Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Naomba ufafanuzi kutoka wizara ya elimu.. 1. Nani ni Mwenyekiti wa bodi ya Samia scholarship. 2. Lengo kuu la Samia scholarship ni nini, kitu gani cha tofauti ambacho Samia scholarship inafanya...
1 Reactions
2 Replies
92 Views
https://www.youtube.com/watch?v=2XmXCILzRxk
0 Reactions
0 Replies
22 Views
  • Redirect
My Take Wazanzibar wanauza Tanganyika 😂😂😂😂😂😂👇👇 https://www.instagram.com/p/DcrMBbZj2xv/?igsi=MWxtNDV1ZDVoa2Z1bg==
2 Reactions
Replies
Views
CCM imekwama kila kona utawala huu haukubaliki ndani na nje ya CCM. Kuna dalili huu utawala usifike 2030 maana hata Mzee Warioba alishatamka haukuwekwa na wananchi. Je, mmejipanga kukamata dola...
3 Reactions
3 Replies
105 Views
Eti hakuna haja ya katiba nyingine
8 Reactions
33 Replies
687 Views
Nikikumbuka Jakaya alivyodondoka kifafa jukwaani baada kupelekewa moto na Dr Slaa, nikakumbuka Magufuli na vipushapu vyake uchwara dhidi ya Lowasa na baadae akajua Tundu Lissu angemuonyesha...
0 Reactions
0 Replies
79 Views
1-Vijijini na hata mijini bado kuna watu hata hawajui kama nafasi ya makamu wa rais imefanyiwa mabadaliko 2-bora hata wazee na miranial wengi wao wanajua kuhusu hizi habari .....utafiti usio kuwa...
0 Reactions
0 Replies
91 Views
  • Featured
Kupitia ukurasa wake wa Instagram Mange ameandika.... "Hi guys nimetumiwa hii ni mtu ana insist ni ndugu yake na Polepole. I don’t know what to think, Mimi nilidhani Polepole hayuko TZ. I’m...
22 Reactions
386 Replies
18K Views
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa maelekezo kwa viongozi wa Mkoa wa Katavi na mamlaka husika kuharakisha utekelezaji wa miradi ya barabara, maji na umeme, akisisitiza kuwa wananchi wanapaswa...
0 Reactions
0 Replies
165 Views
Serikali inatambua mchango wa Kanisa na baba Askofu. Kila tunapotaja maendeleo ya nchi yetu, kuanzia mwanzo mpaka hapa tulipofika, hatuwezi kuyataja kwa kina maendeleo hayo bila kutaja mchango wa...
0 Reactions
3 Replies
61 Views
DKT MWIGULU: SERIKALI KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA TAASISI ZA DINI KATIKA MAENDELEO YA TAIFA Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu taasisi za dini...
0 Reactions
1 Replies
160 Views
Kwa kuwa tulikosea sana kusomesha ngwini wengi na tukasahau kusomesha wanasayansi basi Taifa linajikuta katika mijadala isiyo na tija na kuacha kuangazia maendeleo ya kweli katika sekta muhimu...
2 Reactions
16 Replies
125 Views
https://youtu.be/endgC8fyOjA?si=IF8MCBwCTo2a76m- • Huko ndani ya CCM na ndani ya serikali hakuko shwari.... • Si tu Dr Nchimbi na Boss wake, ni kila makubwa, hakuna kuaminiana na kila movement na...
15 Reactions
62 Replies
5K Views
Chuo cha Kilimo SUA kiliwekwa makusudi ili kuleta tija katika kilimo chenye kutupatia chakula na mazao ya biashara. Kwa uchunguzi wangu naona kama vile kinataka kutupoteza na sasa kinatoa wahitimu...
3 Reactions
24 Replies
225 Views
  • Featured
Rais Samia Suluhu Hassan amemtaka Makamu wa Rais Deogratius John Ndejembi kukua kiakili na kiuongozi, akisisitiza kuwa ukuaji unaohitajika si wa mwili bali wa hekima na busara. Amesema Ndejembi...
10 Reactions
69 Replies
2K Views
Utangulizi Katika kipindi ambacho dunia inapitia mabadiliko makubwa ya kisiasa, kiuchumi, kijamii na kiusalama, kuna jambo moja ambalo linajidhihirisha wazi zaidi kuliko wakati mwingine wowote...
1 Reactions
16 Replies
148 Views
Erythrocyte msipokuwa wakali na tabia hii ya kuhongwa na kuwapa mwanya wa kuropoka we are heading to a disaster! Heche alikemee hili wazi wazi kuwa mwenye mamlaka ya kutamka contents of that...
8 Reactions
20 Replies
280 Views
Kama kweli wewe ni Mzalendo utabaki vipi kwenye chama kama wewe ni Mbara kwa mazingira haya. Sasa ni CCM gani wa sasa kafanya zaidi ya Dr Nchimbi leo kafukuzwa kwa kukataa kuwa rojorojo.
3 Reactions
15 Replies
176 Views
Back
Top Bottom