Hii ndio Taarifa mpya kutoka Mbeya, ambayo tumeona ni vema kuwashirikisha
Baada ya Bilionea Joseph Mbilinyi kutangaza uzinduzi wa Mikutano ya hadhara ya CHAMA chake Mjini Uyole, baadhi ya wanaccm...
Hatimaye Apostle Boniface Godwin Mwamposa (Bulldozer) uvumilivu imemshinda.
Tundu Lissu yupo Gerezani, Samia kupitia tume alounda Kakiri kaua watu 500 ili awe Rais.
Hata kabla ya kugombania...
Msigwa amejitapa kuwa dunia ya sasa ipo juu kiteknolojia. Ndio maana waliomkamata wametiwa mbaroni na polisi.
Haya sasa hivi ni zaidi ya masaa 24 kwq nini hawajap3lekwa mahakamani kwa mujipu wa...
My Take
Safi sana ni mwendo wa kusogeza Huduma Kwa Wananchi,wanaozubaa wacha wazubae.
Ni aibu Kwa Nchi kama Zanzibar ambayo ni kitovu Cha Utalii Tanzania kushindwa kuwa na hospital Bora za...
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amewataka Maafisa Habari, Itifaki, Mawasiliano na Uhusiano Serikalini kufikisha taarifa...
Waungwana kuna jambo haliko sawa kabisa, kwa sasa magari sio lazima yaende tena stand ya Magufuli, yameruhusiwa kila basi kuwa na stand au ofisi yake popote inapojisikia.
Ile stand ilitengenezwa...
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha, Saipulan Ramsey, amefunguka kuelekea mkutano wa chama cha Chadema amesema kwamba Godbless Lema ni mkuu wa masoko...
Chagua jina litakalofaa pale taifa letu litakapokombolewa
NB: unaweza kutaja sababu
1. Tanganyika
2. Tanzania
Mwisho wa kupiga kura ni tarehe 18.01.2026
Hamjambo!
1. Kuwanyoosha vijana ni jukumu la wazazi, walezi na Mahakama.
2. Msingi Mkuu wa Malezi na kunyoosha Tabia ni kwa Viongozi na wazazi ambao hapa watakuwa role model kwa vijana wao
3...
Taarifa iliyotolewa na viongozi wa Kanda hiyo wametangaza kuzindua mikutano yao tarehe 13/5/2026
Cha kufurahisha ni Kwamba uzinduzi wa Mikutano hiyo utafanyika kwenye uwanja ambao Tundu Lissu...
Wanabodi,
Hii ni makala yangu, katika gazeti la Mwananchi la leo, nikizungumzia maisha ya kisasa, na mambo ya kisasa, pesa ndio kila kitu!, siku hizi hakuna cha bure!, kwanini mpaka leo habari ni...
Balozi mteule wa Marekani nchini Tanzania, William Trachman, amesema pamoja na changamoto zilizojitokeza baada ya uchaguzi wa Oktoba 2025, bado Tanzania inaendelea kuwa mshirika muhimu wa Marekani...
Mtindo wa Uongozi wa Maridhiano na Kusikiliza
Kwa list fupi:
1. Kufungua nafasi ya siasa – Aliwaruhusu mikutano ya vyama, akaachia wanasiasa waliokuwa jela/uhamishoni
2. Kusamehe na kusikiliza...
Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan ametua ndani ya Ukonga na kushiriki hafla ya kutoa vyeti vya uongozi...
Mimi Jana nilikuwepo Arusha hakukuwa na watu kabisa kwenye mkutano wa Lema na ukiangalia kwenye social media picha ni tofauti na uhalisia eti chadema mnafanya hivo kwa faida gani?
Acheni usela...
Ndugu zangu Watanzania,
Sisi kama Taifa hakuna kitu ambacho Mmarekani anaweza kutufundisha ama kutuelekeza juu ya demokrasia ama haki za Binadamu. Hakuna anachoweza kutufundisha katika Jambo...
Pamoja na mapungufu yao ya hapa na pale hiki chama kiko vizuri kwenye ishu za kidijitali. Wanaenda vizuri na mabadiliko makubwa ya kiteknolojia. Ninawapongeza na kuwasihi waendelee hivyohivyo...
:
Katika hali isiyotarajiwa, viongozi waandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wanaweza kujikuta kwenye wakati mgumu baada ya uwepo wa taarifa zinazodai kuwa wamefunguliwa kesi...
Kuna taarifa kuwa Anna Maulidah Valerian Komu, ambaye alikuwa ni mmoja kati ya walalamikaji katika shauri la mgawanyo wa rasilimali za CHADEMA, amefariki dunia. Mazishi yatakuwa kesho.
Mama huyu...
Akijibu swali la Mtangazaji Ivyona Kamuntu aliyetaka kujua mpaka sasa PPP Tanzania imefanikisha miradi kiasi gani kwa ujumla wake,
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.