Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imeanza kuzihoji Halmashauri 39 kutoka Mikoa 15 zilizobainika kuwa na hoja mbalimbali katika Taarifa za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa...
Hivi milioni mia3.34 ni za kuwatoa jasho kweli my friends, ladies and gentlemen?
Kulikoni chadema chadema wawe wagumu kiasi hiki kwenye kuchangia pesa kwaajili ya chama chao, lakini ni wepesi...
Najiuliza hii confidence kaitoa wapi huyu dada wa chaumma?
Sema kama Taifa tumefikia pabaya..
Fikiria mtu mwenye hadhi ya mwenyekiti wa chamma upande wa vijana CHAUMMA mkoa wa katavi anapata...
Kwa miaka kadhaa, jina la Edwin Watenya Sifuna limekuwa miongoni mwa yanayotajwa zaidi katika siasa za Kenya.
Wakati wengi walimfahamu kama Katibu Mkuu wa Orange Democratic Movement (ODM) na...
Aliyemtuhumu Heche akiomba radhi"Narudia kuomba msamaha tena kwa viongozi wote walio hapa, kwa Makamu Mwenyekiti. Na imani nimekosea. Basi kama pale nilipokosea na nimeamini nimekosea, naomba...
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Shinyanga, Mabala Mlolwa, akizungumza na mabalozi na makada mbalimbali wa CCM mkoani humo, amesema Katiba Mpya haiwezi kupatikana kwa malalamiko...
Leo 2026, miaka mingi imepita tangu Muammar Gaddafi auawe kama mnyama mbele ya macho ya dunia. Waafrika wengi wanazungumza kwa hisia, lakini ukweli mchungu ni kwamba sisi wenyewe tulifungua...
Mtoto wa Abdul Nassib (Diamond Platnumz) na Zuhura Othman (Zuchu) ndiyo kwanza ana siku kadhaa leo tayari anamilioni 700, ndugu zetu tonetone wanaojinasibu chama kinapendawa na Watanzani...
Mkazi wa Sinza Mori, Janeth Ndimbo (30) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashtaka manane ya usafirishaji haramu wa binadamu.
Amefikishwa mahakamani hapo leo...
Ndugu zangu Watanzania,
Amini Nawaambieni Ya Kuwa Huwezi Kuwa Rais wa Nchi Hii Kama Haikupangwa Na Mungu toka katika Ulimwengu wa Kiroho hata kabla ya kuzaliwa Kwako. Huwezi Kuwa Rais Kama...
Sheikh Saidi Mwaipopo akizungumza na waandishi wa habari Agosti 03, 2026. Amekemea mipango miovu inayopangwa na baadhi ya watu kutekeleza miundombinu ya nchi, vitisho dhidi yake pamoja na tabia...
Katibu wa CHADEMA Wilaya ya Lushoto, mkoani Tanga, Jerida Ramadhan Hosha, amejitokeza hadharani na kumuomba msamaha Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho, John Heche, pamoja na Chama kwa ujumla, baada...
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche amesema endapo chama hicho hakitashirikishwa kwenye maridhiano, maana yake itakuwa robo tatu ya Watanzania watakuwa hawajashirikishwa.
Akizungumza Agosti...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetangaza nia ya kuwachukulia hatua za kisheria watu wanaojitambulisha kuwa viongozi wa chama hicho bila uhalali, kikidai wamekuwa wakikibagaza chama...
Wanabodi. Tumsifu Yesu Kristo. Asalama leko.
Kama kichwa cha habari hapo juu
Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania dkt Samia Suluhu Hassani.
Mwanamke wa kwanza kushika nafasi ya juu ya uongozi...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo akizungumza katika Mahojiano yaliyorushwa Julai 8, 2026 na M & S Podcast amesema;
"Chama kikubwa kama CCM hata nafasi ya...
Naibu Waziri,Ofisi ya Waziri mkuu kazi,vijana,na ajira pia mbunge wa chama cha mapinduzi jimbo la Shinyanga mjini Mh Paschal Katambi ametembelea katika uwanja wa ndege wa Shekh Abeid Amani Karume...
Habari za Sabato!
1. Bado tunafuatilia mambo yanavyoendelea.
2. Shujaa na Legendary ni Yule mwenye msimamo wa Haki, mwenye uwezo wa kujitoa maisha yake kwaajili ya msimamo wake na kupigania Haki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.