Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

"Vyombo vya ulinzi na usalama mahala pao ni barracks, ni vituo vya polisi, ni kwenye kazi za kiintelijensia, sio siasa. Siasa iachwe ifanywe na wanasiasa. Vyombo viwe delinked na siasa, na wao...
4 Reactions
9 Replies
226 Views
Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la Jumatano ya leo ni kuwaelimisha Watanzania kuwa kwa mujibu wa Katiba ya JMT ya mwaka 1977. Rais wa JMT kama Taasisi ya urais, hakosei...
5 Reactions
19 Replies
328 Views
Huwezi kuacha kujiuliza hili swali. Kwa matukio ya hivi karibuni, hasa hili la jaribio la kutekwa kwa kada wa CHADEMA aitwaye Jumbe, wengi tumejiuliza. Watekaji inasemekana walikuwa na lafudhi...
15 Reactions
51 Replies
874 Views
Habari za ndani zina sema mwezi wa sita mwishoni ujumbe wa CCM ukiongizwa na watajwa hapo juu utaelekea Marekani ili kuitetea serikali ya CCM kwa mauaji yaliyotokea October 29 30 na 31 pamoja...
6 Reactions
29 Replies
407 Views
Wanabodi, Kama kawaida yangu, siku za Jumapili, nikiwa nimejimpumzikia home baada ya ibada, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu elimishi za KMT, kwa maslahi ya taifa, ambazo ni za kuwafunda...
32 Reactions
335 Replies
17K Views
Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Nipashe la Leo. Kufuatia Ibara ya 46 ya katiba yetu kuwa na kipengele cha kinga yaq Rais wa Tanzania, hawezi kushitakiwa mahakamani kwa kosa lolote...
1 Reactions
17 Replies
261 Views
Narejea maneno haya kwa hali mpya ya sasa. Kwa hali ilivyo sasa kundi la Cartel limekuwa kubwa. Mahakama hazitendi haki, zinashirikiana na waharifu. Polisi hawatendi haki, vituo vimekuwa ni sehemu...
6 Reactions
25 Replies
3K Views
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dkt. Leonard Douglas Akwilapo, leo Mei 28, 2026, amewasilisha bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2026/2027...
1 Reactions
2 Replies
65 Views
Zitto Zuberi Kabwe, Kiongozi Mstaafu wa ACT WAZALENDO akihojiwa na Clouds FM ameitaka ofisi ya kumuachi Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu bila masharti yoyote ili kuweka sawa baadhi ya mambo...
4 Reactions
3 Replies
132 Views
Katika mahojiano ya hivi karibuni na M&S Podcast, Mahita amesema kuwa mamlaka za kiserikali zilionesha hekima na ustahimilivu mkubwa kwa kukataa kuingizwa katika mtego wa mapambano ya ghasia...
1 Reactions
3 Replies
132 Views
I was thinking people like IGPs should be different, at least ... repect! ------------------------- House girl sues Mahita over child upkeep FAUSTINE KAPAMA Daily News; Wednesday,September...
4 Reactions
151 Replies
31K Views
Nimeisoma hoja ya mwandishi nguli na mwanasheria, Paschal Mayalla, akihoji: "Nani alitoa amri ya kufyatua risasi?" Ni haki yake kikatiba kutoa maoni, lakini kama mwanasheria na mtu aliyekulia...
9 Reactions
56 Replies
1K Views
"IGP Mstaafu, Omary Mahita kusema wanasiasa wanaingilia jeshi. Tumekuwa tukisema siku zote kwamba sasa hivi vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, mwananchi wa kawaida hawezi kuchora mstari kusema...
6 Reactions
14 Replies
305 Views
Kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe akifanya Mahojiano na Clouds Media leo Mei 28, 2026 "Kuwa na bunge ambalo ni 96% ni chama kimoja huwezi kupata fikra tofauti. Kwa hiyo...
0 Reactions
1 Replies
72 Views
Salaam Wakuu, Kabla ya Yote naomba niwakumbushe, asilimia 98 ya Watu wanaopotezwa, Kutekwa na kuuawa Nchi Tanzania ni Wakristo. Hivyo nakubaliana na hatua zozote Marekani itachukua dhidi ya...
20 Reactions
65 Replies
1K Views
Kwa miaka ya hivi karibuni, maisha ya wananchi wa kawaida yameendelea kuwa magumu kutokana na kupanda kwa gharama za maisha. Bei za mafuta zimepanda, na matokeo yake yameonekana moja kwa moja...
4 Reactions
5 Replies
228 Views
Huku Afrika kipimo cha uzalendo ni kukubali kuteseka, kuficha ukweli uwazi, kutokuwajibika yaani viongozi wa sub sahara wanataka watu wateseke na kujivunia shida zao kama wazalendo, wananchi...
0 Reactions
1 Replies
64 Views
  • Redirect
Moja ya msingi mkuu wa kwenda kufuta dhambi na kutubu kwa yote ambayo mabaya kiumbe uliyoyafanya. Binaadam ktk maisha unakosea na fursa imetolewa kitubu, sisi waislam moja ya fursa hio ni hijja...
0 Reactions
Replies
Views
"Ni kama watawala wetu wanatamani the Chinese way. Wanatamani eh mfumo wetu ungekuwa kama CCP, the Chinese Communist Party. Ninavyoona. Lakini wale China, pamoja na kwamba ni chama kimoja, eh...
2 Reactions
2 Replies
100 Views
Back
Top Bottom