Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kabla sijaweka nia ya kuandika makala tata kidogo, ahli ya yote yanibidi nianze kuuliza. Nimeona clip moja mitandaoni inasambaa kuhusu hotuba ya rais Samia akisema haya:- "Fanyaneni Nyie Wakubwa...
8 Reactions
30 Replies
3K Views
IBARA ya 143 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano ndiyo inazungumzia uwepo wa Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na majukumu yake. Moja ya majukumu ya CAG ni kuhakikisha...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Utamaduni wa kujaza wasomi na walimu wa vyuo kwenye bodi za mashirika hayana tija. Kwenye bodi hizi mtaalamu sana sana awe mmoja na walionaki wawe watu ambao wanajua na kutumia reli mfano...
1 Reactions
4 Replies
531 Views
Tulisema hapa kuhusu haya mabehewa na vichwa vyake kwamba siyo vile tulivyoahidiwa na Shujaa Magufuli lakini tulipingwa sana Hongera sana Rais Samia kwa kuliona hilo na kuchukua hatua za mara...
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Wana bodi mnaonaje kuhusu suala hili? Hizi ni fedha nyingi mno kwa kweli zilizoibuliwa na mzalendo halisi na CAG wetu, Prof. Assad.
0 Reactions
3 Replies
481 Views
Kuna taarifa zingine ukiwa unazifuatilia unaweza kujikuta unaangua kilio. Nini maana ya SERIKALI YA WANYONGE? Hivi neno "WANYONGE" limetumika katika awamu hii kama KITENZI au NOMINO? Ukilinganisha...
18 Reactions
56 Replies
10K Views
Nchi hii ina watu wengi wasomi na wenye umaarufu na ushawishi katika jamii lakini wamekaa kimya kabisa kuhusu huu upotevu wa zaidi ya shilingi bilioni 1.5 uliowekwa hadharani na mbunge Zitto kabwe...
34 Reactions
240 Replies
24K Views
Tutapata muda kujadili taarifa ya ripoti ya CAG. Lakini tusiache na kujisahaulisha kwamba Rais Samia ndiyo aliagiza ripoti iwe na uwazi zaidi ili serikali iweze kufanya maamuzi. Sasa tusije kuona...
2 Reactions
5 Replies
628 Views
Sasa Rais Samia atengue uteuzi wa balozi siro aje Tanzania ahojiwe zilipo billion 4.8 alizoiba na genge lake pale makao makuu ya wizara ya mambo ya ndani kupitia Sacco's ya jeshi ,alikuwa anaagiza...
9 Reactions
40 Replies
4K Views
Watanzania hatuongopi mpaka tugombezwe, huu ndio utamaduni na Rais amegundua kwamba kuna wakati lazima uonyeshwe ukali sana kwa mabadiliko kutokea. Tatizo sio mifumo tena ni wezi unao anzia juu...
0 Reactions
0 Replies
572 Views
Habari wakuu, Tanaambiwa kuwa moja ya kazi ya mbio za mwenge ni kung'mua miradi iliyojengwa chini ya kiwango na kukataa kuifungua. Japo kuna mkaguzi mkuu(CAG), wakaguzi wa ndani(Internal...
0 Reactions
0 Replies
778 Views
Ninavyoelewa mimi madai uandaliwa na anayedai na kuwasilisha pamoja na vielelezo Kwa mdaiwa. Kama ndivyo naamini kampuni iliyotengeneza ndege zetu ndiyo iliyowasilisha madai ya kiasi wanachoidai...
4 Reactions
54 Replies
3K Views
Wanajamvi Heri ya Pasaka! Nimekuwa nikifuatilia kila panapotakiwa kutolewa taarifa yenye maslahi kwa nchi yetu pendwa Tanzania panatanguliwa na taarifa zenye taharuki na mshtuko. Hivi karibuni...
1 Reactions
1 Replies
747 Views
Natafakari sana lakini sipati majibu, kati ya taasisi ya umma yenye magari ya kifahari halafu Kwa idadi kubwa basi ni hawa TRC. Wanamiliki magari mengi tena ya kifahari lakini sijui Kama taifa...
16 Reactions
103 Replies
10K Views
Ndege zinazotumiwa na ATCL zinamilikiwa na Serikali kupitia TGFA. Manunuzi ya ndege hufanywa na TGFA na kisha kukodishwa kwa ATCL. Hivyo, ATCL haihusiki na mchakato wa manunuzi ya ndege. Eng...
7 Reactions
26 Replies
3K Views
Jf, members! Salaam! Nauliza iwapo watu wenye uelewa wa hali ya juu kama wale wa CCM iwapo wanaweza shangilia au kuwa wafuasi wa CDM, ACT, NCCR, au CUF. Nauliza hivi sbb hizi:- (a). CDM -...
2 Reactions
42 Replies
2K Views
Tukubali kwamba Rais amekwazika sana na ripoti ya CAG. Nilipomsikiliza akitamka neno stupid nilimkumbuka Rais wa sasa wa Zambia Hichilema alipowaambia Wazambia kwamba, siku anaingia ofisini...
2 Reactions
30 Replies
3K Views
Leo baada ya kuwasilishwa kwa ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na ile ya TAKUKURU Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha kuchukizwa sana na kitendo cha ongezeko la fedha...
9 Reactions
60 Replies
5K Views
Anaandika Malisa GJ Sabaya amekiri makosa yote yaliyokua yanamkabili. Uhujumu uchumi ameomba "plea bargaining" na ametakiwa kulipa faini ya milioni 5. Yani fedha zote alizodhulumu kwa...
5 Reactions
28 Replies
2K Views
Back
Top Bottom