johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,119
Waziri wa Afya mh Ummy Mwalimu amewataka wananchi wa DSM kuzingatia usafi kwa sababu Jiji hilo limekumbwa na Kipindupindu
Ummy amesema kwa takribani miaka 7 na ushee iliyopita hatujawahi kukumbwa na balaa la Kipindupindu hivyo Viongozi kwenye Serikali za Mitaa wazingatie kusimamia swala la usafi
Chanzo: ITV Habari
Nawatakia Dominica Njema!
Ummy amesema kwa takribani miaka 7 na ushee iliyopita hatujawahi kukumbwa na balaa la Kipindupindu hivyo Viongozi kwenye Serikali za Mitaa wazingatie kusimamia swala la usafi
Chanzo: ITV Habari
Nawatakia Dominica Njema!