Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema kuwa baada ya uchaguzi kuisha na Serikali ilichelewa kutoa taarifa ya matukio ya wakati na baada ya...
Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini, kupitia kwa Naibu Msajili wa Ofisi hiyo Sisty Nyahoza imetoa ufafanuzi kuhusiana na madai ya kwamba barua iliyoandikwa 'kutoka kwao' kwenda Chama cha...
Kwa Tuhuma za kukihujumu CHAMA kwa kushirikiana na Watu wa nje ya CHADEMA (CCM)
Amekirudisha CHAMA nyuma sana kwa hujuma zake za kizushi
Labda kwa wasiomjua Said ni hivi, huyu ni Mtu Duni...
Ni jambo linalotia matumaini kwamba hali duni inayolikabili taifa la Tanzania hatimaye imewagusa hata watu wa mataifa ya nje; si Ulaya Magharibi au Marekani pekee bali hata katika nchi za kiafrika...
Tumeona kauli za mstaafu wa Jeshi kusema police hawahitaji Waziri.
Hapa jamaa Kwa kujua au kutokujua anaanza kulitenga jeshi la polisi na wanasiasa.
Kinachofuata lawama zote za mauaji na utekaji...
Ndugu zangu Watanzania,
Napenda Niwafungueni Akili kidogo wale Vipofu wa akili na macho na waliojaa chuki Binafsi kwa Rais wetu Mpendwa. Napenda kuwaambieni Ya Kuwa Rais wetu Mpendwa Mama Samia...
Niliwai chomewa nyumba polisi wakapokea rushwa pale mkuranga sitokaa nisaauh kamwe Wala nimpende polisi awaye yoyote hata afe Leo siziki polisi Wala SILI chakula na polisi.
Niliwai toa...
Huyu ni Senator Ted Cruz kutoka Marekani anazungumza katika kikao cha Kamati ya Bunge la Marekani kuhusu uteuzi wa Balozi wa Marekani nchini Tanzania, William Trachman.
Senator Cruz anasema kuwa...
Wauguzi kutoka Taasisi ya Saratani Ocean Road, (ORCI) mapema leo tarehe 29/05/2026 wamefanya maadhimisho ya siku ya wauguzi kwa kusherehekea pamoja na kula chakula na wagonjwa kutoka katika...
Nilitegemea asema ukiona polisi anakula rushwa mpige picha rusha tumshughulikie. Sasa anasema msirushe hizo clip.
Means wale rushwa lakini msiwaumbue ie msiwaripoti
Sasa maovu utayafichua vipi?
Makamu wa Rais Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewasili Chato kumwakilisha Rais Samia katika Mazishi ya Marehemu Bi. Suzana Magufuli Mama wa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli.
Ila mnaielewa hii...
Ndugu zangu Watanzania,
Nawaambieni Kila Siku ya Kwamba Tuna kila sababu ya kuwaheshimu askari na wanajeshi wetu ,tuna kila sababu ya kushukuru kwa utumishi wao uliotukuka ,tuna kila sababu ya...
Haingii akilini makada wa CHADEMA kuweka namba za watu binafsi mtandaoni na kuhamasishana kuwatukana hao watu huku wakiendelea kupinga kutohusika na jaribio la mapinduzi October 29. Kijana...
Wanabodi,
Makala za Kwa Maslahi ya Taifa na Pascal Mayalla
Naendelea na Makala zangu ziitwazo Kwa Maslahi ya Taifa, ambazo huchapishwa kwenye gazeti la Raia Mwema toleo la kila siku za Jumatatu...
Mimi nilifundishwa kuieshimu Bendera ya Tanzania, nilifundishwa ikiwa Ina shushwa au inapandishwa Mimi nisimame MGUU sawa na kubana makalio yangu nisije Jamba ili Hali inapandishwa au kushushwa...
Nitaweka baadhi tuu ya miradi n programu kubwa na muhimu alizofanya na anazoendelea kufanya ambazo ni game changer ya maendeleo ya Nchi.
1. Amemaliza kupeleka umeme Kila Kijiji,Sasa anaendeleza...
Sina cha kuandika JF msaada nihurulie shule gani?
1. SHULE YA BUNGE
2. SHULE YA MAHAKAMA
3. SHULE YA MTAANI
4. SHULE YA JAMII
5. SHULE YA MUZIKI
6. SHULE YA RANGI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.