Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wakati mimi ninakua niliogopa sana watu walio itwa maprofesa aise ila uongozi wa awamu tano ulipomteua mtu aliyejiita profesa alietoka majalalani, Mimi nilijiona wa tofauti sana yaani profess...
6 Reactions
8 Replies
829 Views
Hizo ndio takwimu zinavyoonesha. Nchi iliporomoka vibaya sana katika miaka hiyo kumi alipokuwa anaongoza rais mstaafu Mwinyi. Alishindwa kufanya makubaliano mazuri ya kiuzalendo na IMF na WB ili...
0 Reactions
1 Replies
524 Views
1. Mikataba 15 iliyosainiwa na serikali haikutajwa.kuna haja gani kuita press conference ukashindwa kuainisha mikataba. Kama kuna alieielewa anisaidie humu Mh Waziri wetu wa fedha ameulizwa zaidi...
5 Reactions
3 Replies
795 Views
Rais ndiye anatafuta pesa zote za miradi na kujenga uchumi wetu. Hivyo ni yeye ndiye anajua kwa undani zaidi ukamilikaji wa miradi na level ya uchumi wa taifa letu. Tuwe makini kumsikiliza...
0 Reactions
4 Replies
578 Views
Hivi ni kweli Watanzania wanahitaji KATIBA MPYA kwa sasa? 1) Wasomi na wote wasio na maslahi binafsi na katiba. Hawa watasema ndio kwa kuangazia mambo kadha wadha ambayo yanaonekana ni chechefu...
0 Reactions
0 Replies
811 Views
Serikali imeanza kusambaza mahindi ya msaada kwenye maeneo yenye njaa kwa bei ya unafuu! wakati huo huo malori yaliyobeba shehena ya mahindi kutoka Rukwa, Katavi, Mbeya na Ruvuma yanavuka mipaka...
1 Reactions
9 Replies
837 Views
Kwa nini tulifikia uchumi wa kati mdogo Kabla ya lengo halisi la serikali? Malengo ya Serikali yake wakati wa uhai wake, ilikuwa tufikie uchumi wa kati 2022, lakini cha ajabu, Taifa lilifikia...
15 Reactions
60 Replies
3K Views
Spika wa Bunge la JMT Dr Tulia amewataka Mawaziri kusikiliza kwa makini hotuba za Rais wa JMT mh Samia ili wasiwe wanatofautiana Dr Tulia aliyasema hayo baada ya Naibu waziri wa Nishati ndugu...
3 Reactions
19 Replies
1K Views
Kwako waziri tunaomba ile ratiba ya mgao ifike maana kumekuwa na ubaguzi mkubwa wa wananchi kupata maji kuna maeneo maji hayajapatikana mwezi sasa. Hili pia limeshindikana kusimamiwa. Huku ndii...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Jana niliona clip kuna mtu anaitwa sijui Steve Nyerere kwamba ni msemaji wa nini sijui ila kikubwa alikuwa anazungumzia Tozo, ukimsikiliza unaona kichefuchefu na anawakilisha akili za millions of...
35 Reactions
60 Replies
4K Views
Kama itakuja Kutokea, sio Kwa sababu Kuna Upinzani wenye wanasiasa Bora, La hashaaa!!. Itakua ni sababu Watanzania kutaka tu kuona Upinzani wataongozaje na kwa mantiki hiyo, DOLA, hautokaa...
1 Reactions
30 Replies
1K Views
Kwenye tovuti ya Ikulu zimewekwa namba za simu unazoweza kutumia kuwapigia simu. Ukipiga kupitia namba hizo simu inaita pasipo kupokelewa, tatizo ni nini? Simu zinapokelewa Ikulu ya Marekani...
12 Reactions
64 Replies
4K Views
Mtu anayebadili pesa za Kigeni huyo si mnyonge hata kidogo, bali ana excess (nyongeza) hivyo napendekeza pawepo TOZO kila mtu anapobadili pesa za Kigeni ili kupata pesa za Kujenga na kuendeleza...
4 Reactions
28 Replies
2K Views
Ni kawaida watu kuwa na mawazo yao juu ya serikali zao na kulinganisha mataifa yao kimaendeleo, kiutawala na kimahitaji na wengine uenda mbali kaona wao wanaweza kuifkisha mbali nchi zaidi kuliko...
1 Reactions
5 Replies
962 Views
Habari za Leo wapendwa Binafsi nina familia na ninaona namna familia yangu jinsi inavyopitia kipindi kigum kutokana na hii changamoto ya Maji. Mimi nilikuwa nashauri Media zote nchini waandae...
3 Reactions
12 Replies
618 Views
Novemba imeingia, sasa usije kusema hatukukuambia. Hii hapa ni Taarifa tunayoisambaza kwa Wapenda Demokrasia Duniani kote, kwamba Wazito wa Chadema waishaingia Kanda Maalum kwa lengo la kuwasha...
22 Reactions
80 Replies
4K Views
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu (DPC), Zuhura Yunus akizungumza na Vyombo vya Habari Ikulu jijini Dares Salaam leo Tarehe 12 Novemba, 2022 ZIARA YA RAIS SAMIA NCHINI CHINA POLE ZA...
5 Reactions
71 Replies
8K Views
WAZIRI NAPE, BANDO LINAMHUJUMU RAIS, CCM NA NCHI YETU. Kaka Waziri, awali ya yote nikusalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwa hakika unastahili pongezi za dhati kwa kuwa mstari...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Mkutano huo uliopangwa kufanyika Zanzibar kuanzia Novemba 14 – 21, 2022 ni wa kwanza tangu Rais Samia alipoingia madarakani na unabeba kaulimbiu isemayo: “Mwelekeo Mpya Katika Kuimarisha...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Mbunge wa Ubungo (CCM), Profesa Kitila Mkumbo ameitaka Serikali kutolea ufafanuzi kuhusu Tanzania iko katika daraja gani la uchumi duniani ili kuondoa sintofahamu iliyopo. Akichangia jana kuhusu...
1 Reactions
38 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…