Habari za Jumapili.
1. Ndugu zangu bado tupo kwenye Wajibu.
2. Vyovyote iwavyo asitokee mtu akauawa. Ni hatari sana.
3. Muibie mtu atakusamehe ukimrudishia fidia. Mfunge MTU kwa kesi hata za...
Kwenye mahojiano na Jamhuri TV, Jaji Mstaafu Joseph Warioba amesema kwenye Vita ya Kagera, vijana wengi waliuawa na adui. Aidha, ukilinganisha na takwimu zinazozungumziwa sasa, idadi ya waliokufa...
Pamoja na wauaji kulipa $45,000 kila mwezi kusaidia sera ziwe rafiki ya wauaji wetu bado imegoma. Hongera kwa wakina Libe , Katili na Fue kwa kazi kubwa ya kuongea na Ma senator wa Marekani...
Mwandishi wa habari mkongwe Pascal Mayalla amesema kuwa wakati wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 1995, ambao ulikuwa uchaguzi wa kwanza wa mfumo wa vyama vingi nchini, alitangaza kuwa Maalim Seif Sharif...
Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Sheikh Hemedi Jalala Mwakindenge, amesema mataifa ya nje (mabeberu) yanatumia mmomonyoko wa maadili na uzushi wa mitandaoni kama silaha ya...
Rais Mteule wa Senegal Bassirou Diomaye Faye Asikubali kamwe kuwa Rais kivuli na WA kupangiwa na Kuendeshwa na Bwana Ousmane Sonko ambae anajiona ndio amefanikisha Jamaa kuwa Rais.
Mara kadhaa...
Tulitoa angalizo mapema kuwa hili litakuja kutuletea matatizo, SA kajibiwa live kwa sababu ni big fish sisi tutajibiwa kimya kimya.
US house of Foreign Affairs:
No friend of the Ayatollah is a...
Activism has became a new way of domestic and international terrorism.
Many East and Southern Africa nations are faced with the new wave of terrorism by the name of activism.
Most of activists...
Aliyekuwa Kada wa CHAUMMA, Patrick Assenga ametangaza kukihama chama hicho na kurejea Chama CHADEMA ambacho kimsingi ni chama alichokitumikia kwa miaka mingi kabla ya kuhama hapo
Akizungumza na...
Nimesikiliza Wabunge na hata waziri wa mambo ya nchi za nje wakipiga kelele Bungeni kuhusu tishio la vikwazo vya USA kwa viongozi wa CCM na watendaji wengine. Wamefika hata kudai kuwaleta viongozi...
Ni wazi kuwa uongozi wa Mama Samia unaendelea kuonyesha sura ya upendo, mshikamano na umoja wa kitaifa.
Kupitia salamu hizi za heri ya Eid Al Adha, ameonesha kuwa yeye ni kiongozi wa wote...
CCM naendelea kuwakumbusha huu ni mwanzo tu mtalipia damu mlizomwaga za watanzania.
Nawakumbusha damu huwa inalipwa kwa damu huu ni mwanzo tu.
Nawashauri kabla ya mambo hayajakuwa...
Mswada upo bungeni kinachosubiriwa ni Trump kuweka sahihi.
U.S. Senate Fioreign Relations Committee Chairman, Sen. Jim Risch, R-Idaho alishauri iundwe tume huru ya kimataifa mkampuuza.
U.S...
Ni vyema sasa na wabunge wetu wakapewa nafasi ya kuwajibu hawa mabeberu wenye kushirikiana na vibaraka wao ambao kazi yao ni kuchafua taswira ya Tanzania.
Utashangaa kabunge kabinti hata ubwabwa...
Uhuru wetu utakuwa mashakani kama tutaendelea kutegemea misaada kutoka nchi za Magharibi. Maana yule anayemlipa mwimbaji ndiye atakaechagua wimbo.
Ndugu zangu tuwakumbushe viongozi wakusanye Kodi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.