Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Miradi ya World Bank hapa nchini ni mingi, lakini ina walakini. Miradi hii inawekewa masharti ambayo serikali huwa inayakubali bila kupitia vipengele vya utekelezaji miradi yenyewe. Hi ina maana...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Fikiria yaliyokuwa yanawatokea tangu 2016-2020. 1. Viongozi kutemwa 2. Kuvunjwa visikigino 3. Kupigwa risasi 4. Kuwabambikia kesi 5. Mikutano yao kuvamiwa na police ccm 6. Kupotezwa Sasa...
15 Reactions
29 Replies
1K Views
Katika taifa masikini kama la kwetu, ni dhahiri kwamba lazima mikakati kabambe na juhudi maridhawa vifanywe ili kutuwezezesha kupiga kasi ya kutosha katika kuondokana na matatizo lukuki tuliyokuwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nafahamu kuwa kutoa taarifa ipo kwenye kanuni za Bunge letu lakini katika Bunge hili la 11 linalo endelea naona kamtindo ka kutoa taarifa wakati mzungumzaji akichangia hoja kameshamiri kiasi...
0 Reactions
6 Replies
594 Views
Mwanasiasa mkongwe wa Taifa Mzee Wassira amesema Tukiruhusu Utawala wa Majimbo kama ilivyo Sera ya Chadema tutajuta Wassira amesema hapo Kenya Nusu ya Mapato yao wanalipa mishahara ya Wabunge na...
3 Reactions
76 Replies
4K Views
Hii ndio Taarifa ya sasa kwenda kwa jamii yote Duniani, kwamba hivi ninavyoandika hapa Bendera ya CHADEMA imepandishwa na kusimikwa rasmi kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro, yaani hivi sasa...
16 Reactions
59 Replies
4K Views
Watanzania sio kama tunapinga nchi yetu kukopa, kinachowafanya wananchi waonekane kuogopa nchi kukopa ni uwezo mdogo wa watendaji wetu wa kusimamia miradi mikubwa na pia ufisadi mkubwa wa fedha...
2 Reactions
2 Replies
881 Views
Habari za wakati huu ndugu watanzania Kazi iendeleeiendelee Baada ya nchi kumshinda Mwalimu mwaka 1985 aliamua kukaa pembeni na kumuachia kijiti Mwinyi ambae aliingia alikuta nchi imechakaa sana...
42 Reactions
243 Replies
15K Views
Hivi wakati huyu Msiba anatukana, kukashfu na kutishia watu, wao walikuwa wapi? Maaskofu wa Kanisa Katoliki waliwahi kuandika Waraka kukemea maovu wakati wa Magufuli lakini Pengo aliukana waraka...
39 Reactions
119 Replies
6K Views
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe , Ambaye pia ni Mwenyekiti Mwenza wa Vyama vya Kidemokrasia vya bara la Africa , amepewa heshima ya kufungua kongamano kubwa la vyama hivyo Jijini Johannesburg...
12 Reactions
46 Replies
3K Views
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba Mh Joseph Mbilinyi Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini na Mwekezaji wa Kimataifa , leo amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Ufaransa Nchini Tanzania ...
6 Reactions
15 Replies
2K Views
Mashirika ya Kimataifa ya Fedha IMF na Benki ya Dunia WB zimekadiria Ukubwa wa Uchumi wa Tanzania kuwa Dola za Marekani Bilioni 85.4 mwaka 2023.. Uchumi umeongezeka Kwa Dola Bilioni 15.4 kutoa...
7 Reactions
179 Replies
8K Views
Kumekuwa na mtirirko wa matukio yasiyofaa kwenye jamii zetu kila kukicha. Kuna suala la mapenzi ya jinsia moja, watu kuuawa kila kukicha, watoto kuharibia kila siku. Nimekuwa nikijiuliza sana...
0 Reactions
25 Replies
1K Views
Waziri wa Tehama na Habari mh Nape Nnauye ameliagiza jeshi la polisi kuchunguza ajali zinazosababishwa na madereva wa magari ya serikali hususani ajali ikiyouwa waandishi 6 mkoani Simiyu. Naye...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Akizungumza Bungeni Dodoma , Festo Sanga ambaye ni Mbunge wa Makete kupitia CCM , amedai kwamba , Kwa vile Rais wa Nchi anafanya Maridhiano na vyama vya siasa vya upinzani , basi na vyama hivyo ni...
23 Reactions
65 Replies
6K Views
Mheshimiwa Rais tunakuomba uteue bodi ya Contractors Registration Body. Kuna kazi nyingi zimesimama kutokana na bodi kufutwa. Kuna makampuni yanasubiri update, mengine mapya yanasubiri...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nianze kuwapongeza ndugu zetu wa dini ya kiislamu kwa kuadhimisha sikukuu yao vizuri na kwa amani kama tuliivyoadhimisha na sisi wakiristu nchini kote. Baada ya pongezi hizi, nitumie fursa hii...
3 Reactions
26 Replies
3K Views
Prof. Shivji ametoa maoni yake kuhusu kadhia ya Law School. Anasema Shivji: “Pasipo mijadala au ubunifu huwezi kuendeleza fikra, na hii inakwenda moja kwa moja kuathiri usomaji na ufundishaji.”...
5 Reactions
36 Replies
4K Views
Pongezi nyingi ziende kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Mama Samia Suluhu Hassan pamoja na Rais wa Zanzibar Mh. Hussein Mwinyi kwa kuratibu "kibingwa" moja ya jukumu muhimu katika...
7 Reactions
42 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…