Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania (UWT) Zanzibar, Khadija Nassoro Abdi, amewataka vijana na wananchi kwa ujumla kuwa makini na kile alichodai kuwa ni jitihada...
John Mnyika ametoa wito kwa Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) kutumia hekima na utaratibu uliotumika kufuta kesi ya ugaidi iliyokuwa inamkabili aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa chama hicho Freeman...
CCM mnahubiri juu ya reconcilliation. Kwa kizungu ni maridhiano.
Maridhiano hufanyika baadsa ya pande mmoja kudhulumu pande nyingine. Hass kwa kufanya mauaji na utekaji kama kule Afrika ya...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Julai 30, 2026, amekutana na viongozi wa vyama vya siasa Ikulu jijini Dar es Salaam na kueleza kuwa hali ya kisiasa nchini...
Wanabodi,
Leo nimekutana na rafiki yangu wa siku nyingi tuliyepotezana naye kipindi kirefu nyuma, ambaye nahisi ni mtu wa sehemu na wa kuaminika sana ambaye yuko attached CCM kama mmja wa...
Anajisahau mno mahakamani na kudhani kwamba anajieleza mbele ya wale wasio jua sheria aliozoea kuwabeba ufala kifikra, kwamba eti anajua shreia bara-bara, kumbea hana lolote. Ndio maana, badala ya...
Iko siku nchi hii itakuwa na Bara bara, madaraja, majengo na taasisi zitakuwa kuwa na majina ya hawa mashujaa wawili. Haya hatutaweza kuyasema mchana wala hatutaweza kusema mbele ya Camera. Nina...
Mwanasiasa Odero Charles Odero ametoa wito na kumtaka kaimu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA,John Heche kurudi kwenye Maridhiano na kama kweli anania ya dhati ya Tundu...
Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka, amezitaka halmashauri zote mkoani humo kufunga mizani kwenye mageti ya ushuru ili kuondoa faini zisizo halali kwa wasafirishaji wa mizigo na kupunguza...
Mara baada ya kuahirishwa kikao cha Bunge jana jioni, Waziri Mkuu aliitisha kikao cha Mawaziri na Manaibu wao akidai ni kikao cha KIKAZI.
Katika kikao hicho aliwaambia kwamba serikali ilikua na...
Kinachoendelea sasa kuhusu Ben Saanane ni masikitiko Sana .
Ni bora uchunguzi huru ufanyike ili kujua nani hasa alihusika na kupotea Kwa Ben Saanane .
Uchunguzi huu pia uende sambamba na...
Joseph Mrindoko wa Wachokonozi amesema kuna changamoto katika utawala wa sheria, utendaji wa baadhi ya watumishi wa serikali na uelewa wa wananchi kuhusu haki zao za kisheria.
Soma pia...
Huu ni usanii ambao hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kuukubali.
Mchina(Heinan) kapewa tenda ujenzi wa barabara huko mkoani.
Kapewa na Advance Payment ya 10% ili aanza kazi.
Tunachojua...
Akizungumza Julai 28, 2026 kwenye kipindi cha One on One cha Wasafi Media, Dkt. Ayub Rioba Chacha, amesema mashambulizi ya maneno na shutuma zinazotolewa kutoka pande zote mbili serikalini na...
Wana JF nani anajua Jumatatu ya hawa jamaa wa NMB itakuwa lini?
Kwenye calender ya Gregoly, waliyotwambia ndiyo leo kakini mambo ndiyo bado magumu kabisa hata hizo sijui POS nazo hakuna kitu...
Hii nchi sio kwamba ni maskini Ila ni vile tu tumeamua watu wachache wajimilikishe nchi kitu ambacho sio sawa bora hata wangejimilikisha nchi wakajua namna ya kula na kipofu.
Serikali zote dunia...
Hakika Tundu Lissu ni tunu ya watanzania. Siku hii huyu Balozi alilala na viatu.
===
Katika mahojiano haya, Tundu Lissu anatetea msimamo wake dhidi ya madai ya kutoshirikiana na vyombo vya sheria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.