Kwa Sasa Unaeza tuma na kupokea pesa kupitia NMB app🤔 au ipo kama bosheni Salary SlipApp naona iko teyari na wameianyia mabadiliko
Bado maana app nayo inasuasua sana muda huu imenigomea bila sababu kabisa na ile nyingine ya kupitia simu ndiyo hamna kitu kabisa.Wamerud hewani
Bisheni maana siyo reliable kabisa muda huuKwa Sasa Unaeza tuma na kupokea pesa kupitia NMB app🤔 au ipo kama bosheni Salary Slip
Duuuhhh uwenda tunaweza pigwa kimya kimya? duuuhhhKuna kitu kinakuwa implemeted, kulikuwa na malalamiko kuwa pesa za wateja zinapotea baada ya kufanya hiyo upgrade. Nadhani mchezo hii inaenda kuendelea huko NMB.