Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

BARUA YA WAZI KWA TUNDU LISU Na, Robert Heriel Taikon wa Fasihi, S.L.P 9977, JIBI, Kutoka Nyota ya Tibeli. 30, 07. 2020. YAH: KUKUONYA DHIDI YA KUTETEA MASIKINI NA WAPUMBAVU. Ndugu Mhe Lisu...
86 Reactions
279 Replies
27K Views
Hali ya sasa kiuchumi ime collapse kwa sababu viongozi waliopo ni mambumbumbu wenye matumbo makubwa kuliko akili. Ukichukua pay slip ya mtumishi wa Tanzania anaelipwa 3M na akasomeshwa na bodi ...
35 Reactions
42 Replies
950 Views
Kwa hali ilivyo kwa sasa inaonyesha ni dhahiri dini imetekwa na siasa. Kwa maneno mengine ni kwamba wanasiasa wameamua kwa nguvu sana kuitumia dini kutimiza adhma zao za kisiasa. Dini imekuwa...
3 Reactions
13 Replies
438 Views
Rais hataniwi kamwe, Ila Magufuli aliweza kumtania Jakaya, hata alipozingua alimsemelea kwa kaka yake selemani. Wakenya mwacheni mama yetu tafadhali, mnatumia AI kuonesha mama yetu azungusha...
0 Reactions
3 Replies
152 Views
Kuna clip mama anashangaa kumuona Makamu ukumbini wakati wa kutangaza cabinet nadhan mmeiona Samia na genge lake walimtuma Congo, huku wakapanga cabinet, wakati wanaenda kutangaza akashangaa...
53 Reactions
51 Replies
3K Views
Ni mda watanzania wote bila kujali itikadi za vyama na dini zetu kutoka na kushinikiza mamlaka kumwachia Tundu Lissu bila masharti yoyote. Na mamlaka kutoka na kusema Polepole yuko wapi hii nchi...
6 Reactions
10 Replies
201 Views
Wakili William Maduhu kutoka Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) akizungumza katika mahojiano na Jambo TV leo Machi 19, 2026 ameongelea kuhusu ucheleweshwaji wa kesi kusikilizwa licha ya...
2 Reactions
2 Replies
151 Views
  • Redirect
MHE DAVID KAFULILA: TUMEMKATAA MBIA BARABARA YA KULIPIA KIBAHA- CHALINZE KWA MASLAHI YA NCHI ==== Mhe. David Kafulila, akizungumza na wananchi kupitia kituo cha runinga cha ITV, amewataarifu...
0 Reactions
Replies
Views
SI wengine Wala sipepeshi macho. Ni Bensoni Bagonza na Proffesa Anna Tibaijuka Nina hakika Dr Samia anawachukia mno kisa wanamshauri ukweli ila hao ni zaidi ya Baraza lake la mawaziri ambao hawana...
0 Reactions
2 Replies
114 Views
Kuna wanaosema Mbowe ndo awe mgombea Kwakuwa Lissu aligombea wakati uliopita Ila wakumbuke Mbowe aligombea 2005. Hata hivyo Tundu Lissu bado relevance yake ipo na anao mvuto ambao ni wa kipekee...
43 Reactions
104 Replies
4K Views
Najua vyema kuwa nchi mbili ziliungana kuunda jamuhuri ya muungano wa Tanzania. Zanzibar na Tanganyika. Zanzibar ni nchi huru ikiwa na "simple" mandate lakini kwa Tanganyika imevaa koti la...
9 Reactions
49 Replies
17K Views
UDADISI: Rethinking in Action: TUACHIENI NYERERE WETU MMETUPORA KILA KILICHO CHETU, TUACHIENI NYERERE WETU Na Mwl. Sabatho Nyamsenda Wanyonge walia, waporaji washerehekea Siku ya leo nchi...
8 Reactions
163 Replies
25K Views
Kwa mara ya kwanza sasa naanza kuona Wananchi wanajielewa, wengi kabisa wamepinga na kuidharau Sikukuu iliyotangazwa na BAKWATA Mara zote waislam wamekuwa wanadanganywa n.a. BAKWATA, Leo...
22 Reactions
76 Replies
1K Views
Naandika haya nikiamini utayasoma kwakuwa wewe ni mmoja wa wanajukwaa JF Sasa hivi nchini kuna makampuni mengi yanayoagiza mali zilizokwisha tumika toka nje. Ni jambo zuri sana kwani...
6 Reactions
14 Replies
269 Views
  • Redirect
Gwajima amesema kuhusu Lisu katika mahubiri yake leo. Kuna taarifa inasambaa kuhusu Lisu. Is Lisu still alive? Is he living? Or at the blink of death!
1 Reactions
Replies
Views
Wenzetu zanzabar wamefanikiwa kubadili katiba yao, wamefanikiwa kuondoa vifungu ambavyo vipo kwenye katiba ya muungano ambavyo hawavipendi lakini hakuna mtu au watu wanaopigania Tanganyika kwenye...
7 Reactions
14 Replies
184 Views
Kwa heshima ujengwe mnara mkubwa wa makumbusho ya kumbukumbu ya kuwa kumbuka kila mwaka wahanga wetu wote. Walioteswa Waliopotezwa ama kuuwawa na CCM kabla na baada ya mauwaji ya uchaguzi wa...
6 Reactions
22 Replies
390 Views
Human Rights Watch imesema kuwa vikosi vya usalama vya Tanzania vilikandamiza maandamano wakati na baada ya uchaguzi mkuu wenye utata wa mwaka 2025, viliua na kujeruhi watu ambao hawakuwa...
8 Reactions
20 Replies
511 Views
Sasa ni rasmi uhuru wa habari na uandishi wa habari zenye tija umefika tamati. Tajiri na kada maarufu wa CCM, ambaye ni mfuasi wa siasa za mrengo wa kushoto, amelinunua gazeti la Mwananchi. Hapa...
24 Reactions
139 Replies
2K Views
Back
Top Bottom