Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ile Taasisi bora ya Vijana Barani Africa (BAVICHA) imetuma wawakilishi kwenye Mkutano wa Kitaifa wa Vijana nchini Denmark , tayari ujumbe huo umewasili jijini Copenhagen na kupokelewa na wenyeji...
10 Reactions
26 Replies
2K Views
Habarini wakuu Hapa juzi kati katika harakati zangu za hapa na pale, nilipita pale chang'ombe, Dar Chuo cha Ualimu (DUCE), na nikakuta palikuwa na shughuli ya uchaguzi wa ndani ya chama(CCM), Na...
14 Reactions
29 Replies
3K Views
Mkuu wa mkoa wa DSM Amos Makalla amesema serikali itajenga Stendi nyingine ya Mabasi ya mikoani kama Magufuli Bus Terminal Mbagala Lengo ni kuwapunguzia usumbufu wananchi na mabasi yote ya...
7 Reactions
67 Replies
5K Views
Kweli ivumayo haidumu. Hakuna kiumbe alikuwa akikera kwa kujikomba kwa mwendazake kama huyu jamaa aitwaye Cyprian Musiba Rugarabamu wa Rugaimukamu. Sasa yupo hoi ndembe ndembe akikabiliwa na...
4 Reactions
7 Replies
991 Views
Yamekuwa yakisikika matokeo yasiyo na tija Law School. Kwamba wanafaulu wanafunzi chini ya 3%? Kwamba wanafunzi bado mpo tu kama makondoo mmetulia kumsubiri nani kuwapigania? Shule...
10 Reactions
190 Replies
10K Views
Taarifa zilizotolewa kwa waandishi wa Habari Mjini Dar es salaam , zinaeleza kwamba Rais wa Rwanda , Paul Kagame atatua nchini Tanzania Kesho kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku 2 . Ambako...
3 Reactions
49 Replies
5K Views
Rais Samia amewanunulia Boti ya Kisasa Wavuvi waliookoa Wahanga wa ndege ya Precision Air iliyoanguka Bukoba RC Chalamila amewakabidhi Boti hiyo Wavuvi hao kwa niaba ya mh Rais Samia Source...
2 Reactions
11 Replies
980 Views
MBUNGE KALIUA, MHE. ALOYCE KWEZI AMPONGEZA WAZIRI MKUU KWA MAELEKEZO ALIYOYATOA BUNGENI KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI KWENYE HIFADHI Mbunge wa Jimbo la Kaliua Mhe. Aloyce Andrew Kwezi amempongeza...
0 Reactions
0 Replies
590 Views
Kimsingi, huyu mchungaji, waziwazi, anaandika na kuchochea chuki huko YouTube. Anaporomosha matusi na hakuna anayechukua hatua. Ofisi ya msajili wa taasisi za dini nadhani kwa Sasa inatakiwa iamke...
1 Reactions
4 Replies
909 Views
26 April 2023 Berlin, Germany JOE CHIALO SASA NI SENETA KTK BARAZA LA SENETI JIMBO LA BERLIN Seneta Joe Chialo atahusika kusimamia masuala nyeti ya Utamaduni, Maridhiano, Ushirikishwaji na...
5 Reactions
20 Replies
3K Views
Mungu ulie chanzo cha Taifa la Tanzania watu wako tunakuja mbele yako kwa sala na maombi maalumu juu ya Taifa letu Tanzania. Mungu Baba tunasema Asante kwa kila kiongozi ulie tupa ktk jamuhuri...
33 Reactions
131 Replies
9K Views
Sijui kwanini kwenye mambo serious Chama Tawala huwa hakipendi kutumia Watu makini. Fikiria Watu kama Kigwangalla, Kibajaj, Msukuma ndio wa kumjibu Bashiru kwa niaba ya Chama Au mtu kama Dkt...
11 Reactions
22 Replies
2K Views
Nakumbuka mzee Lowassa kwenye Uchaguzi mkuu wa 2015 alisema endapo atachaguliwa ataanzisha Wizara ya Dini Sasa kupitia Citizen TV baadhi ya Wabunge wa Kenya wametaka ianzishwe Regulatory...
1 Reactions
14 Replies
825 Views
Kama Mtendewa alitoa fursa ya kuombwa msamaha ili yaishe lakini Mtenda akakataa maana yake ni Moja tu " kiburi" Kwahiyo wanaoomba msamaha leo ndio waliomkosea Mh Membe? Musiba aachwe avune...
15 Reactions
31 Replies
2K Views
MAJIBU YA MHE. MEMBE KWA ASKOFU MWAMAKULA Baba Askofu Salaam na Asante kwa barua yako ambayo umenitaka nimsamehe Musiba kwa sababu Amesalimu Amri na kwamba hana hela hata kama atauza kijiji...
74 Reactions
204 Replies
16K Views
Nimefuatilia uwasilishwaji wa Bajeti ya Wizara ya Madini uliofanywa leo 27 April 2023 na Waziri Dotto Biteko Bungeni na nimevutiwa na maendeleo makubwa yaliyofikiwa na sekta hiyo hasa katika...
0 Reactions
0 Replies
611 Views
Bungeni waziri Mkuu Kassim majaliwa amepiga marufuku askari wa wanyamapori kuvamia akitaka watoe taarifa kwa umma juu ya operation, hivi anajua kuwa wenyeviti wa vijiji ndio mawakala wa majangili...
1 Reactions
1 Replies
369 Views
Wanajukwaa Mada tajwa hapo juu inahusika moja kwa moja kwa mjadala mpana. Ombi kwa 1. Serikali kuu 2. Makamu wa rais muungano na mazingira 3. Tamisemi Kwanza mamlaka husika ipongezwe kwa...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwa takribani wiki kadhaa nchini Tanzania Kuna "Machoko" watu wamepigwa mvua ya mawe ya miaka 30 jera Kwa kuliwa kalioa! Hicho hapo juu ni kibwagizo ila ni kweli imetokea Tanzania,mnisamehe...
7 Reactions
17 Replies
1K Views
Haiwezekani mwananchi amesafiri kutoka Zanzibar na TV moja used anakuja kutumia nyumbani anafika Bara anaambiwa alipe kodi na hii ni nchi moja, akini anayetoka Morogoro kwenda Dar halipi kodi...
36 Reactions
110 Replies
9K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…