Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mdau wa maendeleo ametumia zaidi ya shilingi milioni 10 kujenga kipande cha barabara chenye urefu wa takribani mita 70 katika Kata ya Keri, Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha, kwa lengo la kuondoa...
0 Reactions
0 Replies
84 Views
Inadaiwa huyu askari alimkodi huyo boda boda kwenye video na baada ya kumzungusha kwa saa moja kagoma kumlipa, kwa mujibu wa maelezo ya boda kulitokea ugomvi ambao ulisababisha huyo polisi...
20 Reactions
71 Replies
2K Views
  • Poll Poll
Miongoni mwa maswali magumu zaidi katika mchakato wa Katiba Mpya ni muundo wa Muungano. Badala ya kubishana, hebu kila mmoja alete hoja yake kwa nini anaona muundo fulani ni bora, tuchambue faida...
10 Reactions
169 Replies
2K Views
Nadhani mafua( common colds) yamekuwepo tangu kuwepo kwa binadamu. Pamoja na maendeleo makubwa ya sayansi na teknolojia, bado mpaka leo hakuna chanjo ya mafua. Tatizo ni nini? Tuchepuke kidogo...
8 Reactions
49 Replies
503 Views
Kenye kuvaa jamaa yupo vizuri
6 Reactions
15 Replies
219 Views
Tujikumbushe kuhusu kisa hiki cha Zimbabwe Thamani ya fedha iliporomoka kiasi kwamba manunuzi ya kawaida yalihitaji kiasi kikubwa sana cha noti, hali iliyozalisha picha maarufu za watu kubeba...
0 Reactions
4 Replies
174 Views
Miaka zaidi ya 100 iliyopita, Kabla ya Vita vya Kwanza vya Dunia, Wajerumani walikuwa na mipango mikubwa ya maendeleo ya miundombinu Tanganyika. Baadhi ya mipango ilikuwa tayari imeshakamilika...
17 Reactions
45 Replies
644 Views
Samia ameunda tume huku akimteua Jaji Barishaki Cheborian wa Uganda kuwa mmoja wa tume hiyo kuchunguza chanzo cha vurugu. Soma PostGE2025 - Rais Samia: Tumeamua kuwashirikisha wenzetu kutoka...
8 Reactions
45 Replies
432 Views
Hakuwa MTU wa kujilimbikizia Mali na Kujenga kwao Kama viongozi wengine Hakuwa na ajenda ya kupitisha mwenyewe kibabe alipeleka kamati kuu ya Chama mfano kwenye Azimio la Arusha
10 Reactions
59 Replies
8K Views
Ugaidi huu wa Tanzania ni tofauti na ule aliokuwa anaufanya Osama bin Laden?👇
0 Reactions
1 Replies
58 Views
Rais Samia Aibeba Tanzania Kileleni Afrika, Mkutano wa Africa50 Watoa Mwelekeo Mpya wa Uwekezaji wa Miundombinu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ameendelea...
-1 Reactions
3 Replies
53 Views
♦️Labda muuaji Samia na genge lake la wahuni wakisaidiwa na Chawa wao wa mitandaoni na huko kwingine wanaweza kuelewa vizuri na kuacha kuteka na kuumiza watu hovyo... Hebu tujadili kuhusu...
4 Reactions
2 Replies
64 Views
Katibu wa CHADEMA Wilaya ya Lushoto, Jerida Ramadhani Ngosha, amesema aliomba msamaha kwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho baada ya kuitwa kwenye kikao Korogwe, lakini akasisitiza kuwa msamaha huo...
3 Reactions
31 Replies
411 Views
My Take Kuwe na Mfuko maalumu wa kuwawezesha wabunifu tuu na WA link na research centres . Kuna mwingine kule Njombe ameishia la saba ila ametengwdza mfumo wa umeme. Tukienda hivi tuswapita...
8 Reactions
31 Replies
505 Views
Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku, amesema hajui aliyekiwa Balozi, Humphrey Polepole, alipo hadi sasa ingawa mara kadhaa alikuwa akikutana naye. "Kabla...
4 Reactions
25 Replies
1K Views
Mimi leo ndo napata majibu ya kwanini zamani tulikuwa tunaona watu wana-staff hawana nyumba Wala kiwanja licha ya kuwa walikuwa na vyeo vikubwa sana serikalin/private sectors. Baadhi ya Sababu...
1 Reactions
0 Replies
57 Views
Mbunge huyu wa upinzani Time Kadrijaj alimrushia mayai Waziri Mkuu wa muda wa Kosovo Albin Kurti wakati wa kikao cha bunge siku ya Jumamosi. Waziri Mkuu Albin Kurti aliomba muda zaidi wa kufanya...
1 Reactions
4 Replies
92 Views
Wanabodi Kwa Maslahi ya Taifa kwenye gazeti la Nipashe la leo. Kufuatia kuibuka kwa kada mpya ya ajira ya uchawa, ambayo nasikia inalipa sana, kila mtu akisifia tuu uongozi au kiongozi anaitwa...
17 Reactions
149 Replies
11K Views
Mtangazaji (Rausath Sued):"Tumeona Rais amezindua tume ikachunguze wale waliohusika na yale matukio yaliyotokea tarehe 29. Kwa unavyona, hii tume iliyoundwa na Rais ni tume ya kijaji kama...
2 Reactions
1 Replies
81 Views
Tanzania kuna miji iliendelea kabla ya mkoloni na leo ingekuwa mbali lakini ni kama haisogei maendeleo yake yaleyale inasonga kidogo japo nchi imepata uhuru ilikuwa juu. 1. Moshi Huu mji ulianza...
3 Reactions
14 Replies
433 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…