Salaam Wakuu,
Baada ya Paul Makonda kuwalalamikia Polisi kwamba kuna baadhi ya Askari Polisi wanadhalilisha Jeshi la Polisi sababu wanatumiwa na Matajiri.
Haji Manara ambaye ni Msemaji wa Klabu...
Haji Manara ameendelea kumnanga rafiki yake wa zamani, Paul Makonda ambaye kwasasa yupo kwenye mgogoro mzito na boss wake wa sasa, Gharib Mohammed(GSM). Manara amedai watu wengi wamekimbia nchi...
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Balozi , Dkt. Asha-Rose Migiro akifanya mahojiano na Crown Media ameeleza kuwa matukio ya vurugu za uchaguzi wa Oktoba 2025, yalishtua CCM...
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa.
Hili ni swali la pendekezo uchaguzi wa serikali za mitaa mwakani, usogezwe na kufanyika 2025...
Kombo amewaalika Seneta Ted Cruz kuja Tanzania, kwamba serikali itagharamia kila kitu ikiwamo tiketi ya ndege na hoteli, kwa waMarekani imeonekana kama rushwa.
Huu hapa ni utambulisho mfupi tu...
Mzee Mahita ameongea mambo mengi kiasi kwamba jamii haiamini anachosema.
Mfano rais mstaafu kutumia vibaya madaraka kwa sababu katiba tuliyinayo ni mbovu na kumteua Said Mwema kuwa Igp kisa tu...
Ridiculous! Salim Kikeke ni mwanachama wa CCM kindakinda na Chawa mkubwa wa Samia. Leo anamhoji Chawa namba 2 wa Samia Rose Migiro. Kuna swali la maana litatoka hapo?
Most likely wamekaa kwanza...
Wanabodi
Hii ni makala yangu kwenye Nipashe ya leo.
Hii ni Makala yangu ya kwanza kwa mwaka huu, 2026, hivyo naomba kuanza kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehema kwa kuturehemia kwa...
Wanabodi
Leo naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo ni makala ya kuhimiza uzalendo kwa kutanguliza maslahi ya Taifa mbeli, kwa kumtia Moyo Rais Samia, na Watanzania...
Wanabodi
Nimeona hizi video clips mbili za Rais Samia akizungumzia bei ya mafuta.
Rais Samia: Naanza kupunguza matumizi ya mafuta ofisini kwangu,
Kuna watu wanadhani mtu akiwa rais wa...
Watawala wanatoa oda kuwa watanzania wauwawe na ambaye amekuwa akipewa order na kutekeleza yaan Mafwele anaweza kupotezwa kumaliza ushahidi
Kitengo hasi kimeweza sana kucheza na wananchi...
Ukweli ni kwamba Polepole ameanza kunikumbusha enzi za Nyerere katika misimamo yake na kuonyesha anasimamia sheria na taratbu na miiko na maadili (integrity) katika uongozi.
Sasa anazidi...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemtaka Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) kufanya tathmini ya kina ili kubaini na kurekebisha sababu zinazofanya wananchi kukosa imani na...
Kwa sisi tulioko marekani tunajua nguvu ya USA. Ukitaka kujua nguvu ya USA muulize Waziri mkuu wa Uingereza, kitendo Cha kukataa kutoa Airbase za UK kutumiwa na US air force, ilikuwa mistake...
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Dkt. Asha-Rose Migiro, amefafanua kiundani sababu zilizoifanya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya chama hicho kuvipongeza vyombo vya ulinzi na...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kazi kubwa iliyopo mbele yake kwa sasa ni kupambana kuiondoa CCM (Chama Tawala Nchini Tanzania) madarakani kwa njia ya kidemokrasia
Kauli hiyo...
Watu wengi bado wanaamini kwamba matamko ya mataifa makubwa kuhusu demokrasia, haki za binadamu yanaweza kuleta mabadiliko makubwa moja kwa moja ndani ya Tanzania. Lakini ukiangalia uhalisia wa...
Rais Samia Suluhu Hassan anasisitiza umuhimu wa vyombo vya ulinzi na usalama kutochukulia amani ya nchi kama mazoea. Anabainisha kuwa majaribu yaliyopita yametoa mafunzo, na hivyo hakuna taarifa...
Aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP Mstaafu), Omar Mahita, ameshikilia msimamo wake wa kimfumo akisisitiza kuwa chombo hicho kina uwezo kamili wa kujiendesha chenyewe kiutendaji bila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.