Miradi ya World Bank hapa nchini ni mingi, lakini ina walakini.
Miradi hii inawekewa masharti ambayo serikali huwa inayakubali bila kupitia vipengele vya utekelezaji miradi yenyewe.
Hi ina maana...
Katika taifa masikini kama la kwetu, ni dhahiri kwamba lazima mikakati kabambe na juhudi maridhawa vifanywe ili kutuwezezesha kupiga kasi ya kutosha katika kuondokana na matatizo lukuki tuliyokuwa...
Nafahamu kuwa kutoa taarifa ipo kwenye kanuni za Bunge letu lakini katika Bunge hili la 11 linalo endelea naona kamtindo ka kutoa taarifa wakati mzungumzaji akichangia hoja kameshamiri kiasi...
Mwanasiasa mkongwe wa Taifa Mzee Wassira amesema Tukiruhusu Utawala wa Majimbo kama ilivyo Sera ya Chadema tutajuta
Wassira amesema hapo Kenya Nusu ya Mapato yao wanalipa mishahara ya Wabunge na...
Hii ndio Taarifa ya sasa kwenda kwa jamii yote Duniani, kwamba hivi ninavyoandika hapa Bendera ya CHADEMA imepandishwa na kusimikwa rasmi kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro, yaani hivi sasa...
Watanzania sio kama tunapinga nchi yetu kukopa, kinachowafanya wananchi waonekane kuogopa nchi kukopa ni uwezo mdogo wa watendaji wetu wa kusimamia miradi mikubwa na pia ufisadi mkubwa wa fedha...
Habari za wakati huu ndugu watanzania
Kazi iendeleeiendelee
Baada ya nchi kumshinda Mwalimu mwaka 1985 aliamua kukaa pembeni na kumuachia kijiti Mwinyi ambae aliingia alikuta nchi imechakaa sana...
Hivi wakati huyu Msiba anatukana, kukashfu na kutishia watu, wao walikuwa wapi?
Maaskofu wa Kanisa Katoliki waliwahi kuandika Waraka kukemea maovu wakati wa Magufuli lakini Pengo aliukana waraka...
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe , Ambaye pia ni Mwenyekiti Mwenza wa Vyama vya Kidemokrasia vya bara la Africa , amepewa heshima ya kufungua kongamano kubwa la vyama hivyo Jijini Johannesburg...
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba Mh Joseph Mbilinyi Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini na Mwekezaji wa Kimataifa , leo amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Ufaransa Nchini Tanzania ...
Mashirika ya Kimataifa ya Fedha IMF na Benki ya Dunia WB zimekadiria Ukubwa wa Uchumi wa Tanzania kuwa Dola za Marekani Bilioni 85.4 mwaka 2023..
Uchumi umeongezeka Kwa Dola Bilioni 15.4 kutoa...
Kumekuwa na mtirirko wa matukio yasiyofaa kwenye jamii zetu kila kukicha.
Kuna suala la mapenzi ya jinsia moja, watu kuuawa kila kukicha, watoto kuharibia kila siku.
Nimekuwa nikijiuliza sana...
Waziri wa Tehama na Habari mh Nape Nnauye ameliagiza jeshi la polisi kuchunguza ajali zinazosababishwa na madereva wa magari ya serikali hususani ajali ikiyouwa waandishi 6 mkoani Simiyu.
Naye...
Akizungumza Bungeni Dodoma , Festo Sanga ambaye ni Mbunge wa Makete kupitia CCM , amedai kwamba , Kwa vile Rais wa Nchi anafanya Maridhiano na vyama vya siasa vya upinzani , basi na vyama hivyo ni...
Mheshimiwa Rais tunakuomba uteue bodi ya Contractors Registration Body.
Kuna kazi nyingi zimesimama kutokana na bodi kufutwa. Kuna makampuni yanasubiri update, mengine mapya yanasubiri...
Nianze kuwapongeza ndugu zetu wa dini ya kiislamu kwa kuadhimisha sikukuu yao vizuri na kwa amani kama tuliivyoadhimisha na sisi wakiristu nchini kote.
Baada ya pongezi hizi, nitumie fursa hii...
Prof. Shivji ametoa maoni yake kuhusu kadhia ya Law School. Anasema Shivji:
“Pasipo mijadala au ubunifu huwezi kuendeleza fikra, na hii inakwenda moja kwa moja kuathiri usomaji na ufundishaji.”...
Pongezi nyingi ziende kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Mama Samia Suluhu Hassan pamoja na Rais wa Zanzibar Mh. Hussein Mwinyi kwa kuratibu "kibingwa" moja ya jukumu muhimu katika...