Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wakuu, Hivi karibuni nimeona watu wanalalamika kwamba tovuti ya Bunge inafuta CV za wabunge makusudi ili tusijue level zao za elimu. Sasa kabla hawajafuta, ni vyema tujue nani ni nani. Mule...
35 Reactions
202 Replies
11K Views
Hamjambo wote! 1. Mara zote maadili huharibiwa na viongozi, wazazi na wakubwa. 2. Viongozi na wazazi au wakubwa wakiwa na maadili automatically watoto, wadogo na waliochini watakuwa na maadili...
1 Reactions
12 Replies
117 Views
Wakuu Waziri wa Mambo ya Nje wa Ghana, Samuel Okudzeto Ablakwa, ameazimia katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa wakati wa mkutano wa CELAC uliofanyika Bogotá Machi 22, 2026 la kutambua biashara...
0 Reactions
0 Replies
50 Views
Anonymous (c723)
FIDELIS Mutakyamilwa bado ana uchungu wa kuona mama yake akifariki kwa kuwa alikosa huduma ya gari la wagonjwa wa dharura kumfikisha hospitali. Mama mzazi wa kijana huyo mwenye umri wa miaka 43...
4 Reactions
1 Replies
261 Views
Amani iwe nanyi wanabodi! Kupitia Northen Corridor Kenya anataka kuingia DRC, Rwanda, Uganda na Sudan Kusini kwa Reli ya SGR. Sisi Tanzania tunajenga SGR yetu kuingia Burundi na baadae Congo...
3 Reactions
47 Replies
2K Views
Kwa namna hayati John Pombe Magufuli alivyomtengeneza Samia Suluhu Hassan kIsiasa, wengi walidhani angekuwa mstari wa mbele kuhudhuria kumbukumbu yake. Kweli, binadamu tu viumbe wenye kusahau...
3 Reactions
5 Replies
176 Views
MFALME WA SWEDEN AMUAGA BALOZI MATINYI Mfalme Carl XVI Gustaf wa Sweden, amemuaga aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mhe. Mobhare Matinyi, katika hafla fupi iliyofanyika kwenye Jumba la...
1 Reactions
6 Replies
221 Views
Kwasababu, sote ni mashahidi, kwa hali ilivyo sasa, ni wazi viongozi wa dini wamelemewa kabisa na habari za kuwafundisha waamini wao habari za Mungu na neno la Mungu, na badala yake wameamua...
5 Reactions
36 Replies
295 Views
Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa limekamata vifaranga vya kuku vilivyokuwa vikisafirishwa kwenye mabasi mawili ya abiria yakitokea mpakani mwa nchi jirani ya Malawi kuelekea Visiwani Zanzibar, baada...
1 Reactions
6 Replies
294 Views
COMMENTS ZIWE FUPINFUPI Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Itilima, mkoani Simiyu, Mhuli Ngeleja amefariki Machi 18, 2026 huku CCM ikimtaja kama kiongozi shupavu na mwadilifu...
4 Reactions
11 Replies
273 Views
Shekhe Mkuu na Mufti wa Tanzania, Dkt, Abubakar Zuber Bin Ally, amesema kuwa hakuna ukweli katika taarifa zinazosambazwa kwenye Vyombo vya Habari na Mitandao ya Kijamii zinazoashiria kuwa Wakristo...
9 Reactions
60 Replies
928 Views
Walimteka Shebby kisa kachoma picha ya Rais. Kwanza picha yenyewe aliichora yeye. Pia alichora baada ya rais kusema atatekeleza mambo Four R. Lakini baadaye akagundua Samia hatekelezi 4R kama...
5 Reactions
25 Replies
344 Views
Ndugu zangu Watanzania, Lazima tukubali ukweli ya Kuwa Askofu Gwajima siyo mwana CCM na hajawahi kuwa mwana CCM kiuhalisia. Askofu Gwajima siyo Mwenzetu na hajawahi kuwa mwenzetu hata siku moja...
3 Reactions
179 Replies
5K Views
Ndugu zangu Watanzania, CCM ni dude Moja Kubwa sana, ni dude ambalo mtu binafsi na genge lako au kikundi chako cha uchumia tumbo au usaka tonge au uroho wako wa madaraka huwezi kupambana nalo...
2 Reactions
71 Replies
2K Views
Hamjambo! Katika hali ya kustaajabisha katikati ya bahari ya huzuni ya ndugu yetu Mrisho Mpoto, AKA Mjomba. Baada ya kufiwa na mkewe. Ilitarajiwa kama desturi apewe Salamu za Pole. Lakini hali...
72 Reactions
230 Replies
11K Views
Wanabodi Na leo ni kama jana mwendo wa Harusi ya Kana,nimekutana na kichupa kidogo kinaitwa Imagi!,hii kitu ni noma!nimezamisha kamoja tuu!kamenituma nishuke JF,natiririka tuu。。。 Mada ya leo ni...
19 Reactions
55 Replies
2K Views
PENGINE LISSU AMESHITUKIA HILO LIMCHEZO KONGWE NA ATATAKA SASA KUKIFANYA KIWE CHA UPINZANI HALISI CDM walioganda na Mbowe na kuona Lissu kugombea ni kama usaliti wajitafakari sana uelewa wao wa...
36 Reactions
66 Replies
3K Views
Sina haja ya kuleta ushahidi kwa viongozi wakuu wa haya makanisa kutoa kauli za "kiuchochezi" na "taharuki" kwa taifa kuhusu haya haya masuala ya utekaji na uuaji Katibu wa TEC "amechochea" mara...
28 Reactions
86 Replies
3K Views
Back
Top Bottom