Waziri Mkuu Mstaafu na Makamu wa Kwanza wa Rais Mstaafu, John Samuel Malecela, amewataka Watanzania kuendelea kuwa mstari wa mbele kulinda amani, umoja na mshikamano wa taifa, akisisitiza kuwa...
Malalamiko kila kona ya watu
1) Kutekwa
2) kubambikiwa kesi
3) kupoteza wenye mawazo tofauti,Mh Polepole n.k
4) kufuta hotuba/ maudhui yanayokera viongozi kwenye media
5) kutishia Wakosoaji/...
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche amemjibu Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC), Paul Chacha, akisema ni kweli Tanzania hakuna upinzani kwani CCM imegeuka kutoka kuwa chama cha...
Kutoka kwangu mwenyewe The Palm Beach
1. CHADEMA inawataarifu wana CHADEMA wote, wafuasi, wapenzi na wote wanaounga mkono mapambano dhidi ya uhuru, haki, demokrasia na utawala wa sheria ktk...
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mbinga DC, Joseph Kashushura, kupitia Halmashauri anayoiongoza, hivi karibuni alinunua gari aina ya Toyota Coaster kwa gharama inayozidi Shilingi milioni 300...
Hawa jamaa leo wameniathiri vibaya kwa kukoso huduma fulani katika benki yao kutokana na mtandao wao kuwa down.
Nimepoteza hela na nimeopoteza fursa.
Inakera sana!
Wanabodi,
Hili ni bandiko la swali, JF ni ukumbi huru kwa watu wote wa aina zote, rangi zote, hali zote, jinsia zote, vyama vyote hata wasio na vyama, sasa kwanini member wa jf, akijiunga CCM...
Inadaiwa kuna watu wanatembea na bomba la sindano lenye damu ambayo wanadai ina VVU, wanatishia kukuchoma kama usipowapa simu na pesa.
Uporaji mpya ambao unadaiwa kufanyika Dar kwa sasa, hali...
Huyu ni kiongozi wa CHAUMA kavaa nguo za Chadema na kujifanya yeye ni Katibu wa Bavicha Mkoa wa Katavi, kaitisha press na kuanza kuishambulia Chadema na Makamu Mkiti John Heche.
Nafikiri...
Charles William Mara nyingi ninapotoka kuzungumzia kuhusu masuala ya amani, utulivu, na jinsi ambavyo watu hawatakiwi kuendeshwa na propaganda, kuna watu wamekuwa wakisema Mzee Azim Dewji...
Wakina chambulo wamejaa sana ila utaona faida zake kama wakifanya kazi kama professional na sio wanasiasa
Sababu mfumo wa sasa wa mawaziri na wabunge unawalazimu kuwa wanasiasa
Hamjambo!
Naona hasimu wa Lissu wanachokifanya kutumia mbinu ya kumchosha na kumpotezea Muda wake.
Mbinu hii kisiasa hasa zile siasa chafu inafanyaga kazi hasa kwa watu wenye misimamo mikali...
Unafikiri nani anaafadhali kupewa nafasi ya kuongoza CCM Tiketi ya urais 2030 kati ya hawa? Piga kura.
Watakaoshika nafasi Tatu za juu. Itahesabika wanaushawishi hasa katika mtandao wa JF.
Kwa...
Hapa ni kuona ni kiongozi gani wa CHADEMA anaushawishi humu JF.
Unaweza kutoa na maoni yako kwa nini unafikiri kiongozi uliyemchagua anaweza kushika nafasi hiyo.
Upande wa CCM
1. Emanuel Nchimbi...
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imeanza kuzihoji Halmashauri 39 kutoka Mikoa 15 zilizobainika kuwa na hoja mbalimbali katika Taarifa za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa...
Hivi milioni mia3.34 ni za kuwatoa jasho kweli my friends, ladies and gentlemen?
Kulikoni chadema chadema wawe wagumu kiasi hiki kwenye kuchangia pesa kwaajili ya chama chao, lakini ni wepesi...
Najiuliza hii confidence kaitoa wapi huyu dada wa chaumma?
Sema kama Taifa tumefikia pabaya..
Fikiria mtu mwenye hadhi ya mwenyekiti wa chamma upande wa vijana CHAUMMA mkoa wa katavi anapata...
Kwa miaka kadhaa, jina la Edwin Watenya Sifuna limekuwa miongoni mwa yanayotajwa zaidi katika siasa za Kenya.
Wakati wengi walimfahamu kama Katibu Mkuu wa Orange Democratic Movement (ODM) na...
Aliyemtuhumu Heche akiomba radhi"Narudia kuomba msamaha tena kwa viongozi wote walio hapa, kwa Makamu Mwenyekiti. Na imani nimekosea. Basi kama pale nilipokosea na nimeamini nimekosea, naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.