Ndugu zangu Watanzania,
John Heche Inapaswa kwa sasa asiwepo Mitaani,inapaswa awe ndani ,inapaswa awe kwenye ulinzi mkali wa Magereza ,inapaswa awe kwenye Mfululizo wa mahojiano na kujibu...
Mgombea Ubunge Jimbo la Ismani Emmanuela Mtatifikolo ameendelea na kampeni katika Kata ya Mlenge ambapo amewaahidi wananchi wa Kata hiyo kuwa endapo wakipiga kura za ndiyo na kuchagua Chama Cha...
CCM Kazi munayo... hivi hawa watu huwa munawachuja namna gani mpaka munawaleta sebuleni kwa kadamnasi?
Sikilizeni wenyewe hapa: https://youtube.com/shorts/DteGyHfWMlI?si=G2EpvTOYd3oogcVh
Hatujui Kombo kapewa taarifa gani, lkn yumkini itakuwa ni kuhusiana na mauaji ya 29/10 na kesi iliyofunguliwa ICC.
Waliokuwa wanasema hakuna kesi iliyofunguliwa ICC na kudhani mambo yataisha...
Rais Samia aunda Tume Maalum ya Jinai Kuchunguza Ghasia za Uchaguzi.
Rais Samia Suluhu Hassan ameunda rasmi tume maalum ya uchunguzi wa makosa ya jinai kwa ajili ya kuwabaini na kuwashtaki...
Huu mkeka wa ufisadi umepamba moto miaka ya karibuni bila kuchukuliwa hatua,
TAKUKURU ina fuatilia vidagaa, na ni kwa vile wakubwa wanahusika katika hii grand corruption.
Ujenzi sasa hivi ni...
Ni kama figisu zimeanza.
Makonda hamtaki Mwana FA pale Wizarani.
Alichofanya Makonda, ni kumgeuza Msigwa (Katibu Mkuu wa Wizara) kama chawa wake kwenye mitikasi yake pale wizarani. Safari wapo...
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Kinondoni imesema inaendelea na msako wa Alex Msama ili ajibu mashtaka yanayomkabili
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam...
Kwa taarifa Tu. Tunaendelea vyema kulipa deni letu huko Iran. Hatuja default hata mara moja (kwa lugha ya kimkopo).
Sema sasa ukiniuliza Mkopo tulifanyia nn ndio sijui.
Wabillah Taufiq.
---...
Wabunge wenye michango yenye mashiko katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wapo wengi. Lakini hapa wanatajwa wabunge 7 tu ambao wakipewa nafasi ya kuongea, michango yao au hoja zao...
Akili yenye afya ingemwelekeza kujenga akademi za mpira walau 5 tu nchi nzima, halafu akawa anaweleta hao wacheza mpira wa zamani kuja kuwatia hamasa vijana kwenye hizo akademi za mpira...
KENYA: TAIFA AMBALO WANANCHI NDIO MAMLAKA YA MWISHO, SI VIONGOZI
Na Revocatus James Ng'oja
Mwanaharakati
Katika bara la Afrika, mataifa mengi bado yanaendelea kupambana kujenga mifumo ya...
16 May 2026
Aliko Dangote ampongeza Samia Hassan kwa kuchaguliwa 29 Oktoba 2025
https://m.youtube.com/watch?v=e-CPQCNBkho
Akiongea live mubashara ikulu ya Dar es Salaam mara baada ya kikao chake...
Inasikitisha.....Naona CCM inakwenda kwenye mkondo wa Sharpeville Masacre and here we are!
Tume ya jana itakuja na mapendekezo ya kuifuta
Sikiliza clip
Historia ya dunia ina mifano mingi ya serikali au tawala zilizohusika katika mauaji ya halaiki dhidi ya raia wao au makundi fulani ya watu. Mara nyingi matokeo yake yalikuwa:
• kuporomoka kwa...
Ni kipi kinaanza...?
Hebu tuashumu kuwa, kweli kulikuwa na vurugu kabla, wakati na baada ya 29/10/2025 ambazo ziliishia kwenye mauaji ya maelfu ya raia wasio na hatia....
Sasa ni kipi kinapaswa...
Hivi hawa viongozi wanatuonaje kwa mfano. Na hao wananchi wako tu hapo wanasikiliza na kupigia ujinga makofi. Ni kwamba kero zote Arusha zimetatuliwa au?
================
Mgombea Ubunge Arusha...
Gari hiyo aina ya Bentley Flying Spur lenye kibao cha namba W HUSM linalodaiwa kutumiwa na Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Paul Makonda limezua mjadala hasa katika mtandaow a X...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.