Brian Mundubile alilalamika kwamba Zambia wanatumia mbinu za Tanzania za kudidimiza upinzani, na Serikali ya Tanzania imepelekea watu kuhakisha hashindi na kuhakikisha wafanya mbinu chafu za...
There is no fixed legal time limit for how long an accused person must continuously stand in the dock during a court session, but standard practice dictates that a defendant should not be forced...
Utawala wa Samia umefanya makosa makubwa ya kimkakati (strategic mistakes) yaliyoweka fursa ya kushitakiwa na kunyongwa.
Kosa la kwanza ni "Coup D'etat" mtu yoyote anayejua siasa na sheria...
TAARIFA KWA UMMA
KIKAO MAALUM CHA KAMATI KUU YA CHADEMA
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinawataarifu wanachama, viongozi na umma kwa ujumla kuwa Kamati Kuu ya Chama itafanya kikao...
Rais wa Kenya, William Ruto, amekiri kuwa kulikuwa na makosa katika namna Serikali ilivyoshughulikia maandamano ya vijana wa Gen Z mwaka 2024, akitambua maumivu yaliyosababishwa na vifo, madai ya...
Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) imemfutia uanachama wa Chama hicho leo Agosti 26, 2026 aliyekuwa Makamu wa Rais, Dkt. Emmannuel Nchimbi ambaye alitangaza kujiuzulu nafasi hiyo na...
Emmanuel John Nchimbi amejiuzulu Umakamu wa Rais.
Kamati Kuu ya CCM ikaamua kumvua uanachama kutokana na kile walichodai ni makosa aliyoyafanya.
Sasa nimewaza, kama Nchimbi kwa nafasi yake ya...
Jaji mstaafu Joseph Warioba, ameonesha wasiwasi wake juu ya uwezekano wa nchi kupata Katiba Mpya kabla ya kuingia kwenye mchakato wa uchaguzi wa mwaka 2029.
Akizungumza leo Agosti 28, 2026...
Friends and Our Enemies,
Dante anasema siku zote kuwa ''How you do anything,is how you do everything".
Pigo hili la kuondoka kwake na kujiuzulu na hatimae kufukuzwa kwake kwa sababu za kimaadili...
My Take
Wale wanafiki,ma snitch na wasaliti (Yuda) wataendelea kuteseka sana na vyeo wanavyotafuta Kwa kuwapiga Shoti wenzao hawatakuja kuvipata qataishia kuviona Kwa wengine tuu.
Naunga mkono...
Wanabodi,
Wakati wengi wengi bado tumepigwa shock na bumbuwazi kwa kilichotokea haswa hii double tragedy ya VP. Balozi Dr. Emmanuel Nchimbi, hili ni bandiko la kuwaelimisha watu na kuwasisitiza...
Gwiji la sheria, Profesa Issa Shivji amesema Taifa haliwezi kuponywa wala kujenga demokrasia ya kweli ikiwa hakuna uwajibikaji wa kisheria dhidi ya mauaji ya raia yaliyotokea wakati wa Uchaguzi...
Chief Sadiwabu Mussa Mitondo wa Pili akizungumza kwa niaba ya Wazee wa Nyasa wamemshukuru Rais Dkt. Samia Suluh Hassan kwa kumchagua Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi kuwa Mgombea mwenza wa Uchaguzi...
My Take
Inaweza kuwa kweli au pia kujikosha Kisiasa.
Mbunge wa Singida Magharibi, Elibariki Kingu, amedai yeye ni mtumishi na wiki chache zilizopita alizungumza na Mungu, hali iliyofanya...
Profesa Issa Shivji, amesema kuwa Taifa linaendelea kupitia katika maombolezo na maumivu makali ya kisaikolojia kutokana na matukio yaliyotokea tarehe 29 Oktoba, huku akisisitiza kuwa njia pekee...
"Tukisimama watu kama sisi lazima tunyooke kwenye ukweli. Twendeni tukamsaidie mama afanye kazi yake kwa nafasi. Asifanye kazi huku anasikia la huyu, huku anasikia la yule, huku majungu haya. Na...
Kila nikijaribu kuangalia changamoto tunazokutana nazo hasa unaposhughulika na mambo ya kiserikali unagundua kwamba kila siku kero zinaongezeka.
Sasa nini faida ya hawa maprofesa na madokta...
Huu ujinga sana wanaoleta sasa
Hawana sare
Hawana magari maalumu wana landruiser kadhaa ambazo hazina plate number wanatembea na plate Nunber mbali mbali na spana wana funga wanapotaka kukamata...
Kuna Uzi nimeusoma mahal humu humu mleta uzi anasema wabunge watumie nafas yao kupiga kura ya hapan kwa Makam ili asipite..
Ujue ni vitu ambavyo haviwezekan kwa sababu mtu kama Baba levo ambae...
Umofia ndugu zangu kutoka Bongo Land !
Binafsi ilifikia Time nikahisi Ubongo una- cease kwa ubishani ambao hauna faida kwa Mwananchi wa kawaida mfano, atasimama Waziri atasema hakuna kama Mama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.