Hello everyone,
I would like to ask for advice regarding an ongoing issue we are facing in North Zanzibar.
We have neighbours who regularly organize very loud parties, even though the President...
Hili ni jambo la muhimu sana kufanyika kwa sasa hasa baada ya TBC kupoteza mvuto kwa wananchi kwa kiwango cha kutisha mno.
Bila shaka aliyefanya jambo lile alilipwa ili kuhujumu TV ya Taifa, si...
Hakunaga msamaha kwenye kosa hilo la wazi kabisa.
Ikiwa mtuhumiwa atapunguziwa adhabu, basi itakua ni adhabu ya kifungo cha maisha badala ya kunyongwa hadi kufa, na si vinginevyo.
Ni vema wanao...
Najiuliza kama niliweza kuachana na mke wangu wa ndoa niliyempenda kutoka moyoni kwa Nini nashindwa kuichukia CHADEMA?
Najiuliza Ili swali nakosa majibu ebu wadau saidieni kwa nini hali ili hivi...
BARUA YA WAZI KWA TUNDU LISU
Na, Robert Heriel
Taikon wa Fasihi,
S.L.P 9977, JIBI,
Kutoka Nyota ya Tibeli.
30, 07. 2020.
YAH: KUKUONYA DHIDI YA KUTETEA MASIKINI NA WAPUMBAVU.
Ndugu Mhe Lisu...
Hali ya sasa kiuchumi ime collapse kwa sababu viongozi waliopo ni mambumbumbu wenye matumbo makubwa kuliko akili.
Ukichukua pay slip ya mtumishi wa Tanzania anaelipwa 3M na akasomeshwa na bodi ...
Kwa hali ilivyo kwa sasa inaonyesha ni dhahiri dini imetekwa na siasa. Kwa maneno mengine ni kwamba wanasiasa wameamua kwa nguvu sana kuitumia dini kutimiza adhma zao za kisiasa.
Dini imekuwa...
Rais hataniwi kamwe,
Ila Magufuli aliweza kumtania Jakaya, hata alipozingua alimsemelea kwa kaka yake selemani.
Wakenya mwacheni mama yetu tafadhali, mnatumia AI kuonesha mama yetu azungusha...
Kuna clip mama anashangaa kumuona Makamu ukumbini wakati wa kutangaza cabinet nadhan mmeiona
Samia na genge lake walimtuma Congo, huku wakapanga cabinet, wakati wanaenda kutangaza akashangaa...
Ni mda watanzania wote bila kujali itikadi za vyama na dini zetu kutoka na kushinikiza mamlaka kumwachia Tundu Lissu bila masharti yoyote. Na mamlaka kutoka na kusema Polepole yuko wapi hii nchi...
Wakili William Maduhu kutoka Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) akizungumza katika mahojiano na Jambo TV leo Machi 19, 2026 ameongelea kuhusu ucheleweshwaji wa kesi kusikilizwa licha ya...
MHE DAVID KAFULILA: TUMEMKATAA MBIA BARABARA YA KULIPIA KIBAHA- CHALINZE KWA MASLAHI YA NCHI
====
Mhe. David Kafulila, akizungumza na wananchi kupitia kituo cha runinga cha ITV, amewataarifu...
SI wengine Wala sipepeshi macho. Ni Bensoni Bagonza na Proffesa Anna Tibaijuka Nina hakika Dr Samia anawachukia mno kisa wanamshauri ukweli ila hao ni zaidi ya Baraza lake la mawaziri ambao hawana...
Kuna wanaosema Mbowe ndo awe mgombea Kwakuwa Lissu aligombea wakati uliopita Ila wakumbuke
Mbowe aligombea 2005. Hata hivyo Tundu Lissu bado relevance yake ipo na anao mvuto ambao ni wa kipekee...
Najua vyema kuwa nchi mbili ziliungana kuunda jamuhuri ya muungano wa Tanzania. Zanzibar na Tanganyika.
Zanzibar ni nchi huru ikiwa na "simple" mandate lakini kwa Tanganyika imevaa koti la...
UDADISI: Rethinking in Action: TUACHIENI NYERERE WETU
MMETUPORA KILA KILICHO CHETU, TUACHIENI NYERERE WETU
Na Mwl. Sabatho Nyamsenda
Wanyonge walia, waporaji washerehekea
Siku ya leo nchi...
Kwa mara ya kwanza sasa naanza kuona Wananchi wanajielewa, wengi kabisa wamepinga na kuidharau Sikukuu iliyotangazwa na BAKWATA
Mara zote waislam wamekuwa wanadanganywa n.a. BAKWATA, Leo...
Naandika haya nikiamini utayasoma kwakuwa wewe ni mmoja wa wanajukwaa JF
Sasa hivi nchini kuna makampuni mengi yanayoagiza mali zilizokwisha tumika toka nje.
Ni jambo zuri sana kwani...
Wenzetu zanzabar wamefanikiwa kubadili katiba yao, wamefanikiwa kuondoa vifungu ambavyo vipo kwenye katiba ya muungano ambavyo hawavipendi lakini hakuna mtu au watu wanaopigania Tanganyika kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.