Spika Tulia: Mawaziri muwe mnasikiliza kwa makini hotuba za Rais ili msitofautiane, mfano Rais Samia kasema Bwawa litaisha 2024 Byabato unasema 2023

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,915
141,880
Spika wa Bunge la JMT Dr Tulia amewataka Mawaziri kusikiliza kwa makini hotuba za Rais wa JMT mh Samia ili wasiwe wanatofautiana

Dr Tulia aliyasema hayo baada ya Naibu waziri wa Nishati ndugu Byabato kuliambia Bunge kwamba mradi wa Bwawa la Umeme la Nyerere utakamilika October 2023

Baadae kidogo Byabato akatuma " kikaratasi" kwa Spika Tulia akisema alikosea kidogo Bwawa la Nyerere litakamilika June 2023

Ndipo Spika Tulia akamuuliza mara tatu kama ana uhakika na anachokisema. Byabato akasema ana uhakika kwa sababu ndivyo mkataba unavyosema.

Spika Tulia akamwambia mbona Rais amesema katika mkutano fulani kuwa Bwawa litaisha 2024? " Waheshimiwa Mawaziri muwe mnasikiliza kwa makini hotuba za Rais ili msitofautiane" alisisitiza Spika.

Chanzo: TBC
 
Spika wa Bunge la JMT Dr Tulia amewataka Mawaziri kusikiliza kwa makini hotuba za Rais wa JMT mh Samia ili wasiwe wanatofautiana

Dr Tulia aliyasema hayo baada ya Naibu waziri wa Nishati ndugu Byabato kuliambia Bunge kwamba mradi wa Bwawa la Umeme la Nyerere utakamilika October 2023

Baadae kidogo Byabato akatuma " kikaratasi" kwa Spika Tulia akisema alikosea kidogo Bwawa la Nyerere litakamilika June 2023

Ndipo Spika Tulia akamuuliza mara tatu kama ana uhakika na anachokisema. Byabato akasema ana uhakika kwa sababu ndivyo mkataba unavyosema.

Spika Tulia akamwambia mbona Rais amesema katika mkutano fulani kuwa Bwawa litaisha 2024? " Waheshimiwa Mawaziri muwe mnasikiliza kwa makini hotuba za Rais ili msitofautiane" alisisitiza Spika.

Source TBC
Hawa mawaziri ni vilaza kabisa,kwa hatua ile iliyopo ya ujenzi wa hilo bwawa hata mimi layman ukiniambia kuwa litakamilika miezi saba toka sasa hivi nitakukatalia kwa asilimia zote. Hata hiyo ya 2024 bado naitilia shaka kwa asilimia 50%.
 
Hilo Bwawa ni hasara kwa taifa, na linaweza anza uzalishaji mwaka 2025
 
Naibu anaangalia mkataba , spika anamwambia afate maneno ya jukwaani yenye siasa ndani yake , Naibu yupo sahihi , spika hajui mana ya proffessionalism , ye anachoona ni siasa tuu
Rais ndio anatafuta pesa za miradi na ni yeye ndio anajua kwa undani zaidi ukamilikaji wa miradi. Mkataba kusema sio utekelezaji na hii inatokana na hali ya kiuchumi. Hii nayo ni ishara.
 
Rais ndio anatafuta pesa za miradi na ni yeye ndio anajua kwa undani zaidi ukamilikaji wa miradi. Mkataba kusema sio utekelezaji na hii inatokana na hali ya kiuchumi. Hii nayo ni ishara.
Sjui hata umeelewa nilichoandika , Naibu wazir anasimamia shughuli za kiserikali katika wizara husika , na shughuli zinaenda kimkataba , ulitaka aseme kitu ambacho hakipo? Wizara nzima inajua mkata upo extended mpak 2023 , in case ikatokea tatizo let say delay of money na mradi usikamilike Kwa wakat , watawajulisha , Ila mpak sasa mkataba unasimamia 2023.... Yani wazir awe anasilikiza kila hotuba ya Raisi kwenye majukwaa , wakat vtu vipo written..hatar Sana hii
 
Sjui hata umeelewa nilichoandika , Naibu wazir anasimamia shughuli za kiserikali katika wizara husika , na shughuli zinaenda kimkataba , ulitaka aseme kitu ambacho hakipo? Wizara nzima inajua mkata upo extended mpak 2023 , in case ikatokea tatizo let say delay of money na mradi usikamilike Kwa wakat , watawajulisha , Ila mpak sasa mkataba unasimamia 2023.... Yani wazir awe anasilikiza kila hotuba ya Raisi kwenye majukwaa , wakat vtu vipo written..hatar Sana hii
Hahaha........!
 


Mawaziri Mizigo Wapo Wengi Sana

Tumelogwa Siyo Bure Jamani, Mzilankende Kaacha Nchi Wanafarakana Ccm Wenyewe
 
Hivi haiwezekani kushauri Rais ndio awe anacheki na mawaziri wake hali ilivyo kabla ya kusema majukwaani?

Haiwezekani ikawa waziri ndio anajua zaidi kuhusu kinachoendelea bwawani kuliko Rais?

Nauliza tu wajameni
 
Sjui hata umeelewa nilichoandika , Naibu wazir anasimamia shughuli za kiserikali katika wizara husika , na shughuli zinaenda kimkataba , ulitaka aseme kitu ambacho hakipo? Wizara nzima inajua mkata upo extended mpak 2023 , in case ikatokea tatizo let say delay of money na mradi usikamilike Kwa wakat , watawajulisha , Ila mpak sasa mkataba unasimamia 2023.... Yani wazir awe anasilikiza kila hotuba ya Raisi kwenye majukwaa , wakat vtu vipo written..hatar Sana hii
Hoja yangu ipo hapa, subiri nikueleze kwa mfano rahisi: fikiria unajenga nyumba na ukamuachia mtu asimamie ujenzi. Je, msimamizi yupo nafasi ya kumhakikishia fundi ujenzi utaakamilka baada ya miezi 3 hata kama wewe unasema ni miezi 6?

Ninachotaka kusema hapa mwenye mradi ndio anajua kwa undani ni lini mradi utakamilika kutokana na kwamba miradi inahitaji pesa ni Rais mwenye pesa.

Kwa hiyo mradi ukikamilka 2024 Byabato atapinga? Sio kila jambo lazima ulifanyie siasa mkuu wa nchi kakataa alitakiwa kukubali na kuachana na
Sjui hata umeelewa nilichoandika , Naibu wazir anasimamia shughuli za kiserikali katika wizara husika , na shughuli zinaenda kimkataba , ulitaka aseme kitu ambacho hakipo? Wizara nzima inajua mkata upo extended mpak 2023 , in case ikatokea tatizo let say delay of money na mradi usikamilike Kwa wakat , watawajulisha , Ila mpak sasa mkataba unasimamia 2023.... Yani wazir awe anasilikiza kila hotuba ya Raisi kwenye majukwaa , wakat vtu vipo written..hatar Sana hii
Hoja yangu ipo hapa, subiri nikueleze kwa mfano rahisi: fikiria unajenga nyumba na ukamuachia mtu asimamie ujenzi. Je, msimamizi yupo nafasi ya kumhakikishia fundi ujenzi utaakamilka baada ya miezi 3 hata kama wewe unasema ni miezi 6?

Ninachotaka kusema hapa mwenye mradi ndio anajua kwa undani ni lini mradi utakamilika kutokana na kwamba miradi inahitaji pesa ni Rais mwenye pesa.

Kwa hiyo mradi ukikamilka 2024 Byabato atapinga? Sio kila jambo lazima ulifanyie siasa mkuu wa nchi kakataa alitakiwa kukubali na kuachana na mpango mkakati wa kwenye makaratasi.
Sjui hata umeelewa nilichoandika , Naibu wazir anasimamia shughuli za kiserikali katika wizara husika , na shughuli zinaenda kimkataba , ulitaka aseme kitu ambacho hakipo? Wizara nzima inajua mkata upo extended mpak 2023 , in case ikatokea tatizo let say delay of money na mradi usikamilike Kwa wakat , watawajulisha , Ila mpak sasa mkataba unasimamia 2023.... Yani wazir awe anasilikiza kila hotuba ya Raisi kwenye majukwaa , wakat vtu vipo written..hatar Sana hii
Hoja yangu ipo hapa, subiri nikueleze kwa mfano rahisi: fikiria unajenga nyumba na ukamuachia mtu asimamie ujenzi. Je, msimamizi yupo nafasi ya kumhakikishia fundi ujenzi utaakamilka baada ya miezi 3 hata kama wewe unasema ni miezi 6?

Ninachotaka kusema hapa mwenye mradi ndio anajua kwa undani ni lini mradi utakamilika kutokana na kwamba miradi inahitaji pesa ni Rais mwenye pesa.

Kwa hiyo mradi ukikamilka 2024 Byabato atapinga? Sio kila jambo lazima ulifanyie siasa mkuu wa nchi kakataa alitakiwa kukubali na kuachana na mpango mkakati wa kwenye makaratasi.
 
Sjui hata umeelewa nilichoandika , Naibu wazir anasimamia shughuli za kiserikali katika wizara husika , na shughuli zinaenda kimkataba , ulitaka aseme kitu ambacho hakipo? Wizara nzima inajua mkata upo extended mpak 2023 , in case ikatokea tatizo let say delay of money na mradi usikamilike Kwa wakat , watawajulisha , Ila mpak sasa mkataba unasimamia 2023.... Yani wazir awe anasilikiza kila hotuba ya Raisi kwenye majukwaa , wakat vtu vipo written..hatar Sana hii
Kwa hiyo ukipanga kutoka Dar saa 12 asubuhi, na matarajio ufike Songea saa 11, saa 10 jioni ikakukuta upo Iringa, ukiulizwa unatarajia kufika saa ngapi Songea, bado utasema unatarajia kufika saa 11 jioni?

Hata asiye na nafasi yoyote Serikalini, aliyewahi kufika eneo la mradi, anajua hakuma muujiza wa bwawa hilo kukamilika 2023. Uwezekano mkubwa ni 2025.
 
Back
Top Bottom