Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Salaam Wakuu, Baada ya Paul Makonda kuwalalamikia Polisi kwamba kuna baadhi ya Askari Polisi wanadhalilisha Jeshi la Polisi sababu wanatumiwa na Matajiri. Haji Manara ambaye ni Msemaji wa Klabu...
28 Reactions
249 Replies
22K Views
Haji Manara ameendelea kumnanga rafiki yake wa zamani, Paul Makonda ambaye kwasasa yupo kwenye mgogoro mzito na boss wake wa sasa, Gharib Mohammed(GSM). Manara amedai watu wengi wamekimbia nchi...
39 Reactions
148 Replies
15K Views
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Balozi , Dkt. Asha-Rose Migiro akifanya mahojiano na Crown Media ameeleza kuwa matukio ya vurugu za uchaguzi wa Oktoba 2025, yalishtua CCM...
0 Reactions
10 Replies
244 Views
Wanabodi, Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa. Hili ni swali la pendekezo uchaguzi wa serikali za mitaa mwakani, usogezwe na kufanyika 2025...
5 Reactions
25 Replies
2K Views
Kombo amewaalika Seneta Ted Cruz kuja Tanzania, kwamba serikali itagharamia kila kitu ikiwamo tiketi ya ndege na hoteli, kwa waMarekani imeonekana kama rushwa. Huu hapa ni utambulisho mfupi tu...
21 Reactions
50 Replies
1K Views
Mzee Mahita ameongea mambo mengi kiasi kwamba jamii haiamini anachosema. Mfano rais mstaafu kutumia vibaya madaraka kwa sababu katiba tuliyinayo ni mbovu na kumteua Said Mwema kuwa Igp kisa tu...
2 Reactions
2 Replies
154 Views
Ridiculous! Salim Kikeke ni mwanachama wa CCM kindakinda na Chawa mkubwa wa Samia. Leo anamhoji Chawa namba 2 wa Samia Rose Migiro. Kuna swali la maana litatoka hapo? Most likely wamekaa kwanza...
3 Reactions
8 Replies
171 Views
Wanabodi Hii ni makala yangu kwenye Nipashe ya leo. Hii ni Makala yangu ya kwanza kwa mwaka huu, 2026, hivyo naomba kuanza kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehema kwa kuturehemia kwa...
1 Reactions
26 Replies
728 Views
Wanabodi Leo naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo ni makala ya kuhimiza uzalendo kwa kutanguliza maslahi ya Taifa mbeli, kwa kumtia Moyo Rais Samia, na Watanzania...
14 Reactions
103 Replies
2K Views
Wanabodi Nimeona hizi video clips mbili za Rais Samia akizungumzia bei ya mafuta. Rais Samia: Naanza kupunguza matumizi ya mafuta ofisini kwangu, Kuna watu wanadhani mtu akiwa rais wa...
10 Reactions
101 Replies
2K Views
Watawala wanatoa oda kuwa watanzania wauwawe na ambaye amekuwa akipewa order na kutekeleza yaan Mafwele anaweza kupotezwa kumaliza ushahidi Kitengo hasi kimeweza sana kucheza na wananchi...
18 Reactions
22 Replies
709 Views
Ukweli ni kwamba Polepole ameanza kunikumbusha enzi za Nyerere katika misimamo yake na kuonyesha anasimamia sheria na taratbu na miiko na maadili (integrity) katika uongozi. Sasa anazidi...
5 Reactions
19 Replies
1K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemtaka Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) kufanya tathmini ya kina ili kubaini na kurekebisha sababu zinazofanya wananchi kukosa imani na...
5 Reactions
30 Replies
452 Views
Kwa sisi tulioko marekani tunajua nguvu ya USA. Ukitaka kujua nguvu ya USA muulize Waziri mkuu wa Uingereza, kitendo Cha kukataa kutoa Airbase za UK kutumiwa na US air force, ilikuwa mistake...
63 Reactions
157 Replies
4K Views
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Dkt. Asha-Rose Migiro, amefafanua kiundani sababu zilizoifanya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya chama hicho kuvipongeza vyombo vya ulinzi na...
0 Reactions
1 Replies
163 Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kazi kubwa iliyopo mbele yake kwa sasa ni kupambana kuiondoa CCM (Chama Tawala Nchini Tanzania) madarakani kwa njia ya kidemokrasia Kauli hiyo...
7 Reactions
12 Replies
240 Views
Watu wengi bado wanaamini kwamba matamko ya mataifa makubwa kuhusu demokrasia, haki za binadamu yanaweza kuleta mabadiliko makubwa moja kwa moja ndani ya Tanzania. Lakini ukiangalia uhalisia wa...
3 Reactions
13 Replies
206 Views
Rais Samia Suluhu Hassan anasisitiza umuhimu wa vyombo vya ulinzi na usalama kutochukulia amani ya nchi kama mazoea. Anabainisha kuwa majaribu yaliyopita yametoa mafunzo, na hivyo hakuna taarifa...
4 Reactions
28 Replies
594 Views
Aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP Mstaafu), Omar Mahita, ameshikilia msimamo wake wa kimfumo akisisitiza kuwa chombo hicho kina uwezo kamili wa kujiendesha chenyewe kiutendaji bila...
6 Reactions
50 Replies
717 Views
Back
Top Bottom