"Vyombo vya ulinzi na usalama mahala pao ni barracks, ni vituo vya polisi, ni kwenye kazi za kiintelijensia, sio siasa. Siasa iachwe ifanywe na wanasiasa. Vyombo viwe delinked na siasa, na wao...
Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la Jumatano ya leo ni kuwaelimisha Watanzania kuwa
kwa mujibu wa Katiba ya JMT ya mwaka 1977. Rais wa JMT kama Taasisi ya urais, hakosei...
Huwezi kuacha kujiuliza hili swali.
Kwa matukio ya hivi karibuni, hasa hili la jaribio la kutekwa kwa kada wa CHADEMA aitwaye Jumbe, wengi tumejiuliza.
Watekaji inasemekana walikuwa na lafudhi...
Habari za ndani zina sema mwezi wa sita mwishoni ujumbe wa CCM ukiongizwa na watajwa hapo juu utaelekea Marekani ili kuitetea serikali ya CCM kwa mauaji yaliyotokea October 29 30 na 31 pamoja...
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, siku za Jumapili, nikiwa nimejimpumzikia home baada ya ibada, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu elimishi za KMT, kwa maslahi ya taifa, ambazo ni za kuwafunda...
Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Nipashe la Leo.
Kufuatia Ibara ya 46 ya katiba yetu kuwa na kipengele cha kinga yaq Rais wa Tanzania, hawezi kushitakiwa mahakamani kwa kosa lolote...
Narejea maneno haya kwa hali mpya ya sasa. Kwa hali ilivyo sasa kundi la Cartel limekuwa kubwa. Mahakama hazitendi haki, zinashirikiana na waharifu. Polisi hawatendi haki, vituo vimekuwa ni sehemu...
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dkt. Leonard Douglas Akwilapo, leo Mei 28, 2026, amewasilisha bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2026/2027...
Zitto Zuberi Kabwe, Kiongozi Mstaafu wa ACT WAZALENDO akihojiwa na Clouds FM ameitaka ofisi ya kumuachi Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu bila masharti yoyote ili kuweka sawa baadhi ya mambo...
Katika mahojiano ya hivi karibuni na M&S Podcast, Mahita amesema kuwa mamlaka za kiserikali zilionesha hekima na ustahimilivu mkubwa kwa kukataa kuingizwa katika mtego wa mapambano ya ghasia...
I was thinking people like IGPs should be different, at least ... repect!
-------------------------
House girl sues Mahita over child upkeep
FAUSTINE KAPAMA
Daily News; Wednesday,September...
Nimeisoma hoja ya mwandishi nguli na mwanasheria, Paschal Mayalla, akihoji: "Nani alitoa amri ya kufyatua risasi?" Ni haki yake kikatiba kutoa maoni, lakini kama mwanasheria na mtu aliyekulia...
"IGP Mstaafu, Omary Mahita kusema wanasiasa wanaingilia jeshi. Tumekuwa tukisema siku zote kwamba sasa hivi vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, mwananchi wa kawaida hawezi kuchora mstari kusema...
Kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe akifanya Mahojiano na Clouds Media leo Mei 28, 2026
"Kuwa na bunge ambalo ni 96% ni chama kimoja huwezi kupata fikra tofauti. Kwa hiyo...
Salaam Wakuu,
Kabla ya Yote naomba niwakumbushe, asilimia 98 ya Watu wanaopotezwa, Kutekwa na kuuawa Nchi Tanzania ni Wakristo.
Hivyo nakubaliana na hatua zozote Marekani itachukua dhidi ya...
Kwa miaka ya hivi karibuni, maisha ya wananchi wa kawaida yameendelea kuwa magumu kutokana na kupanda kwa gharama za maisha. Bei za mafuta zimepanda, na matokeo yake yameonekana moja kwa moja...
Huku Afrika kipimo cha uzalendo ni kukubali kuteseka, kuficha ukweli uwazi, kutokuwajibika yaani viongozi wa sub sahara wanataka watu wateseke na kujivunia shida zao kama wazalendo, wananchi...
Moja ya msingi mkuu wa kwenda kufuta dhambi na kutubu kwa yote ambayo mabaya kiumbe uliyoyafanya.
Binaadam ktk maisha unakosea na fursa imetolewa kitubu, sisi waislam moja ya fursa hio ni hijja...
"Ni kama watawala wetu wanatamani the Chinese way. Wanatamani eh mfumo wetu ungekuwa kama CCP, the Chinese Communist Party. Ninavyoona.
Lakini wale China, pamoja na kwamba ni chama kimoja, eh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.