Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Rais Samia Suluhu Hassan anasisitiza umuhimu wa vyombo vya ulinzi na usalama kutochukulia amani ya nchi kama mazoea. Anabainisha kuwa majaribu yaliyopita yametoa mafunzo, na hivyo hakuna taarifa...
4 Reactions
28 Replies
589 Views
Aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP Mstaafu), Omar Mahita, ameshikilia msimamo wake wa kimfumo akisisitiza kuwa chombo hicho kina uwezo kamili wa kujiendesha chenyewe kiutendaji bila...
6 Reactions
50 Replies
712 Views
Anonymous (f18b)
Ofisi ya Rais – TAMISEMI imemhamisha aliyekua Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Mpimbwe kwenda halmashauri ya Mji Nanyamba huku akiwa na tuhuma za wizi wa fedha za serikali. TAKUKURU wilaya walikuwa...
1 Reactions
5 Replies
202 Views
Wanabodi Hii ni Makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la Leo Kufuatia ujio wa mitandao ya kijamii watu hawana muda kusoma makala ndefu, Nawawekea a short version ya salient features za...
1 Reactions
54 Replies
1K Views
Kama kichwa kinavosema, kutumia bendera ya Tanganyika kama utambulisho wa upande mmoja wa Muungano, inaweza kuhesabiwa kama uchochezi? Na bendera za Tanganyika zilitupwa au kuchomwa?
6 Reactions
29 Replies
494 Views
Samia Suluhu, alitudanganya kapunguza Misafara. Eti mafuta yamepanda anapunguza msafara. Kuna sehemu akaleta unafiki wa kwenda gari nne. Tulitafuta Rais tukampata Samia.. Anatumia Mali za...
5 Reactions
18 Replies
247 Views
Wanabodi Hii ni makala yangu ya kufungulia mwaka kwenye gazeti la Leo la Mwananchi...
5 Reactions
43 Replies
986 Views
Wanabodi Dini zote zinafundisha kuhusu haki Haki huinua Taifa (Mithali 14:34) na haki na amani vinabusiana (Zaburi 85:10) wenye kutoa hukumu dhidi yetu na dhidi ya wengine watoe hukumu kwa haki...
15 Reactions
45 Replies
1K Views
Wanabodi, Hii ni moja ya mada zangu za the voices from within ambazo ni abstract, za kufikirika tuu, sio lazima zitokee au vitokee!. Mada ya leo ni kuhusu mambo ya karma ya kila mtu kulipwa...
6 Reactions
17 Replies
518 Views
Wanabodi Hii ni Makala yangu ya leo, kwenye gazeti la Nipashe la Jumapili ya leo Declaration of Interest Naomba kuanza kwa kudeclea interest kuwa mimi ni muumini wa ile rai ya Makomu wa Rais...
6 Reactions
26 Replies
497 Views
Wanabodi This is News Alert! Wale wana JF wenye access kusikiliza DW Radio,msikose kusikiliza DW Radio leo jioni kuanzia Saa 12:00 jioni,kuna uchambuzi kamambe wa mchambuzi mahiri,wakiichambua...
8 Reactions
18 Replies
433 Views
Nakubaliana asilimia na Zitto wa Kigoma kuwa Chademq 8nq wafuasai na wanachama wengi na chama kikubwa cha upinzani. Sisi wafuasi wa Lissu na Chadema tunajisika vipi kiongozi wetu ambae ana...
0 Reactions
1 Replies
62 Views
Mbona hamtoi taarifa? Megawati 2000 na ushee za ziada Alafu mnakata umeme ?
2 Reactions
16 Replies
236 Views
Leo tarehe 23 Mei 2026 Watu wenye mapanga wanaodhaniwa ni vijana toka CCM, wamevamia mkutano wa Chama na kuanza kuwakata mapanga wanachama na viongozi waliokuwa wanaendelea na maandalizi ya...
10 Reactions
68 Replies
1K Views
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Mh. Edward Lowassa akiwa na Mzee Pancras Ndejembi na Mama Ndejembi ambao Marehemu alikuwa Mjukuu wao. Mh Lowassa alikwenda nyumbani kwa Mwanasiasa huyo...
1 Reactions
45 Replies
15K Views
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema kuwa siku za hivi karibuni Rais Samia amekuwa akisemwa na kuchorwa sana na lawama zote kupewa yeye...
3 Reactions
23 Replies
465 Views
Badala ya kuendelea kupambana na ukweli uliowazi, bora mngeanza kujipanga mtaishi vipi ndani ya vikwazo kama mgonjwa wa ukimwi anavyoishi na virusi. Kama kuna MwanaCCM ana watoto au ndugu...
5 Reactions
14 Replies
232 Views
Nakusalimu mheshimiwa Raisi. Kwa unyenyekevu mkubwa sana naandika haya kama mwananchi wa kawaida ambaye anapenda kuona wewe unafanikiwa. Huu ni ushauri, hivyo unaweza ukautendea kazi au ukaupuuza...
109 Reactions
111 Replies
6K Views
Tundu Lissu alikuwa active toka kipindi cha Hayati Magufuli, na Magufuli hakuwahi kuactivate Jinai kwa sababu alijua hawezi kufanikiwa na ni kitu ambacho kingempa adhabu kali sana. Karudishwa...
6 Reactions
129 Replies
2K Views
Back
Top Bottom