Salam.
nani kumrithi nchimbi? Je ni januari makamba? Au ni dotto biteko?
je ni palamagamba kabudi au ni poul makonda?
isije ikawa ni mwigulu nchemba! Au ridhiwani kikwete?
amani iwe nanyi..
Alitoa barua ya kustaff tar 25/9/2026 na kujipangia kuwa atajihuzuru tar.4/9/2026 sijajua alitaka afanye nini ofsni huo muda na nani na wapi ? Ili Hali ashaonyesha usaliti mkubwa kwa Taifa na kwa...
Nina hakika
Kassimu majaliwa ALIYEKUWA ameaidi kugombea ubunge hadharani baadae ikaja barua ya kukataa kugombea siku ya uchaguzi uwezi amini alikuwa amejificha kule chato kwenye kaburi la...
Ni vigumu kuamini Nchimbi mwenye miaka 54 amestafuu siasa na utumishi wa umma ikiwa hatajitokeza hadharani mwenyewe kusema au kuthibitisha amestaafu siasa kwa hiyari yake.
Kujiuzulu nafasi ya...
Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa...
Nimesikia mahala Mwenyekiti wa CCM akijinasibu kuwa Katiba hii ya CCM yq mwaka 1977 inafaa kisa tu wameweza kumfukuza Nchimbi uanachama na kuweka makamu mwingine. Huu ni uongo na uzandiki.
Hii...
Mara nyingi ukimchukia mtu unaweza kujikuta umeingia kwenye makosa na utata mwingi.
Kwa jinsi nilivyofuatilia kesi ya Lissu ni kuwa kumteka Makamu wa Rais, kumtishia n.k ndio ugaidi halisi.
Mzee...
Wakuu
Spika wa Bunge, Mussa Azzan Zungu ametangaza kuwa Deogratius John Ndejembi amepitishwa na Bunge kuwa Makamu wa Rais kwa kura 324 sawa na 100%, na kwamba aliongea na baadhi ya mabalozi wa...
Ibara ya 132(5)(c) inasema misingi ya maadili ya viongozi wa umma/chama/kikundi/taasisi inapiga marufuku mienendo au tabia inayomfanya kiongozi aonekane hana uaminifu, anapendelea, si muadilifu...
Habari za Sabato!
Leo nilikuwa napitia hapa kitabu cha Asheri(Jasher). Nikaona kisa cha Waisrael kuwa utumwani kwa zaidi ya miaka 400 huko Misri.
Kisa hicho kwa sehemu kubwa ni simulizi ya...
MADA : KULINDA MAFANIKIO YA VYAMA VYA UKOMBOZI BAADA YA UHURU, VINAENDANA NA HAJA YA VYAMA HIVYO KUBAKI MADARAKANI
African National Congress (ANC) itakuwa mwenyeji wa Kongamano la Kilele cha...
Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba, amesema haoni uwezekano wa Tanzania kupata Katiba mpya katika kipindi kifupi kijacho, akionya kuwa nchi inaweza kuingia katika madhara makubwa zaidi ikiwa...
Kkwenye kesi ya Lissu kuna Wakili anaitwa Ajuaye. Naye niliskia akihoji maswali ya dodoso. Nimeshangaa serikali kuleta wakili kama yule. Ina maana yale ndio majembe ya serikali au nu kishoka tu?
Chondechonde naomba tuikomboe hii nchi hata kama ni kwa kuiondoka serikali dhalimu.kwa namna yoyote naomba hii nchi ilindwe isianguke. Hata kama ni kwa...
Ninachokihitaji kiko sehemu ya Utangulizi wa Katiba ya JMT 1977,
Kuna maneno ambayo yamepewa kichwa cha MISINGI YA KATIBA.
Yanasomeka kama ifuatavyo.
MISINGI YA KATIBA
KWA KUWA SISI Wananchi...
Itakuwa ni swala la kisheria,kuchukua urithi wangu,kukimiliki Chama.
Last time pia nilitaka kwenda kuchukua fomu, lakini Makongoro alinikataza.
But this time there is no turning back.
Jaya jaya...
Mtakuwa wajinga mpaka lini?
Ni lini mmewahi kuona CCM wako busy na mambo ya CHADEMA au chama cha upinzani?
Nyie wapinzani mko kama fisi anayemnyemelea mtu anayetembea gizani akirusha mikono...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.