Shirika la Reli Tanzania wamepata wapi pesa za kununua Magari ya kifahari ilhali hawaliingizii taifa faida yoyote zaidi ya kutoa huduma?

The lost

JF-Expert Member
Jul 3, 2017
2,695
8,209
Natafakari sana lakini sipati majibu, kati ya taasisi ya umma yenye magari ya kifahari halafu Kwa idadi kubwa basi ni hawa TRC. Wanamiliki magari mengi tena ya kifahari lakini sijui Kama taifa limewapa ruzuku ama ni faida kutoka katika huduma wanayotoa.

Shirika hili za reli linatumia magari yenye plate namba zinazoanzia na RAC na magari Yao ni new generation kabisa kampuni ya Toyota kuanzia SUV mpaka pickup. Suala hapa siyo magari Bali idadi ya magari ni mengi mno for no solid reason.

Unakuta magari zaidi ya 6 Kwa pamoja yote ya shirika la reli yanafukuzana sijui kukagua SGR kitu ambacho ni anasa. Wizara mtoke Sasa mtuambie hawa TRC wamekopa pesa kununua Magari ama serikali imetoa ruzuku ya kuwanunulia magari?
 
Tuma na kapicha basi tujiridhishe

Halafu shida ipo wapi mbona watu wana madeni kibao lakini wanamiliki makampuni ya mabasi na maviwanda kibao??

Kuwa na madeni haiimaanishi usinunue mausafiri ya first class

Mbona nchi yetu ipo kwenye kundi la Most Indebted Countries World Wide lakini mindinga ya rank ya first generation huko duniani yanaburuzwa na wana si-hasa??

Utangoja sana kiongozi
 
Natafakari sana lakini sipati majibu, kati ya taasisi ya umma yenye magari ya kifahari halafu Kwa idadi kubwa basi ni hawa TRC. Wanamiliki magari mengi tena ya kifahari lakini sijui Kama taifa limewapa ruzuku ama ni faida kutoka katika huduma wanayotoa. Shirika hili za reli linatumia magari yenye plate namba zinazoanzia na RAC na magari Yao ni new generation kabisa kampuni ya Toyota kuanzia SUV mpaka pickup. Suala hapa siyo magari Bali idadi ya magari ni mengi mno for no sold reason. Unakuta magari zaidi ya 6 Kwa pamoja yote ya shirika la reli yanafukuzana sijui kukagua SGR kitu ambacho ni anasa. Wizara mtoke Sasa mtuambie hawa TRC wamekopa pesa kununua Magari ama serikali imetoa ruzuku ya kuwanunulia magari?
1649931733625.jpg
 
Natafakari sana lakini sipati majibu, kati ya taasisi ya umma yenye magari ya kifahari halafu Kwa idadi kubwa basi ni hawa TRC. Wanamiliki magari mengi tena ya kifahari lakini sijui Kama taifa limewapa ruzuku ama ni faida kutoka katika huduma wanayotoa.

Shirika hili za reli linatumia magari yenye plate namba zinazoanzia na RAC na magari Yao ni new generation kabisa kampuni ya Toyota kuanzia SUV mpaka pickup. Suala hapa siyo magari Bali idadi ya magari ni mengi mno for no sold reason.

Unakuta magari zaidi ya 6 Kwa pamoja yote ya shirika la reli yanafukuzana sijui kukagua SGR kitu ambacho ni anasa. Wizara mtoke Sasa mtuambie hawa TRC wamekopa pesa kununua Magari ama serikali imetoa ruzuku ya kuwanunulia magari?
Kuna series 300 Hapo lc 300 milioni 545 anatumia sijui meneja

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom