowahalika vihongozi wa wanafunzi hikulu mwezi Febluali 2022 ...

Ni fulaha kubwa kuona Mkutano Mkuu wa Mahalumu wa CCM kwa kutumia madalaka yake talehe 19 Januali 2025 kwa mujibu wa ibala na kanuni za katiba za chama kuwapitisha wakuhu ao wawili kwa nafasi ya ulahisi ..

Sisi vijana wasomi wa vyuo vikuhu tuna fulaha sana ... kwa lehema ii nyingi kutoka kwa mwenyezi Mungu kutupatiha mheshimiwa lahisi anayetekeleza miladi ya kimkakati inayotuletea nehema na falaja kuu ... miladi kama ya humeme, SGR, Samia Scholarship....

Wanafunzi wa vyuo na vyuo vikuu mkoani Dar es Salaam wametoa tamko rasmi kuunga mkono azimio la Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumteua Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na Dkt. Hussein Ally Mwinyi kuwa mgombea wa urais wa Zanzibar kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Soma Pia:
 
wajanja wote wa mada moto tunduizi wanajisikia huru kutoa mihadhara katika majukwaa ya CHADEMA

Wawezeshaji kibao wafika na kutoa mada moto mkutano wa BAVICHA 2026

12 August 2026
DEUS KIBAMBA - LELEMAMA HAIWEZI KULETA KATIBA MPYA... MKUTANO WA BAVICHA 12 /08/2026 DODOMA

View: https://m.youtube.com/watch?v=6xa3uCA2MiI
Deus Kibamba ambaye ni mhadhiri mwandamizi na mchambuzi maarufu wa masuala ya siasa na diplomasia katika chuo Diplomasia cha Dr. Salim Ahmed Salim (the Dr. Salim Ahmed Salim Centre for Foreign Relations formerly Centre for Foreign Relations, Kurasini) Dar es Salaam, Tanzania

Deus Kibamba awawezesha BAVICHA kwa mada tunduizi
Deus Kibamba studied Political Science and International Relations at the University of Dar es Salaam UDSM, earned a Master of Arts in International Studies from the University of Sheffield, and completed further studies in public policy and constitution building at institutions including the Institute of Social Studies and Central European University.
 
Ile voters turn out ya 29 October imewaacha na msongo wa mawazo. Cdm walipokuwa wanashiriki kwenye chaguzi na vituo kujaa kisha wakawa wanapora, walikuwa wanajidanganya wanakubalika. Kitendo cha cdm kugomea kushiriki huo uhuni kulifanya kuweka na idadi ndogo sana ya wapiga kura, jambo lililowaacha na mshtuko, na Bado watu wakaandamana. Kwa sasa wamebaki wanalazimisha maridhiano.
 
Mara ya mwisho kusikia habari zao ilikuwa mwaka Jana🤣🤣
Uchaguzi Mkuu umeisha. Uchaguzi wa Serikali za Mitaa umeisha. Sasa hivi wana UV CCM wapo bize wananatekeleza kile walichowaahidi Watanzania kwenye Ilani yao.
 
Back
Top Bottom