Ukisoma hiki kifungu namba 5 kwenye huu mswaada ambao kiuhalisia lazima baadhi ya viongozi wataingia kwenye shida hii kubwa
Nimejiuliza Sana mwenyewe kuwa kwanini serikali omepaniki Sana nikaja...
Kauli ya IGP wa Kenya Kwa Askari wa Kenya
"Now, enforcement officers najua mko na kazi ngumu, but I want to appeal to you that even as you carry out enforcement duties, let us do it with a human...
Dar es Salaam 14 Mei, 2026
YAH: KUVUNJWA KWA BODI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amevunja Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa...
HARAKATI siku zote huwa zina lengo la kupambania yale ambayo tunadhani hayako sawa kwenye jamii na yale ambayo tunadhani yalitakiwa kufanywa kwa mtazamo mwingine kabisa na huwa zinakuwa na lengo...
Tusiwe tunapelekwa kama mazuzu wakati Vitabu vya sheria na Kanuni vimeandikwa vipo. Ili kujiridhisha na ulichokisema Jana kwenye bunge lenu tuambie ni kifungu gani cha PGO kinachosema Mtu...
Kuhusu dhambi ya kuua binadamu mwenzako (kumwaga damu ya mwanadamu), Mungu Yehova katika Biblia anaweka wazi kabisa madhara/matokeo yake 👇🏻
Mwanzo 9:6 SUV
"....Atakayemwaga damu ya mwanadamu...
Rais Duma Boko alikua anaongea na wanajeshi wa jeshi la ulinzi la botswana (jwtz yao) jinsi ya kuepuka kuuwa raia wasio na hatia na wasio na silaha pia kuwadhuru wenza wao pindi kukitokea...
Ila kama kawaida, Ma CCM hayana akili, Yana viburi
Yanangoja tu ICC na Vikwazo .
Bado RAIA titaandamana kama kawaida
Mkiua tena ni Moto, msipoua , tunaingia Ikulu !!!
Mtachagua wenyewe...
Aliyekuwa Mbunge wa Nyamagana kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Ezekiel Wenje, ambaye kwa sasa amehamia Chama Cha Mapinduzi (CCM), akifanya mahojiano na Chombo cha habari...
Wakuuu Kuna Mtu hapa wa chomboni Mstaafu wa juu ambaye bado Connection yake huko Usalama IPO intact kabisa, kanipenyezea Taarifa hapa kua KUMBE SERIKALI, MAHAKAMA ,NA VYOMBO VYA USALAMA...
Ndugu zangu Watanzania,
Usicheze na magereza hata siku moja . Kule siyo kwa mchezo mchezo,kule hata uwe Nunda kiasi gani utajikuta umebadilika kitabia na kuwa mtu mwema tu utake usitake upende...
Katika historia ya siasa za kimataifa, mataifa mengi hayakuangushwa kwa vita vya wazi. Badala yake, yaliangushwa kwa mbinu za ndani kupitia propaganda, migawanyiko ya kijamii, na operesheni za...
Huu ndio ukweli unaofichwa, Hatua ambayo Marekani na Jumuiya ya Ulaya inachukua dhidi ya Serikali katili ya Tanzania zinaungwa Mikono na Wananchi wote wa Tanzania
Hili ni jambo muhimu sana, hasa...
Nimefikiri na kutafakari kwa muda mrefu baada ya matukio ya ukiukwaji wa haki, utu na dhuluma dhidi ya uhai wa binadamu yaliyotokea tarehe 29 Oktoba 2025. Siwezi kuendelea kuishi katika huzuni na...
Kwa nchi zinazojali utu, huwezi kushilikiana na serikali katili ya CCM. Kwa sasa ipi tofauti ya CCM na vikundi vya kigaidi kama Hamas, ISS, na Boko Haram. Maana wote wanaua,wote wanateka,wote...
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma, ameeleza kuwa Serikali inatengeneza mfumo rasmi wa kusajili watoa huduma mbalimbali nchini ili kukidhi mahitaji makubwa ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.