Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 18,138
- 29,797
Huu ni usanii ambao hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kuukubali.
Mchina(Heinan) kapewa tenda ujenzi wa barabara huko mkoani.
Kapewa na Advance Payment ya 10% ili aanza kazi.
Tunachojua wachimvi ni kwamba hiyo 10% wamegawana na watoa kazi, iwe ni waziri au hata TANROADS.
Haiwezekani kampuni kupewa kazi na hela inayo na kazi isianze.
Tulio kwenye fani ni kwamba hela imeliwa na watoabkazi na mkandarasi hana hela ya kazi.
Kama Waziri yuko serious awatangulize TAKUKURU wafanye kazi yao na hapo upupu wote utabumbuluka.