Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Salam. nani kumrithi nchimbi? Je ni januari makamba? Au ni dotto biteko? je ni palamagamba kabudi au ni poul makonda? isije ikawa ni mwigulu nchemba! Au ridhiwani kikwete? amani iwe nanyi..
2 Reactions
29 Replies
465 Views
Alitoa barua ya kustaff tar 25/9/2026 na kujipangia kuwa atajihuzuru tar.4/9/2026 sijajua alitaka afanye nini ofsni huo muda na nani na wapi ? Ili Hali ashaonyesha usaliti mkubwa kwa Taifa na kwa...
3 Reactions
115 Replies
1K Views
Nina hakika Kassimu majaliwa ALIYEKUWA ameaidi kugombea ubunge hadharani baadae ikaja barua ya kukataa kugombea siku ya uchaguzi uwezi amini alikuwa amejificha kule chato kwenye kaburi la...
9 Reactions
8 Replies
187 Views
Ni vigumu kuamini Nchimbi mwenye miaka 54 amestafuu siasa na utumishi wa umma ikiwa hatajitokeza hadharani mwenyewe kusema au kuthibitisha amestaafu siasa kwa hiyari yake. Kujiuzulu nafasi ya...
6 Reactions
31 Replies
417 Views
Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa...
167 Reactions
8K Replies
472K Views
Nimesikia mahala Mwenyekiti wa CCM akijinasibu kuwa Katiba hii ya CCM yq mwaka 1977 inafaa kisa tu wameweza kumfukuza Nchimbi uanachama na kuweka makamu mwingine. Huu ni uongo na uzandiki. Hii...
2 Reactions
2 Replies
66 Views
John Heche amesema kama Mwalimu Nyerere angekuwepo, angesikitika kwa Mzee Butiku kuwa Msaidizi wake, Watanzania wapuuze
7 Reactions
5 Replies
245 Views
Mara nyingi ukimchukia mtu unaweza kujikuta umeingia kwenye makosa na utata mwingi. Kwa jinsi nilivyofuatilia kesi ya Lissu ni kuwa kumteka Makamu wa Rais, kumtishia n.k ndio ugaidi halisi. Mzee...
2 Reactions
5 Replies
208 Views
Wakuu Spika wa Bunge, Mussa Azzan Zungu ametangaza kuwa Deogratius John Ndejembi amepitishwa na Bunge kuwa Makamu wa Rais kwa kura 324 sawa na 100%, na kwamba aliongea na baadhi ya mabalozi wa...
3 Reactions
29 Replies
490 Views
Ibara ya 132(5)(c) inasema misingi ya maadili ya viongozi wa umma/chama/kikundi/taasisi inapiga marufuku mienendo au tabia inayomfanya kiongozi aonekane hana uaminifu, anapendelea, si muadilifu...
0 Reactions
50 Replies
362 Views
Habari za Sabato! Leo nilikuwa napitia hapa kitabu cha Asheri(Jasher). Nikaona kisa cha Waisrael kuwa utumwani kwa zaidi ya miaka 400 huko Misri. Kisa hicho kwa sehemu kubwa ni simulizi ya...
1 Reactions
7 Replies
107 Views
MADA : KULINDA MAFANIKIO YA VYAMA VYA UKOMBOZI BAADA YA UHURU, VINAENDANA NA HAJA YA VYAMA HIVYO KUBAKI MADARAKANI African National Congress (ANC) itakuwa mwenyeji wa Kongamano la Kilele cha...
1 Reactions
62 Replies
3K Views
Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba, amesema haoni uwezekano wa Tanzania kupata Katiba mpya katika kipindi kifupi kijacho, akionya kuwa nchi inaweza kuingia katika madhara makubwa zaidi ikiwa...
17 Reactions
34 Replies
832 Views
Kkwenye kesi ya Lissu kuna Wakili anaitwa Ajuaye. Naye niliskia akihoji maswali ya dodoso. Nimeshangaa serikali kuleta wakili kama yule. Ina maana yale ndio majembe ya serikali au nu kishoka tu?
6 Reactions
12 Replies
270 Views
Chondechonde naomba tuikomboe hii nchi hata kama ni kwa kuiondoka serikali dhalimu.kwa namna yoyote naomba hii nchi ilindwe isianguke. Hata kama ni kwa...
1 Reactions
6 Replies
242 Views
Ninachokihitaji kiko sehemu ya Utangulizi wa Katiba ya JMT 1977, Kuna maneno ambayo yamepewa kichwa cha MISINGI YA KATIBA. Yanasomeka kama ifuatavyo. MISINGI YA KATIBA KWA KUWA SISI Wananchi...
1 Reactions
1 Replies
38 Views
Watu wanataka kubaki madarakani bila kufuata utaratibu wa Uchaguzi. Tusipoyatatua haya, Tanzania itaendelea kuzalisha wakimbizi
2 Reactions
7 Replies
145 Views
Itakuwa ni swala la kisheria,kuchukua urithi wangu,kukimiliki Chama. Last time pia nilitaka kwenda kuchukua fomu, lakini Makongoro alinikataza. But this time there is no turning back. Jaya jaya...
11 Reactions
22 Replies
273 Views
  • Redirect
Huyu Rais ana akili ? Yaani katiba ni ya Tanzania unatuambia mabalozi wanaifurahia ? Wtf ?
1 Reactions
Replies
Views
Mtakuwa wajinga mpaka lini? Ni lini mmewahi kuona CCM wako busy na mambo ya CHADEMA au chama cha upinzani? Nyie wapinzani mko kama fisi anayemnyemelea mtu anayetembea gizani akirusha mikono...
3 Reactions
31 Replies
286 Views
Back
Top Bottom