Ile Taasisi bora ya Vijana Barani Africa (BAVICHA) imetuma wawakilishi kwenye Mkutano wa Kitaifa wa Vijana nchini Denmark , tayari ujumbe huo umewasili jijini Copenhagen na kupokelewa na wenyeji...
Habarini wakuu
Hapa juzi kati katika harakati zangu za hapa na pale, nilipita pale chang'ombe, Dar Chuo cha Ualimu (DUCE), na nikakuta palikuwa na shughuli ya uchaguzi wa ndani ya chama(CCM), Na...
Mkuu wa mkoa wa DSM Amos Makalla amesema serikali itajenga Stendi nyingine ya Mabasi ya mikoani kama Magufuli Bus Terminal Mbagala
Lengo ni kuwapunguzia usumbufu wananchi na mabasi yote ya...
Kweli ivumayo haidumu. Hakuna kiumbe alikuwa akikera kwa kujikomba kwa mwendazake kama huyu jamaa aitwaye Cyprian Musiba Rugarabamu wa Rugaimukamu. Sasa yupo hoi ndembe ndembe akikabiliwa na...
Yamekuwa yakisikika matokeo yasiyo na tija Law School.
Kwamba wanafaulu wanafunzi chini ya 3%? Kwamba wanafunzi bado mpo tu kama makondoo mmetulia kumsubiri nani kuwapigania?
Shule...
Taarifa zilizotolewa kwa waandishi wa Habari Mjini Dar es salaam , zinaeleza kwamba Rais wa Rwanda , Paul Kagame atatua nchini Tanzania Kesho kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku 2 .
Ambako...
Rais Samia amewanunulia Boti ya Kisasa Wavuvi waliookoa Wahanga wa ndege ya Precision Air iliyoanguka Bukoba
RC Chalamila amewakabidhi Boti hiyo Wavuvi hao kwa niaba ya mh Rais Samia
Source...
MBUNGE KALIUA, MHE. ALOYCE KWEZI AMPONGEZA WAZIRI MKUU KWA MAELEKEZO ALIYOYATOA BUNGENI KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI KWENYE HIFADHI
Mbunge wa Jimbo la Kaliua Mhe. Aloyce Andrew Kwezi amempongeza...
Kimsingi, huyu mchungaji, waziwazi, anaandika na kuchochea chuki huko YouTube. Anaporomosha matusi na hakuna anayechukua hatua. Ofisi ya msajili wa taasisi za dini nadhani kwa Sasa inatakiwa iamke...
26 April 2023
Berlin, Germany
JOE CHIALO SASA NI SENETA KTK BARAZA LA SENETI JIMBO LA BERLIN
Seneta Joe Chialo atahusika kusimamia masuala nyeti ya Utamaduni, Maridhiano, Ushirikishwaji na...
Mungu ulie chanzo cha Taifa la Tanzania watu wako tunakuja mbele yako kwa sala na maombi maalumu juu ya Taifa letu Tanzania.
Mungu Baba tunasema Asante kwa kila kiongozi ulie tupa ktk jamuhuri...
Sijui kwanini kwenye mambo serious Chama Tawala huwa hakipendi kutumia Watu makini.
Fikiria Watu kama Kigwangalla, Kibajaj, Msukuma ndio wa kumjibu Bashiru kwa niaba ya Chama
Au mtu kama Dkt...
Nakumbuka mzee Lowassa kwenye Uchaguzi mkuu wa 2015 alisema endapo atachaguliwa ataanzisha Wizara ya Dini
Sasa kupitia Citizen TV baadhi ya Wabunge wa Kenya wametaka ianzishwe Regulatory...
Kama Mtendewa alitoa fursa ya kuombwa msamaha ili yaishe lakini Mtenda akakataa maana yake ni Moja tu " kiburi"
Kwahiyo wanaoomba msamaha leo ndio waliomkosea Mh Membe?
Musiba aachwe avune...
MAJIBU YA MHE. MEMBE KWA ASKOFU MWAMAKULA
Baba Askofu Salaam na Asante kwa barua yako ambayo umenitaka nimsamehe Musiba kwa sababu Amesalimu Amri na kwamba hana hela hata kama atauza kijiji...
Nimefuatilia uwasilishwaji wa Bajeti ya Wizara ya Madini uliofanywa leo 27 April 2023 na Waziri Dotto Biteko Bungeni na nimevutiwa na maendeleo makubwa yaliyofikiwa na sekta hiyo hasa katika...
Bungeni waziri Mkuu Kassim majaliwa amepiga marufuku askari wa wanyamapori kuvamia akitaka watoe taarifa kwa umma juu ya operation, hivi anajua kuwa wenyeviti wa vijiji ndio mawakala wa majangili...
Wanajukwaa
Mada tajwa hapo juu inahusika moja kwa moja kwa mjadala mpana.
Ombi kwa
1. Serikali kuu
2. Makamu wa rais muungano na mazingira
3. Tamisemi
Kwanza mamlaka husika ipongezwe kwa...
Kwa takribani wiki kadhaa nchini Tanzania Kuna "Machoko" watu wamepigwa mvua ya mawe ya miaka 30 jera Kwa kuliwa kalioa!
Hicho hapo juu ni kibwagizo ila ni kweli imetokea Tanzania,mnisamehe...
Haiwezekani mwananchi amesafiri kutoka Zanzibar na TV moja used anakuja kutumia nyumbani anafika Bara anaambiwa alipe kodi na hii ni nchi moja, akini anayetoka Morogoro kwenda Dar halipi kodi...