USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 11,959
- 28,200
Sasa Rais Samia atengue uteuzi wa balozi siro aje Tanzania ahojiwe zilipo billion 4.8 alizoiba na genge lake pale makao makuu ya wizara ya mambo ya ndani kupitia Sacco's ya jeshi ,alikuwa anaagiza tu zichotwe
Hii imeoza aisee, huyu mzee tuliambiwa alipaswa kuwa padre ila hakufaulu na kuhamia kulinda mali za umma na raia ,kumbe akilinda huku akiiba .
Juzi jeshi la polisi la Tanzania linasema kuna afisa ameiba pesa za michango ya polisi kisha akakimbilia Africa kusini kumbe ni mnyororo wa wa IGP siro ,so hapa kuna tuhuma pia za baadhi ya wakuu wa polisi kumsaidia yule kutoroka maana walikula naye na alipewa maagizo achote pesa kutoka juu kwa kina siro
Ni bora sasa Mh Rais Samia Suluhu Hassan atengue uteuzi wake aje hapa Tanzania akamatwe na kuhojiwa zilipo billion 4.8 na afanikishe kukamatwa kwa yule aliyetoroka.
Nawatakia pasaka njema
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii imeoza aisee, huyu mzee tuliambiwa alipaswa kuwa padre ila hakufaulu na kuhamia kulinda mali za umma na raia ,kumbe akilinda huku akiiba .
Juzi jeshi la polisi la Tanzania linasema kuna afisa ameiba pesa za michango ya polisi kisha akakimbilia Africa kusini kumbe ni mnyororo wa wa IGP siro ,so hapa kuna tuhuma pia za baadhi ya wakuu wa polisi kumsaidia yule kutoroka maana walikula naye na alipewa maagizo achote pesa kutoka juu kwa kina siro
Ni bora sasa Mh Rais Samia Suluhu Hassan atengue uteuzi wake aje hapa Tanzania akamatwe na kuhojiwa zilipo billion 4.8 na afanikishe kukamatwa kwa yule aliyetoroka.
Nawatakia pasaka njema
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app