Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

  • Redirect
Katibu wa CHADEMA Wilaya ya Lushoto, mkoani Tanga, Jerida Ramadhan Hosha, amejitokeza hadharani na kumuomba msamaha Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho, John Heche, pamoja na Chama kwa ujumla, baada...
1 Reactions
Replies
Views
Wadau naomba majibu kwenye kichwa Cha habari hapo juu.
4 Reactions
28 Replies
559 Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche amesema endapo chama hicho hakitashirikishwa kwenye maridhiano, maana yake itakuwa robo tatu ya Watanzania watakuwa hawajashirikishwa. Akizungumza Agosti...
0 Reactions
3 Replies
97 Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetangaza nia ya kuwachukulia hatua za kisheria watu wanaojitambulisha kuwa viongozi wa chama hicho bila uhalali, kikidai wamekuwa wakikibagaza chama...
4 Reactions
14 Replies
223 Views
Wanabodi. Tumsifu Yesu Kristo. Asalama leko. Kama kichwa cha habari hapo juu Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania dkt Samia Suluhu Hassani. Mwanamke wa kwanza kushika nafasi ya juu ya uongozi...
-1 Reactions
36 Replies
259 Views
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo akizungumza katika Mahojiano yaliyorushwa Julai 8, 2026 na M & S Podcast amesema; "Chama kikubwa kama CCM hata nafasi ya...
0 Reactions
10 Replies
272 Views
Naibu Waziri,Ofisi ya Waziri mkuu kazi,vijana,na ajira pia mbunge wa chama cha mapinduzi jimbo la Shinyanga mjini Mh Paschal Katambi ametembelea katika uwanja wa ndege wa Shekh Abeid Amani Karume...
0 Reactions
0 Replies
51 Views
Nchimbi hakuwepo kwenye mkutano wa Rais Samia na wafanyabiashara, viongozi wegine wote walikewepo Emmanuel Nchimbi tu hakuwepo, kwanini?
3 Reactions
40 Replies
785 Views
Habari za Sabato! 1. Bado tunafuatilia mambo yanavyoendelea. 2. Shujaa na Legendary ni Yule mwenye msimamo wa Haki, mwenye uwezo wa kujitoa maisha yake kwaajili ya msimamo wake na kupigania Haki...
15 Reactions
83 Replies
1K Views
Wanaodhani kwamba kuna maridhiano yatafanikiwa, Samia (Mzanzibari) akiwa madarakani wanajidanganya. Kinachoendelea sasa hivi huko mtaani ni classification na polarization. Watanganyika hawatoki...
9 Reactions
8 Replies
172 Views
Maridhiano baada ya Uchaguzi Polepole alisema wazi kabisa kwamba ni Utapeli na ulaghai...
16 Reactions
81 Replies
859 Views
Ndugu zangu Watanzania, Nenda Sehemu yoyote ile Ya Dunia hii,Nenda kila pembe ya Dunia, nenda Ulaya ,nenda Marekani,nenda Afrika ,nenda kwenye Tawala za kifalme au Kichifu Hakuna ambako utakuta...
6 Reactions
100 Replies
854 Views
Wakati wa Nyerere, Tanzania ilijulikana sana tu tangu Asia , Ulaya, Marekani hadi hapa barani kwetu Afrika. Labda tungeuliza hivi ni lini Tanzania ilianza kupoteza umaarufu? Huko Umoja wa Mataifa...
10 Reactions
44 Replies
6K Views
Kungekuwa na angalau bado hata mmoja aliyebaki na chembe ya usafi na aibu, ilitakiwa awashauri wenzie kuwa, ni vema kuyatekeleza kwa vitendo masharti yote ya Commonwealth sasa kuliko kusubiri...
0 Reactions
6 Replies
109 Views
Sheikh Lema ahukumiwa kunyongwa☝️ Ajumuishwa na Mashekh wengine watano Ameandika...Bakari Mwakangwale SHEIKH Jafari Lema ambaye alikuwa Imam wa Masjid Quba Jijini Arusha, na wenzake watano...
3 Reactions
14 Replies
383 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kwa Hakika CHADEMA Imechokwa na watanzania,Imekatalika kwa watu,Imepuuzwa na wananchi ,Imesuswa na wote wenye akili Timamu na wenye kujitambua . CHADEMA Imepoteza...
10 Reactions
138 Replies
1K Views
Kwanza mheshimiwa Rais bwana Yesu asifiwe na tumsifu Yesu Kristu , kwanza nakutakia maisha mema na marefu kuuona mwaka 2019 ambao ni utakuwa unaingia umri wa watu wazima kabisa wenye 60+ ambao...
23 Reactions
54 Replies
6K Views
Deni la Taifa kwa sasa ni trillion 41 ambako uchunguzi unaonesha kwamba kila awamu ina mchango katika deni la Taifa , lakini awamu ya kikwete ilitia fora 1.Mwalimu Julius Kambarage Nyerere 3...
8 Reactions
161 Replies
24K Views
Asubuhi hii nimekuwa nawaza yafuatayo Najua ni vigumu kuwa unamdai mtu akakulipa unayetaka, labda umwambie akupatie alichonacho Na huduma mbali mbali Na umpe timeframe, Kama ningebahatika kuwa...
2 Reactions
29 Replies
3K Views
Nimekuwa nafuatilia sana mataifa mbali mbali ya afrika na dunia kwa ujumla, Kwanza naanza kwa ku declare interest kwamba mimi ni mwana CCM, ambaye nimeitumikia CCM katika nyadhifa mbali...
24 Reactions
75 Replies
8K Views
Back
Top Bottom