Nakubaliana asilimia na Zitto wa Kigoma kuwa Chademq 8nq wafuasai na wanachama wengi na chama kikubwa cha upinzani.
Sisi wafuasi wa Lissu na Chadema tunajisika vipi kiongozi wetu ambae ana...
Leo tarehe 23 Mei 2026 Watu wenye mapanga wanaodhaniwa ni vijana toka CCM, wamevamia mkutano wa Chama na kuanza kuwakata mapanga wanachama na viongozi waliokuwa wanaendelea na maandalizi ya...
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Mh. Edward Lowassa akiwa na Mzee Pancras Ndejembi na Mama Ndejembi ambao Marehemu alikuwa Mjukuu wao. Mh Lowassa alikwenda nyumbani kwa Mwanasiasa huyo...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema kuwa siku za hivi karibuni Rais Samia amekuwa akisemwa na kuchorwa sana na lawama zote kupewa yeye...
Badala ya kuendelea kupambana na ukweli uliowazi, bora mngeanza kujipanga mtaishi vipi ndani ya vikwazo kama mgonjwa wa ukimwi anavyoishi na virusi.
Kama kuna MwanaCCM ana watoto au ndugu...
Nakusalimu mheshimiwa Raisi.
Kwa unyenyekevu mkubwa sana naandika haya kama mwananchi wa kawaida ambaye anapenda kuona wewe unafanikiwa. Huu ni ushauri, hivyo unaweza ukautendea kazi au ukaupuuza...
Tundu Lissu alikuwa active toka kipindi cha Hayati Magufuli, na Magufuli hakuwahi kuactivate Jinai kwa sababu alijua hawezi kufanikiwa na ni kitu ambacho kingempa adhabu kali sana.
Karudishwa...
Katika ulimwengu wa siasa za kijiografia na uchumi wa kimataifa, swali kuu limeendelea kuibuka: Kwa nini mataifa mengi ya Afrika yanayofuata masharti ya IMF na Benki ya Dunia hubaki nyuma, huku...
IGP Mstaafu Omar Mahita amesema Jeshi la Polisi la Sasa linaingiliwa na Wanasiasa. "Polisi wanaingiliwa na wanasiasa... ndio maana nikasema mimi wakati wangu hapa challenge yangu ni wanasiasa...
Aliteuliwa na Rais Samia mwaka 2023 kuwa mkuu wa wilaya Mbogwe yeye na mwenzake Maganga wakakataa uteuzi.
Jana wamefikishwa mahakamani kwa kesi za uhujumu uchumi na utakatishaji fedha.
Je, ni...
My Take
Wengine waliotangukia walijenga ila Samia amejenga na kujenga zaidi.
https://www.instagram.com/p/Cen-Vgxqcjl/?igsh=MTNsdnk1ZG1yNjd6YQ==
Kuna wale nyumbu na haters wake watakuja kubisha na...
Rostam na wafanyabiashara wengine kaeni mbali na CCM ! mtafilisiwa. Msifikirie kuficha pesa uarabuni inasaidia wale ni vibaraka wa USA karibu wote. Mkihusishwa na CCM na majanga ya mauaji hakuna...
"Stop, O People, that I may give you ten rules for your guidance, in the battlefield. Do not commit treachery or deviate from the right path. You must not mutilate dead bodies. Neither kill a...
Kabla ya kuanza kuzichambua kanuni 10 za Uzalendo, Kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe ameanza kwa kutukumbusha kuwa yeye hakuondoka CHADEMA kwa hiari yake, alifukuzwa.
Mimi...
Kutoka Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam leo, Alhamisi Mei 28.2026, Mahakama imeifuta rasmi na kuindoa Mahakamani Hati ya kesi ya madai iliyofunguliwa na aliyewahi kuwa...
Rais Samia Suluhu Hassan anasisitiza kuwa amani na utulivu uliopo leo ni matokeo ya kazi ya jeshi la polisi kwa kushirikiana na vyombo vyetu vingine vya ulinzi na usalama.
"Kwa kuwa hii ni mara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.