Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

CCM na umaskini wa maono ni marafiki. Wakati Ulimwengunu huko watu timamu wanajadili kuhusu uchumi na teknolojia, watawala wa CCM wao wanafikiria kubadili Jina la kuku kutoka “kuku wa kienyeji”...
10 Reactions
52 Replies
989 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, John Heche, amekausha kumtukana Makamu Mwenyekiti wa CCM, Stephen Wasira aliposema kuwa amezeeka. Soma zaidi: Heche amchana vibaya Wasira "umri wako huu wote...
5 Reactions
14 Replies
332 Views
Zipo taarifa za ndani kabisa kutoka ndani ya chadema kwamba wanachama wa chama hicho wameacha kabisa kulipia kadi zao za uanachama za kidigitali tangu mfumo huo rasmi kuanzishwa 2021. Wengi...
1 Reactions
17 Replies
121 Views
Kwa yanayoendelea nchini utabiri wa huyu mzee bado upo hai ?
13 Reactions
30 Replies
766 Views
Ni vigumu sana mtu yeyote kunishawishi kwamba Riz One aliteuliwa kuwa waziri katika ofisi ya raisi mwenye kusimamia Usalama wa Taifa kwa ajili ya usalama wa taifa. Ninaamini kwa dhati kabisa...
16 Reactions
24 Replies
760 Views
Imagine watu wanakamatwa halafu upelelezi haujakamilika mwezi mzima? Kukamata ni nguvu kazi ila upelelezi ni elimu na weledi..
5 Reactions
7 Replies
82 Views
October 29 nilikuwa nyumbani kama ilivyokuwa kwa millenials wengi wa 90 kurudi nyuma ambao tumekuzwa kwenye uoga, kutii bila kuhoji, utiifu uliotukuka na ukimya . lakini jinsi moyo wangu...
2 Reactions
5 Replies
110 Views
Ndugu zangu Watanzania, Soma hapa 👉Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imewataka Watanzania wanaotoa zawadi za fedha taslimu katika sherehe mbalimbali kuacha utaratibu wa kutupa noti na badala yake...
1 Reactions
1 Replies
337 Views
Katikati ya hofu, kuvunjika moyo na giza la kisiasa, wakati mwingine hutokea mtu anayethubutu kusema kile ambacho wengi wanaogopa kusema. Mwaka 2018, Profesa Mark James Mwandosya alipomtembelea...
2 Reactions
9 Replies
308 Views
Anonymous
Ukiachana na kuporomoka kwa ubora wa huduma na kupewa dawa za bei ya chini kabisa, NHIF inaenda kusababisha janga jengine la kufilisi hospitali na vituo kwa kuendeleza mchezo wao wa kushikilia...
2 Reactions
9 Replies
170 Views
Waziri Mkuu Mstaafu na Makamu wa Kwanza wa Rais Mstaafu, John Samuel Malecela, amewataka Watanzania kuendelea kuwa mstari wa mbele kulinda amani, umoja na mshikamano wa taifa, akisisitiza kuwa...
2 Reactions
20 Replies
232 Views
Malalamiko kila kona ya watu 1) Kutekwa 2) kubambikiwa kesi 3) kupoteza wenye mawazo tofauti,Mh Polepole n.k 4) kufuta hotuba/ maudhui yanayokera viongozi kwenye media 5) kutishia Wakosoaji/...
4 Reactions
5 Replies
84 Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche amemjibu Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC), Paul Chacha, akisema ni kweli Tanzania hakuna upinzani kwani CCM imegeuka kutoka kuwa chama cha...
3 Reactions
4 Replies
157 Views
Kutoka kwangu mwenyewe The Palm Beach 1. CHADEMA inawataarifu wana CHADEMA wote, wafuasi, wapenzi na wote wanaounga mkono mapambano dhidi ya uhuru, haki, demokrasia na utawala wa sheria ktk...
34 Reactions
80 Replies
2K Views
Anonymous
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mbinga DC, Joseph Kashushura, kupitia Halmashauri anayoiongoza, hivi karibuni alinunua gari aina ya Toyota Coaster kwa gharama inayozidi Shilingi milioni 300...
0 Reactions
5 Replies
111 Views
Hawa jamaa leo wameniathiri vibaya kwa kukoso huduma fulani katika benki yao kutokana na mtandao wao kuwa down. Nimepoteza hela na nimeopoteza fursa. Inakera sana!
1 Reactions
6 Replies
169 Views
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali, JF ni ukumbi huru kwa watu wote wa aina zote, rangi zote, hali zote, jinsia zote, vyama vyote hata wasio na vyama, sasa kwanini member wa jf, akijiunga CCM...
28 Reactions
289 Replies
24K Views
Inadaiwa kuna watu wanatembea na bomba la sindano lenye damu ambayo wanadai ina VVU, wanatishia kukuchoma kama usipowapa simu na pesa. Uporaji mpya ambao unadaiwa kufanyika Dar kwa sasa, hali...
4 Reactions
17 Replies
252 Views
Huyu ni kiongozi wa CHAUMA kavaa nguo za Chadema na kujifanya yeye ni Katibu wa Bavicha Mkoa wa Katavi, kaitisha press na kuanza kuishambulia Chadema na Makamu Mkiti John Heche. Nafikiri...
20 Reactions
63 Replies
1K Views
Charles William Mara nyingi ninapotoka kuzungumzia kuhusu masuala ya amani, utulivu, na jinsi ambavyo watu hawatakiwi kuendeshwa na propaganda, kuna watu wamekuwa wakisema Mzee Azim Dewji...
1 Reactions
3 Replies
96 Views
Back
Top Bottom