Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Habarini waungwana, Ni matumaini kwamba watu watakua kwenye maandalizi ya sikukuu ya Pasaka. Tafadhali napenda kuwajulisha kwamba kampuni niliyoitaja hapo juu inajihusisha na upokeaji na...
2 Reactions
13 Replies
243 Views
Ndugu zangu Watanzania, Soma hapa ujumbe wa Mheshimiwa Stephen Wasira Makamu Mwenyekiti wa CCM MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema kabla ya...
0 Reactions
50 Replies
672 Views
Za asubuhi wakuu. Jana nilihudhuria mkutano wa demokrasia wa chama hiki cha Act Wazalendo na lengo langu lilikuwa kujifunza na kuona jinsi watu wanavyoichambua demokrasia yetu. Yafuatayo ndio...
19 Reactions
151 Replies
12K Views
The targetting of vocal leaders of faith and political opposition reveals a chilling, historic pattern: the weaponisation of state apparatuses, paramilitary structures, and systemic violence to...
0 Reactions
1 Replies
222 Views
Sasa ni dhahiri Chadema ndio CHAMA KIKUU CHA SIASA Nchini Tanzania, Kama unabisha itisha Mkutano wa hadhara wa CHAMA chako tulinganishe Leo CHAMA hicho chenye mvuto wa juu zaidi Africa kimeingia...
8 Reactions
14 Replies
332 Views
  • Featured
"Wamesema vifo na vilitokea vipi... mimi naamini vifo vilikuwa vingi zaidi kuliko wanavyosema. Lakini wanasema kulikuwa na vitendo vya uvunjaji wa sheria, na wanapendekeza iundwe tume nyingine...
33 Reactions
132 Replies
3K Views
Hongera Rais Samia, Hongera Kafulila Hongera team PPP Centre
2 Reactions
10 Replies
135 Views
Natambua kwamba Hilda Newton amemuanika kwa kiasi fulani Japo kwa kuchelewa, lakini maelezo Yale hayatoshelezi Sasa ni vema BUYOBE akaanikwa kikamilifu hapa jf ili kila Mmoja amfahamu vizuri Ni...
15 Reactions
120 Replies
2K Views
Naendesha mkweche wangu wa bei rahisi na huwa hauli mafuta maana ni Suzuki Jimmy ya kizamani. Natoka Katoro naenda zangu Igunga. Leo zilikuwa zinashushwa nondo za uhakika za kudai maslahi ya...
18 Reactions
41 Replies
719 Views
Moja ya kundi lilolokuwa brain washed nchi hii ni Umoja wa Vijana wa CCM, nina hakika kwa 100% CCM wamefanya makusudi kwa hawa vijana kuhakikisha Idara hiyo inakuwa haina uwezo tena wa kuhoji wala...
4 Reactions
8 Replies
108 Views
Wasalaam. Siasa ni sayansi na si mchezo mchafu, kama huamini sikiliza haya maneno ya mwanasayansi wa siasa utanielewa.
2 Reactions
5 Replies
92 Views
Kama wewe ndo ulitoa amri waue watoto wetu, basi jiuzuru wewe wao waendelee kukalia hivyo viti Lakini wao wapo na wewe upo ili Taifa halitopona mkuu achia nchi life lisonge Uliowaua wanalia...
0 Reactions
1 Replies
95 Views
Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imekitaka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ndani ya siku 13 kueleza kwa nini kisichukuliwe hatua za kisheria, ikiwemo kusimamishiwa usajili au...
8 Reactions
26 Replies
992 Views
Nawauliza mpo kimnya mpk sasahivi hakuna KAULI inayoeleweka je lissu anaumwa kweli? Kaisha fariki? Jitokezeni toeni KAULI anaumwa au kaisha fariki?!
2 Reactions
25 Replies
421 Views
A word of advice to you Dangote: You need to remember Samia will not be the president of Tanzania forever. Tread with care, watch what you say in public. Stop locking yourself into long term...
6 Reactions
24 Replies
387 Views
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema kabla ya kuanza kwa mchakato wa maridhiano ya kisiasa, ni vyema kuwabaini kuwachukulia hatua za kisheria...
1 Reactions
8 Replies
290 Views
Watu wengi huingia kwenye siasa kwa hisia, ushabiki, au kufuata watu wengine bila kuelewa kwa undani maana ya itikadi za kisiasa na jinsi zinavyoathiri maisha ya kila siku. Lakini ukweli ni kwamba...
3 Reactions
3 Replies
71 Views
WOTE TUTAMBUE JUKUMU LA MAMA SAMIA SIO KUTUPA WANANCHI FURSA,MAMBO MENGI HAYAFAI YAMETOKANA NA UTEGEMEZI HUU, JUKUMU LA MAMA SAMIA NI KUSIMAMIA SERIKALI NA UTENDAJI WAKE ,KUFANYA MIUNDO MBINU YA...
1 Reactions
15 Replies
150 Views
Guys Aisee watu wamevurugwa na hili liwe somo. Kwa watawala na wastaafu wasipende siasa rahisi na za uongo uongo. Kwa kwa sababu ya maudhui yake sitauweka hapa huo wimbo ila kama wewe ni mdau wa...
15 Reactions
47 Replies
2K Views
Back
Top Bottom