Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,391
- 1,258
Jf, members!
Salaam!
Nauliza iwapo watu wenye uelewa wa hali ya juu kama wale wa CCM iwapo wanaweza shangilia au kuwa wafuasi wa CDM, ACT, NCCR, au CUF. Nauliza hivi sbb hizi:-
(a). CDM - mwenyekiti wao kawa Mungu watu, tangia aingie madarakani ni miaka lukuki na wafuasi wako kimya kbs! Achilia mbali uelewa wao kuhusu wanawake wa vikoba, na bodaboda;
(a). ACT - chama chenye kiongozi wa chama asipenda kukosolewa na hakuna kifungu ktk katiba yao kinachoweza mwajibisha kiongozi;
(c). CUF an NCCR nikama ilivyoelezwa kwa CDM.
Sasa hivi kwa muktadha huu vyama vya upinzani vimeingia na kusajili ili viisaidie CCM au ili vipate kuongoza nchi!
Wafuasi zindukeni, ninyi ni binadamu si nyumbu.
Msakila Kabende
Kakonko
Salaam!
Nauliza iwapo watu wenye uelewa wa hali ya juu kama wale wa CCM iwapo wanaweza shangilia au kuwa wafuasi wa CDM, ACT, NCCR, au CUF. Nauliza hivi sbb hizi:-
(a). CDM - mwenyekiti wao kawa Mungu watu, tangia aingie madarakani ni miaka lukuki na wafuasi wako kimya kbs! Achilia mbali uelewa wao kuhusu wanawake wa vikoba, na bodaboda;
(a). ACT - chama chenye kiongozi wa chama asipenda kukosolewa na hakuna kifungu ktk katiba yao kinachoweza mwajibisha kiongozi;
(c). CUF an NCCR nikama ilivyoelezwa kwa CDM.
Sasa hivi kwa muktadha huu vyama vya upinzani vimeingia na kusajili ili viisaidie CCM au ili vipate kuongoza nchi!
Wafuasi zindukeni, ninyi ni binadamu si nyumbu.
Msakila Kabende
Kakonko