Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa maelekezo kwa viongozi wa Mkoa wa Katavi na mamlaka husika kuharakisha utekelezaji wa miradi ya barabara, maji na umeme, akisisitiza kuwa wananchi wanapaswa...
0 Reactions
0 Replies
165 Views
Serikali inatambua mchango wa Kanisa na baba Askofu. Kila tunapotaja maendeleo ya nchi yetu, kuanzia mwanzo mpaka hapa tulipofika, hatuwezi kuyataja kwa kina maendeleo hayo bila kutaja mchango wa...
0 Reactions
3 Replies
61 Views
DKT MWIGULU: SERIKALI KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA TAASISI ZA DINI KATIKA MAENDELEO YA TAIFA Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu taasisi za dini...
0 Reactions
1 Replies
160 Views
Kwa kuwa tulikosea sana kusomesha ngwini wengi na tukasahau kusomesha wanasayansi basi Taifa linajikuta katika mijadala isiyo na tija na kuacha kuangazia maendeleo ya kweli katika sekta muhimu...
2 Reactions
16 Replies
125 Views
https://youtu.be/endgC8fyOjA?si=IF8MCBwCTo2a76m- • Huko ndani ya CCM na ndani ya serikali hakuko shwari.... • Si tu Dr Nchimbi na Boss wake, ni kila makubwa, hakuna kuaminiana na kila movement na...
15 Reactions
62 Replies
5K Views
Chuo cha Kilimo SUA kiliwekwa makusudi ili kuleta tija katika kilimo chenye kutupatia chakula na mazao ya biashara. Kwa uchunguzi wangu naona kama vile kinataka kutupoteza na sasa kinatoa wahitimu...
3 Reactions
24 Replies
224 Views
  • Featured
Rais Samia Suluhu Hassan amemtaka Makamu wa Rais Deogratius John Ndejembi kukua kiakili na kiuongozi, akisisitiza kuwa ukuaji unaohitajika si wa mwili bali wa hekima na busara. Amesema Ndejembi...
10 Reactions
69 Replies
2K Views
Utangulizi Katika kipindi ambacho dunia inapitia mabadiliko makubwa ya kisiasa, kiuchumi, kijamii na kiusalama, kuna jambo moja ambalo linajidhihirisha wazi zaidi kuliko wakati mwingine wowote...
1 Reactions
16 Replies
148 Views
Erythrocyte msipokuwa wakali na tabia hii ya kuhongwa na kuwapa mwanya wa kuropoka we are heading to a disaster! Heche alikemee hili wazi wazi kuwa mwenye mamlaka ya kutamka contents of that...
8 Reactions
20 Replies
280 Views
Kama kweli wewe ni Mzalendo utabaki vipi kwenye chama kama wewe ni Mbara kwa mazingira haya. Sasa ni CCM gani wa sasa kafanya zaidi ya Dr Nchimbi leo kafukuzwa kwa kukataa kuwa rojorojo.
3 Reactions
15 Replies
175 Views
Hivi karibuni, Fatma Karume ameonekana kubadili mwelekeo wa mijadala yake ya kisiasa kwa namna ambayo imeibua maswali miongoni mwa watanzania, hasa wale wanaoamini katika harakati za mageuzi ya...
30 Reactions
280 Replies
12K Views
Mwalimu Julius Nyerere aliwahi kuulizwa udikteta ni nini, akatoa jibu, 'Udikteta ni serikali ya mtu mmoja au kikundi cha watu wachache ambao wao ndio huwa sheria, anayepinga matakwa yao huonyeshwa...
3 Reactions
14 Replies
664 Views
Kuna Tetesi, Ameandika Maria Sarungi "Msishangae kesho mkisikia muumbe au hata mwenyekiti wa Tume ya Chande anaumwa yuko mahtuti! Familia za hawa wajumbe wawe makini SANA! Mtakuja kuniambia"
2 Reactions
22 Replies
731 Views
DKT. MWIGULU AONGOZA HARAMBEE YA MAOMBI YA KITAIFA, ACHANGISHA MILIONI 700. ▪️Asisitiza maadili na uwajibikaji kama mhimili wa Dira 2050. WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba, ametoa wito kwa...
2 Reactions
18 Replies
367 Views
Profesa Anna Tibaijuka anasema kwamba kusema matukio ya Oktoba 29, 2025 ni ya kupangwa, kama serikali inavyodai, siyo sahihi. kwa mujibu wake, kilichotokea ilikuwa ni mshituko, “rapture,”...
17 Reactions
119 Replies
2K Views
Kuna siku katika maisha ya taifa ambapo ukimya huwa na sauti kubwa kuliko kelele. Siku ambayo mmoja anatoka kwenye jahazi, mwingine anapelekwa mbele ya mizani ya haki, na wengine wanatazama kwa...
11 Reactions
18 Replies
420 Views
Kwamba hqtujui kama huyu mtu hayupo kwa familia yake, hayupo ikulu? Na hajulikani alipo mpaka muda huu? Nawashauri msikate tamaaa nyinyi semeni freeee Tundu Lissu Free Dr Nchimbi ukimnya WENU ni...
4 Reactions
35 Replies
344 Views
Ndugu zangu Watanzania, Uimara ,Ushupavu na Umadhubuti Wa Chama cha Siasa na kilicho tayari kuongoza Na kushika Dola ni Pamoja na ukomavu wake wa kuhimili mikiki mikiki ya ndani ya chama . Ni...
0 Reactions
13 Replies
94 Views
Nimeiona clip ya dokta Tulia alivyojibu Kwa jazba ,nikagundua ndugu yetu huyu hakujua Yale maswali hakuulizwa yeye kama Dr.Tulia Bali msimamo wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuihusu ukraine na...
17 Reactions
117 Replies
6K Views
Back
Top Bottom