Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

JIMBO LA MUSOMA VIJIJINI - WANANCHI WAENDELEA KUTATUA MATATIZO YA ELIMU VIJIJINI MWAO Wananchi ndani ya Vijiji 68 vya Musoma Vijijini wamekua na mwamuko mkubwa sana kushirikiana na Serikali, na...
1 Reactions
0 Replies
743 Views
Kiukweli tuna mengi ya kujifunza kwa ndugu zetu Kenya zaidi ya kumsifia tu Chebukati na Tume yake ya Uchaguzi Ruto amepiga Marufuku maandamano ya Wapinzani siku ya Jumanne na kuahidi...
6 Reactions
42 Replies
3K Views
Nawasalimu Kwa jina la Jamhuri;(Itikieni: Kazi iendelee). Wizi sio mzuri lakini kuna Watu watanicheka na kusema huyu anaongea nini. Anyway! Inategemea na Aina ya wizi, hapo vipi? Lakini Mimi...
7 Reactions
17 Replies
1K Views
Huyu jamaa Ana akili sana anatazama mambo kwa ufanisi mkubwa kwa faida ya nchi ni mtu anaitazama nchi kwa mbele sana nafasi aliyopewa na Rais amepatia sana, ni msomi mwenye uzoefu mkubwa anajua...
17 Reactions
84 Replies
8K Views
Nawasalimu! Nimekuwa nikiwaza Sana! Sometimes inauma Sana unapowaza Jambo ambalo haliwezi kutokea. Naam, si rahisi kuwa na Muungano na USA. Lakini, je, ni kweli haiwezekani? yes haiwezekani...
1 Reactions
5 Replies
526 Views
Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma amesema hakuna mtu yeyote anatakiwa kumwingilia au kumpigia simu Hakimu ambaye suala au kesi fulani ipo mbele yake akisisitiza, "Ukiona anakupigia simu ya...
2 Reactions
35 Replies
4K Views
Waziri wa katiba na sheria ameshatangaza rasmi kwamba mchakato wa katiba mpya utaanza mwezi wa Saba mwanzoni. Nilikuwa na ushauri kwamba makosa yaliyopelekea mchakato wa katiba mpya mwaka 2014...
18 Reactions
70 Replies
3K Views
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) amewataka watumishi wa afya katika Halmashauri ya Kondoa pamoja na Halmashauri ya Mji Kondoa kutoa huduma bora kwa wananchi...
0 Reactions
1 Replies
697 Views
Ni ushauri na ombi kwa Mh. Rais, ikimfaa awarudishie mishahara watumishi wote mishahara yao iliyoshushwa. Ni vyema ikimfaa alizungumze hili kesho siku ya mei mosi, ili kujenga umoja wa kitaifa na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Alianza Charles Hilary , akafuata Zuhura Yunusu na Sasa Salim Kikeke. Sina hoja Kwa Charles na Zuhura Kwa Sababu walikuwa raia WA Tanzania na awakuwahi kupata uraia huku ughaibuni. Kwa Salim...
19 Reactions
51 Replies
8K Views
Changamoto kubwa mbili zinazowakabili Waafrika kwa sasa katika ulimwengu, na kusema kweli zinazotunyima sauti kwenye majukwaa ya kidunia, ni Mamlaka (Sovereignty) na Nguvu za Kijeshi (Military...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Upinde wa mvua ni tao la rangi mbalimbali angani ambalo linaweza kuonekana wakati jua huangaza kupitia matone ya mvua inayoanguka. Mfano wa rangi hizo huanza na nyekundu nje na hubadilika kupitia...
9 Reactions
49 Replies
4K Views
Muda mfupi mtangazaji wa miaka 20 BBC Swahili TV na redio mhariri wa BBC Swahili.com ameaga na kupewa keki akidaiwa kurudi nyumbani, Kikeke media za bongo zilimkataa na akakubaliwa DUNIANI hasa...
16 Reactions
62 Replies
6K Views
Habari ndugu zangu. Nawasalimu kwa upendo wa dhati toka ndani ya moyo wangu. Nawapenda sana. Aidha baada ya salamu hizo, naomba niende kwenye mada tajwa hapo juu. Ni ukweli mchungu kwamba...
11 Reactions
20 Replies
1K Views
Hivi huwa wanapimwa akili kweli? Hivi kuna mtu na akili timamu anaweza pita juu ya watu namna hii? Hii si ni busara ndogo kuelewa kuwa si sawa haijalishi wananchi wanasemaje. Huwa nawaza sana hii...
22 Reactions
71 Replies
6K Views
Kuua, kuhamasisha watu kuuawa, kutishia kuua au kushiriki kwa namna yoyote ile katika mauaji ni makosa ya jinai. Polisi hawastahili kusubiri kuambiwa wamkamate na kumfikisha mahakamani mtu...
30 Reactions
60 Replies
6K Views
Kwa Sasa Dunia yetu inapitia mengi sana sana ...tuanze na la ushoga na usagaji....Kisha vita ya wenyewe kwa wenyewe ....tatu ugaidi ukiongozwa na makundi mbalimbali ya wanamgambo...ukame ukosefu...
0 Reactions
2 Replies
586 Views
Mkuu wa mkoa wa DSM Amos Makalla ameupiga Marufuku Wafanyabiashara kuuza bidhaa kwa kuzipanga chini Agizo hilo limeanza mara moja hasa kwenye bidhaa za Vyakula ukizingatia Huu ni msimu wa mvua...
2 Reactions
28 Replies
1K Views
Inashangaza kuona baadhi ya maeneo bado wanatumia opras kama rejea ya utendaji kazi wa watumishi. Ikumbukwe kwamba fomu hizi hujazwa na mtumishi kwa kushirikiana na kiingozi wake. Kwa asilimia...
7 Reactions
50 Replies
4K Views
1.Mlilalamikia kikokotoo kisiwepo,serikali ikaweka 2.Mkalalamikia nyongeza ya mishahara Kwa miaka nenda rudi,nyongeza ni mpaka serikali iamue na iongeze ionavyo 3.Mmelalamikia annual...
2 Reactions
2 Replies
612 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…