Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Retired From Politics, Former VP Offers to Serve as New Deputy Sweeps In With Widespread Support DODOMA, Tanzania Tanzania’s political landscape is shifting rapidly. After leaving office, former...
0 Reactions
0 Replies
204 Views
Huu ni mkutano muhimu katika nyakati hizi za mivutano ya siasa za kiuchumi na kikanda
2 Reactions
27 Replies
333 Views
Ukweli mchungu huu! Sikumbuki ni uchaguzi upi uliwahi kufanyika Zanzibar kwa amani bila damu kumwagika zaidi ya ule wa mwaka jana pekee!! Kwa miaka mingi damu za wazanzibari zimemwagwa sana...
0 Reactions
5 Replies
107 Views
Mwanahabari mkongwe nchini, Jenerali Ulimwengu amesema Tanzania inapaswa kujipa muda katika kujenga mifumo bora ya kidemokrasia, akitolea mfano uchaguzi wa ndani wa Chama cha Demokrasia na...
15 Reactions
21 Replies
373 Views
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP Centre), David Kafulila, amesema mafanikio ya taifa hayawezi kupimwa kwa ukubwa wa miradi ya miundombinu pekee...
1 Reactions
14 Replies
119 Views
https://www.youtube.com/live/pMhiTp9NL64?si=xROoNvI7LdkavRdN Mjadala wa PPP na Maendeleo ya Tanzania Waendelea Arusha == Mjadala kuhusu nafasi ya Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP)...
4 Reactions
18 Replies
114 Views
Mhadhara wa umma unaofanyika katika Chuo Kikuu Mzumbe, Ndaki ya Mbeya umehudhuriwa na wataalamu na wanazuoni mbalimbali ambapo Mhadhiri wa chuo hiko kutoka Idara ya Mafunzo ya Biashara na Mtaalam...
4 Reactions
28 Replies
449 Views
Kafulila na Ramani ya Uchumi wa Dola Trilioni Moja ==== Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC), David Kafulila, amesema Tanzania inaweza kufikia uchumi...
6 Reactions
32 Replies
754 Views
Home Jamvi Ukweli ni Upi Kuhusu Oscar Kambona? Ukweli ni Upi Kuhusu Oscar Kambona? Global Publishers September 14, 2021 5,900 views 0 Comments SHARE THIS: Marehemu Oscar Kambona alizaliwa mwaka...
2 Reactions
2 Replies
108 Views
Video hizi mbili fupi zinatupa taswira ya kina na ya kipekee kuhusu mienendo ya uongozi wa kitaifa, siasa za madaraka, na migogoro ya kimaslahi inayowakabili viongozi na watoa maamuzi. Katika...
0 Reactions
4 Replies
45 Views
Hayo ni maneno ya kuleta taharuki. Nimeona mtu mmoja anaeleza sasa hivi. Anasema kiongozi kama Nchimbi ambaye anajua siri nyingi za serikali akijiuzulu au akistaafu au akifukuzwa kazi,anakua...
9 Reactions
34 Replies
1K Views
Familia mbili nchini zenye ushawishi ktk tasnia ya siasa, zaanza kuvutana. Inadaiwa JK anataka RK aanze huku naye YM akitaka JM ndiye aanze. Uzee unakuja kwa kasi kwa wote wawili RK na JM na...
33 Reactions
365 Replies
20K Views
Kumbukumbu zinaonyesha, Kamati Ndogo ya Maadili ilishawahi kumvua uanachama aliyekuwa Jasusi Mbobevu ambaye kwa Sasa ni Marehemu. Jibu ni Ndiyo inayo uwezo huo. Na endapo ikitokea, je Tutegemee...
1 Reactions
19 Replies
304 Views
Mbona huwa sijawahi kuwaonea wakina Majaliwa na Mwigulu wakienda kutoa maelekezo, maagizo na kufanya mikutano ya kutatua changamoto za wananchi Unguja au Pumba? Hii nafasi ya waziri mkuu wa...
4 Reactions
11 Replies
172 Views
Yule rais wao Toka aapishwe kuongoza lile taifa la Malawi na kuendelea mpaka sasa anaenda kumaliza mwaka wa kwanza wa awamu ya pili madarakani. Kashafanya kazi na manaibu prezida watatu japokua...
2 Reactions
5 Replies
140 Views
Nilijuwa tu ingekuwa hivi. https://www.youtube.com/live/WsIGb9vVMec?si=PlUY2O1nojL2QYr_
1 Reactions
13 Replies
220 Views
Maria Sarungi ameandika post ambazo zimenifanya nimjue kuwa hana akili sawasawa, hajui mambo mengi sana, wajinga tu ndo wanaweza kuamini post zake. Kwasababu chadema Ina ujinga ujinga na upumbavu...
5 Reactions
23 Replies
413 Views
Awamu ile nyingine hadithi na porojo zilikuwa nyingi sana kuhusu viwanda, ila wakaishia kuaibika kwa kusema vyerehani na vijiwe vya uchomeleaji ni viwanda. Hilo halipo awamu ya 6, ni maneno na...
8 Reactions
244 Replies
40K Views
Katika jambo baya sana wakoloni walilotufanyia Africa ilikuwa ni kugawa bara la Africa mezani katika vipande mbalimbali bandia walivyoviita nchi. Hili ni jambo ambalo limewatesa sana Waafrika...
5 Reactions
37 Replies
295 Views
Back
Top Bottom