Katibu wa CHADEMA Wilaya ya Lushoto, mkoani Tanga, Jerida Ramadhan Hosha, amejitokeza hadharani na kumuomba msamaha Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho, John Heche, pamoja na Chama kwa ujumla, baada...
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche amesema endapo chama hicho hakitashirikishwa kwenye maridhiano, maana yake itakuwa robo tatu ya Watanzania watakuwa hawajashirikishwa.
Akizungumza Agosti...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetangaza nia ya kuwachukulia hatua za kisheria watu wanaojitambulisha kuwa viongozi wa chama hicho bila uhalali, kikidai wamekuwa wakikibagaza chama...
Wanabodi. Tumsifu Yesu Kristo. Asalama leko.
Kama kichwa cha habari hapo juu
Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania dkt Samia Suluhu Hassani.
Mwanamke wa kwanza kushika nafasi ya juu ya uongozi...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo akizungumza katika Mahojiano yaliyorushwa Julai 8, 2026 na M & S Podcast amesema;
"Chama kikubwa kama CCM hata nafasi ya...
Naibu Waziri,Ofisi ya Waziri mkuu kazi,vijana,na ajira pia mbunge wa chama cha mapinduzi jimbo la Shinyanga mjini Mh Paschal Katambi ametembelea katika uwanja wa ndege wa Shekh Abeid Amani Karume...
Habari za Sabato!
1. Bado tunafuatilia mambo yanavyoendelea.
2. Shujaa na Legendary ni Yule mwenye msimamo wa Haki, mwenye uwezo wa kujitoa maisha yake kwaajili ya msimamo wake na kupigania Haki...
Wanaodhani kwamba kuna maridhiano yatafanikiwa, Samia (Mzanzibari) akiwa madarakani wanajidanganya.
Kinachoendelea sasa hivi huko mtaani ni classification na polarization. Watanganyika hawatoki...
Ndugu zangu Watanzania,
Nenda Sehemu yoyote ile Ya Dunia hii,Nenda kila pembe ya Dunia, nenda Ulaya ,nenda Marekani,nenda Afrika ,nenda kwenye Tawala za kifalme au Kichifu Hakuna ambako utakuta...
Wakati wa Nyerere, Tanzania ilijulikana sana tu tangu Asia , Ulaya, Marekani hadi hapa barani kwetu Afrika. Labda tungeuliza hivi ni lini Tanzania ilianza kupoteza umaarufu? Huko Umoja wa Mataifa...
Kungekuwa na angalau bado hata mmoja aliyebaki na chembe ya usafi na aibu, ilitakiwa awashauri wenzie kuwa, ni vema kuyatekeleza kwa vitendo masharti yote ya Commonwealth sasa kuliko kusubiri...
Sheikh Lema ahukumiwa kunyongwa☝️
Ajumuishwa na Mashekh wengine watano
Ameandika...Bakari Mwakangwale
SHEIKH Jafari Lema ambaye alikuwa Imam wa Masjid Quba Jijini Arusha, na wenzake watano...
Ndugu zangu Watanzania,
Kwa Hakika CHADEMA Imechokwa na watanzania,Imekatalika kwa watu,Imepuuzwa na wananchi ,Imesuswa na wote wenye akili Timamu na wenye kujitambua . CHADEMA Imepoteza...
Kwanza mheshimiwa Rais bwana Yesu asifiwe na tumsifu Yesu Kristu , kwanza nakutakia maisha mema na marefu kuuona mwaka 2019 ambao ni utakuwa unaingia umri wa watu wazima kabisa wenye 60+ ambao...
Deni la Taifa kwa sasa ni trillion 41 ambako uchunguzi unaonesha kwamba kila awamu ina mchango katika deni la Taifa , lakini awamu ya kikwete ilitia fora
1.Mwalimu Julius Kambarage Nyerere 3...
Asubuhi hii nimekuwa nawaza yafuatayo
Najua ni vigumu kuwa unamdai mtu akakulipa unayetaka, labda umwambie akupatie alichonacho Na huduma mbali mbali Na umpe timeframe,
Kama ningebahatika kuwa...
Nimekuwa nafuatilia sana mataifa mbali mbali ya afrika na dunia kwa ujumla, Kwanza naanza kwa ku declare interest kwamba mimi ni mwana CCM, ambaye nimeitumikia CCM katika nyadhifa mbali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.