October 29 nilikuwa nyumbani kama ilivyokuwa kwa millenials wengi wa 90 kurudi nyuma ambao tumekuzwa kwenye uoga, kutii bila kuhoji, utiifu uliotukuka na ukimya .
lakini jinsi moyo wangu...
Ndugu zangu Watanzania,
Soma hapa 👉Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imewataka Watanzania wanaotoa zawadi za fedha taslimu katika sherehe mbalimbali kuacha utaratibu wa kutupa noti na badala yake...
Katikati ya hofu, kuvunjika moyo na giza la kisiasa, wakati mwingine hutokea mtu anayethubutu kusema kile ambacho wengi wanaogopa kusema.
Mwaka 2018, Profesa Mark James Mwandosya alipomtembelea...
Ukiachana na kuporomoka kwa ubora wa huduma na kupewa dawa za bei ya chini kabisa, NHIF inaenda kusababisha janga jengine la kufilisi hospitali na vituo kwa kuendeleza mchezo wao wa kushikilia...
Waziri Mkuu Mstaafu na Makamu wa Kwanza wa Rais Mstaafu, John Samuel Malecela, amewataka Watanzania kuendelea kuwa mstari wa mbele kulinda amani, umoja na mshikamano wa taifa, akisisitiza kuwa...
Malalamiko kila kona ya watu
1) Kutekwa
2) kubambikiwa kesi
3) kupoteza wenye mawazo tofauti,Mh Polepole n.k
4) kufuta hotuba/ maudhui yanayokera viongozi kwenye media
5) kutishia Wakosoaji/...
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche amemjibu Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC), Paul Chacha, akisema ni kweli Tanzania hakuna upinzani kwani CCM imegeuka kutoka kuwa chama cha...
Kutoka kwangu mwenyewe The Palm Beach
1. CHADEMA inawataarifu wana CHADEMA wote, wafuasi, wapenzi na wote wanaounga mkono mapambano dhidi ya uhuru, haki, demokrasia na utawala wa sheria ktk...
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mbinga DC, Joseph Kashushura, kupitia Halmashauri anayoiongoza, hivi karibuni alinunua gari aina ya Toyota Coaster kwa gharama inayozidi Shilingi milioni 300...
Hawa jamaa leo wameniathiri vibaya kwa kukoso huduma fulani katika benki yao kutokana na mtandao wao kuwa down.
Nimepoteza hela na nimeopoteza fursa.
Inakera sana!
Wanabodi,
Hili ni bandiko la swali, JF ni ukumbi huru kwa watu wote wa aina zote, rangi zote, hali zote, jinsia zote, vyama vyote hata wasio na vyama, sasa kwanini member wa jf, akijiunga CCM...
Inadaiwa kuna watu wanatembea na bomba la sindano lenye damu ambayo wanadai ina VVU, wanatishia kukuchoma kama usipowapa simu na pesa.
Uporaji mpya ambao unadaiwa kufanyika Dar kwa sasa, hali...
Huyu ni kiongozi wa CHAUMA kavaa nguo za Chadema na kujifanya yeye ni Katibu wa Bavicha Mkoa wa Katavi, kaitisha press na kuanza kuishambulia Chadema na Makamu Mkiti John Heche.
Nafikiri...
Charles William Mara nyingi ninapotoka kuzungumzia kuhusu masuala ya amani, utulivu, na jinsi ambavyo watu hawatakiwi kuendeshwa na propaganda, kuna watu wamekuwa wakisema Mzee Azim Dewji...
Wakina chambulo wamejaa sana ila utaona faida zake kama wakifanya kazi kama professional na sio wanasiasa
Sababu mfumo wa sasa wa mawaziri na wabunge unawalazimu kuwa wanasiasa
Hamjambo!
Naona hasimu wa Lissu wanachokifanya kutumia mbinu ya kumchosha na kumpotezea Muda wake.
Mbinu hii kisiasa hasa zile siasa chafu inafanyaga kazi hasa kwa watu wenye misimamo mikali...
Unafikiri nani anaafadhali kupewa nafasi ya kuongoza CCM Tiketi ya urais 2030 kati ya hawa? Piga kura.
Watakaoshika nafasi Tatu za juu. Itahesabika wanaushawishi hasa katika mtandao wa JF.
Kwa...
Hapa ni kuona ni kiongozi gani wa CHADEMA anaushawishi humu JF.
Unaweza kutoa na maoni yako kwa nini unafikiri kiongozi uliyemchagua anaweza kushika nafasi hiyo.
Upande wa CCM
1. Emanuel Nchimbi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.