Mtakuwa wajinga mpaka lini?
Ni lini mmewahi kuona CCM wako busy na mambo ya CHADEMA au chama cha upinzani?
Nyie wapinzani mko kama fisi anayemnyemelea mtu anayetembea gizani akirusha mikono...
Iliwahikutabiriwa hii hali ya ccm kuwatesa wapinzani kwa kuwauwa kuwateka na kuwafungulia kesi za uongo. Godbless Lema akiwa mbunge kabla magufuli hajawafanyia uovu aliwahi kusema bungeni haya...
Wanabodi,
Nimemsikiliza Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe katika bandiko hili Mbowe: Najutia kumuamini Rais Samiahttps://youtu.be/Xjao83Ghy04?si=qSQTeSxIx_8B5a-L
Kiukweli kabisa mimi...
Hii inaleta picha kamili kuwa wanachoamini wananchi kina ukweli.
Vifo vya viongozi wengi wa CCM vina utata ndio maana
CCM ni chama cha watu waovu kama alivyosema Humphrey Polepole.
Maandalizi ya kikao maalum cha Kamati Kuu ya CHADEMA yamekamilika katika Edwin Mtei House, Makao Makuu ya Chama, Mikocheni, Dar es Salaam.
Kikao hicho kinafanyika leo, Jumamosi, Agosti 29, 2026...
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA (Bara), John Heche, ameibuka na kudai kuwepo kwa "mipango miovu" inayoratibiwa na baadhi ya waliokuwa wanachama na viongozi wa zamani wa chama hicho kuelekea Mkutano...
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema ni matamanio na matarajio ya Watanzania wote kwamba Makamu wa Rais, Deogratius Ndejembi, ataitumikia vyema Tanzania kwa...
Maana trust no one suspect anybody
Kama si hila tu kwa SAVIMBI nahisi na MBOMO atawekwa pembeni kwa kuwa Kama una share Siri za miezi mingi nyuma ina Maana nawe unahusika
Britanicca
Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Wakilj Boniface Mwabukusi, amesema Tanzania inahitaji umakini, kusikilizana na kukubali makosa ili kujenga maridhiano na kuanza mchakato wa uponyaji...
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Heche amesema kuna haja ya kuongeza msukumo kutoka kwa wananchi ili kuwafanya viongozi waliopo madarakani kutambua umuhimu wa...
Profesa Anna Tibaijuka amesema Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 inahitaji kufanyiwa maboresho katika maeneo mbalimbali ili kuimarisha mfumo wa kisiasa na uchaguzi nchini...
Wanabodi
Leo nimepata tena fursa ya kuwaletea PNA.
Kwa vile hii PNA ni kitu kipya, hizi siku za mwanzo nitakuwa kila siku nikifafanua PNA ni nini.
PNA ni PPR News Analysis: Huu ni uchambuzi wa...
Wanabodi
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Nipashe la leo.
Mada ya leo ni hoja ya Makamu Rais kuwaomba viongozi wa dini kumuombea Rais Samia. Swali ni hii hoja ya rais kuombewa, je rais...
Kwa mara ya kwanza Tanzania imepata Rais mwanamke tangu nchi ipate uhuru.
Katika hali ya kawaida kabisa ungetarajia wanawakewote wasomi na wajinga wangemuunga mkono mwanamke mwenzao kwa kuwa...
Richmond, Dowans na Symbion ni mali ya mtu mmoja yule yule The King Maker KM- RA.
Tozo ya Simbion ilikuwa dola milioni 350 wakakubali kulipwa nusu dola milioni 175 .
Blaza alipochomoka jamaa...
Ni bora akajiuzulu na kuwakabidhi nchi yao ikiwa ipo salama kabla hawajachomana mikuki.
Ni habari za mjini kutokana na hali ya Tanzania inavyoelekea nnavyoona hataki kubeba lawama huenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.