Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

  • Redirect
Huyu Rais ana akili ? Yaani katiba ni ya Tanzania unatuambia mabalozi wanaifurahia ? Wtf ?
1 Reactions
Replies
Views
Mtakuwa wajinga mpaka lini? Ni lini mmewahi kuona CCM wako busy na mambo ya CHADEMA au chama cha upinzani? Nyie wapinzani mko kama fisi anayemnyemelea mtu anayetembea gizani akirusha mikono...
3 Reactions
31 Replies
286 Views
Iliwahikutabiriwa hii hali ya ccm kuwatesa wapinzani kwa kuwauwa kuwateka na kuwafungulia kesi za uongo. Godbless Lema akiwa mbunge kabla magufuli hajawafanyia uovu aliwahi kusema bungeni haya...
5 Reactions
28 Replies
357 Views
Wanabodi, Nimemsikiliza Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe katika bandiko hili Mbowe: Najutia kumuamini Rais Samiahttps://youtu.be/Xjao83Ghy04?si=qSQTeSxIx_8B5a-L Kiukweli kabisa mimi...
12 Reactions
147 Replies
31K Views
Hii inaleta picha kamili kuwa wanachoamini wananchi kina ukweli. Vifo vya viongozi wengi wa CCM vina utata ndio maana CCM ni chama cha watu waovu kama alivyosema Humphrey Polepole.
2 Reactions
10 Replies
176 Views
Maandalizi ya kikao maalum cha Kamati Kuu ya CHADEMA yamekamilika katika Edwin Mtei House, Makao Makuu ya Chama, Mikocheni, Dar es Salaam. Kikao hicho kinafanyika leo, Jumamosi, Agosti 29, 2026...
3 Reactions
8 Replies
199 Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA (Bara), John Heche, ameibuka na kudai kuwepo kwa "mipango miovu" inayoratibiwa na baadhi ya waliokuwa wanachama na viongozi wa zamani wa chama hicho kuelekea Mkutano...
5 Reactions
3 Replies
153 Views
  • Redirect
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema ni matamanio na matarajio ya Watanzania wote kwamba Makamu wa Rais, Deogratius Ndejembi, ataitumikia vyema Tanzania kwa...
1 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Maana trust no one suspect anybody Kama si hila tu kwa SAVIMBI nahisi na MBOMO atawekwa pembeni kwa kuwa Kama una share Siri za miezi mingi nyuma ina Maana nawe unahusika Britanicca
10 Reactions
Replies
Views
Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Wakilj Boniface Mwabukusi, amesema Tanzania inahitaji umakini, kusikilizana na kukubali makosa ili kujenga maridhiano na kuanza mchakato wa uponyaji...
0 Reactions
0 Replies
31 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Heche amesema kuna haja ya kuongeza msukumo kutoka kwa wananchi ili kuwafanya viongozi waliopo madarakani kutambua umuhimu wa...
0 Reactions
0 Replies
54 Views
Nyerere is to blame for some of what is happenng now in Tanzania
2 Reactions
6 Replies
178 Views
Profesa Anna Tibaijuka amesema Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 inahitaji kufanyiwa maboresho katika maeneo mbalimbali ili kuimarisha mfumo wa kisiasa na uchaguzi nchini...
0 Reactions
0 Replies
20 Views
Wanabodi Leo nimepata tena fursa ya kuwaletea PNA. Kwa vile hii PNA ni kitu kipya, hizi siku za mwanzo nitakuwa kila siku nikifafanua PNA ni nini. PNA ni PPR News Analysis: Huu ni uchambuzi wa...
11 Reactions
41 Replies
1K Views
Wanabodi Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Nipashe la leo. Mada ya leo ni hoja ya Makamu Rais kuwaomba viongozi wa dini kumuombea Rais Samia. Swali ni hii hoja ya rais kuombewa, je rais...
1 Reactions
16 Replies
308 Views
  • Redirect
Kwa mara ya kwanza Tanzania imepata Rais mwanamke tangu nchi ipate uhuru. Katika hali ya kawaida kabisa ungetarajia wanawakewote wasomi na wajinga wangemuunga mkono mwanamke mwenzao kwa kuwa...
3 Reactions
Replies
Views
Richmond, Dowans na Symbion ni mali ya mtu mmoja yule yule The King Maker KM- RA. Tozo ya Simbion ilikuwa dola milioni 350 wakakubali kulipwa nusu dola milioni 175 . Blaza alipochomoka jamaa...
154 Reactions
471 Replies
33K Views
Ni bora akajiuzulu na kuwakabidhi nchi yao ikiwa ipo salama kabla hawajachomana mikuki. Ni habari za mjini kutokana na hali ya Tanzania inavyoelekea nnavyoona hataki kubeba lawama huenda...
27 Reactions
98 Replies
5K Views
Back
Top Bottom