Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wakuu hongereni na poleni sana na harakati za maisha. Mtaji wa kwanza kwa mwanadamu ni Afya tusiache kulingia afya tuliyonayo maana wapo wenzetu humu na wengine ma hospitalini huko wana pambania...
3 Reactions
7 Replies
165 Views
Kuna mambo nchi hii, yanatia kinyaa, yanaleta aibu, na masikitiko makubwa sana. Mtu anasimama na kudai kuwa kemeo la Marekani dhidi ya mauaji ya 29 October 2025, na utekaji wa wanaotetea haki na...
7 Reactions
10 Replies
141 Views
Wakuu Waziri wa mambo ya ndani Patrobas Katambi anawabatiza watu wenye mitazamo mbadala kama "wasaliti" na "choroko zisizoiva," huku akitumia mifano ya kidini kumweka Rais kwenye nafasi ya...
1 Reactions
10 Replies
196 Views
  • Redirect
Kutoka Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam leo, Alhamisi Mei 28.2026, Mahakama imeifuta rasmi na kuindoa Mahakamani Hati ya kesi ya madai iliyofunguliwa na aliyewahi kuwa...
5 Reactions
Replies
Views
Anonymous
Mimi ni mtumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara, nina kero juu ya Mkuu wa Wilaya ya Ngara, anaitwa Mathias Kahabi. Mkuu huyo wa Wilaya ana tabia ya kudhalilisha na kutukana watumishi ikiwa ni...
4 Reactions
5 Replies
147 Views
TAARIFA KWA UMMA WIZARA YA MAMBO YA NJE YASIKITISHWA NA UPOTOSHAJI WA TAARIFA BAADA YA HOTUBA YA BAJETI YA MWAKA 2026/2027 Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imesikitishwa...
8 Reactions
66 Replies
920 Views
Kombo: Rais Analaumiwa Wazazi Hawalaumiwi— "Tumuoneeni huruma kiongozi wetu" Akiwasilisha bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje, jana Mei 26, 2026, Balozi Mahmod Kombo amewataka Wabunge kumlinda Rais...
2 Reactions
75 Replies
1K Views
Kutoka Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam leo, Alhamisi Mei 28.2026, Mahakama imeifuta rasmi na kuindoa Mahakamani Hati ya kesi ya madai iliyofunguliwa na aliyewahi kuwa...
1 Reactions
8 Replies
257 Views
Suala la October 29 limetuchafua kama chama najua sasa hivi tuko kwenye majuto japokua hatuwezi kutoka na kukili mbele ya kadamnasi. Unaenda kwenye uchaguzi mkuu wa chama...
16 Reactions
31 Replies
546 Views
"Turudi kwenye misingi. Polisi wajibu wenu ni huu, Jeshi wajibu wenu ni huu, Idara ya Usalama wajibu wenu ni huu. Siasa ni kazi ya wanasiasa. Wanasiasa wakifanya makosa mtawakamata, mtawashtaki...
1 Reactions
4 Replies
209 Views
Ni jambo jema kuwaalika Maseneta wa Marekani ili waje wafanye uchunguzi wao kuhusu yaliyotokea October 29 na mengine mengi yanayolalamikiwa na wanasiasa wa upinzani, wanasheria na wanaharakati...
2 Reactions
8 Replies
143 Views
Daniel Mjema, Mwandishi wa Habari na mwanafunzi wa Shahada ya Uzamili (PhD) katika Mawasiliano ya Umma Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, amefanya uchambuzi huu na The Citizen.... nini maoni yako...
1 Reactions
3 Replies
185 Views
"Vyombo vya ulinzi na usalama mahala pao ni barracks, ni vituo vya polisi, ni kwenye kazi za kiintelijensia, sio siasa. Siasa iachwe ifanywe na wanasiasa. Vyombo viwe delinked na siasa, na wao...
4 Reactions
9 Replies
228 Views
Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la Jumatano ya leo ni kuwaelimisha Watanzania kuwa kwa mujibu wa Katiba ya JMT ya mwaka 1977. Rais wa JMT kama Taasisi ya urais, hakosei...
5 Reactions
19 Replies
328 Views
Huwezi kuacha kujiuliza hili swali. Kwa matukio ya hivi karibuni, hasa hili la jaribio la kutekwa kwa kada wa CHADEMA aitwaye Jumbe, wengi tumejiuliza. Watekaji inasemekana walikuwa na lafudhi...
15 Reactions
51 Replies
879 Views
Habari za ndani zina sema mwezi wa sita mwishoni ujumbe wa CCM ukiongizwa na watajwa hapo juu utaelekea Marekani ili kuitetea serikali ya CCM kwa mauaji yaliyotokea October 29 30 na 31 pamoja...
6 Reactions
29 Replies
410 Views
Wanabodi, Kama kawaida yangu, siku za Jumapili, nikiwa nimejimpumzikia home baada ya ibada, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu elimishi za KMT, kwa maslahi ya taifa, ambazo ni za kuwafunda...
32 Reactions
335 Replies
17K Views
Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Nipashe la Leo. Kufuatia Ibara ya 46 ya katiba yetu kuwa na kipengele cha kinga yaq Rais wa Tanzania, hawezi kushitakiwa mahakamani kwa kosa lolote...
1 Reactions
17 Replies
261 Views
Narejea maneno haya kwa hali mpya ya sasa. Kwa hali ilivyo sasa kundi la Cartel limekuwa kubwa. Mahakama hazitendi haki, zinashirikiana na waharifu. Polisi hawatendi haki, vituo vimekuwa ni sehemu...
6 Reactions
25 Replies
3K Views
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dkt. Leonard Douglas Akwilapo, leo Mei 28, 2026, amewasilisha bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2026/2027...
1 Reactions
2 Replies
65 Views
Back
Top Bottom