Rais Samia Suluhu Hassan anasisitiza umuhimu wa vyombo vya ulinzi na usalama kutochukulia amani ya nchi kama mazoea. Anabainisha kuwa majaribu yaliyopita yametoa mafunzo, na hivyo hakuna taarifa...
Aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP Mstaafu), Omar Mahita, ameshikilia msimamo wake wa kimfumo akisisitiza kuwa chombo hicho kina uwezo kamili wa kujiendesha chenyewe kiutendaji bila...
Ofisi ya Rais – TAMISEMI imemhamisha aliyekua Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Mpimbwe kwenda halmashauri ya Mji Nanyamba huku akiwa na tuhuma za wizi wa fedha za serikali.
TAKUKURU wilaya walikuwa...
Wanabodi
Hii ni Makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la Leo
Kufuatia ujio wa mitandao ya kijamii watu hawana muda kusoma makala ndefu,
Nawawekea a short version ya salient features za...
Kama kichwa kinavosema, kutumia bendera ya Tanganyika kama utambulisho wa upande mmoja wa Muungano, inaweza kuhesabiwa kama uchochezi?
Na bendera za Tanganyika zilitupwa au kuchomwa?
Samia Suluhu, alitudanganya kapunguza Misafara.
Eti mafuta yamepanda anapunguza msafara. Kuna sehemu akaleta unafiki wa kwenda gari nne.
Tulitafuta Rais tukampata Samia..
Anatumia Mali za...
Wanabodi
Dini zote zinafundisha kuhusu haki
Haki huinua Taifa (Mithali 14:34) na haki na amani vinabusiana (Zaburi 85:10) wenye kutoa hukumu dhidi yetu na dhidi ya wengine watoe hukumu kwa haki...
Wanabodi,
Hii ni moja ya mada zangu za the voices from within ambazo ni abstract, za kufikirika tuu, sio lazima zitokee au vitokee!.
Mada ya leo ni kuhusu mambo ya karma ya kila mtu kulipwa...
Wanabodi
Hii ni Makala yangu ya leo, kwenye gazeti la Nipashe la Jumapili ya leo
Declaration of Interest
Naomba kuanza kwa kudeclea interest kuwa mimi ni muumini wa ile rai ya Makomu wa Rais...
Wanabodi
This is News Alert!
Wale wana JF wenye access kusikiliza DW Radio,msikose kusikiliza DW Radio leo jioni kuanzia Saa 12:00 jioni,kuna uchambuzi kamambe wa mchambuzi mahiri,wakiichambua...
Nakubaliana asilimia na Zitto wa Kigoma kuwa Chademq 8nq wafuasai na wanachama wengi na chama kikubwa cha upinzani.
Sisi wafuasi wa Lissu na Chadema tunajisika vipi kiongozi wetu ambae ana...
Leo tarehe 23 Mei 2026 Watu wenye mapanga wanaodhaniwa ni vijana toka CCM, wamevamia mkutano wa Chama na kuanza kuwakata mapanga wanachama na viongozi waliokuwa wanaendelea na maandalizi ya...
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Mh. Edward Lowassa akiwa na Mzee Pancras Ndejembi na Mama Ndejembi ambao Marehemu alikuwa Mjukuu wao. Mh Lowassa alikwenda nyumbani kwa Mwanasiasa huyo...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema kuwa siku za hivi karibuni Rais Samia amekuwa akisemwa na kuchorwa sana na lawama zote kupewa yeye...
Badala ya kuendelea kupambana na ukweli uliowazi, bora mngeanza kujipanga mtaishi vipi ndani ya vikwazo kama mgonjwa wa ukimwi anavyoishi na virusi.
Kama kuna MwanaCCM ana watoto au ndugu...
Nakusalimu mheshimiwa Raisi.
Kwa unyenyekevu mkubwa sana naandika haya kama mwananchi wa kawaida ambaye anapenda kuona wewe unafanikiwa. Huu ni ushauri, hivyo unaweza ukautendea kazi au ukaupuuza...
Tundu Lissu alikuwa active toka kipindi cha Hayati Magufuli, na Magufuli hakuwahi kuactivate Jinai kwa sababu alijua hawezi kufanikiwa na ni kitu ambacho kingempa adhabu kali sana.
Karudishwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.