Watanzania tumepewa uhuru kutokea vijiwe vya kahawa, hatuwezi kuwa sawa na walioupigania kutoka msituni

Artifact Collector

JF-Expert Member
Mar 7, 2019
6,539
10,007
Ukiangalia historia ya uhuru wa tanzania utaona imechangia kwa kiasi kikubwa kushape fikra za watanzania wa leo, yaani ukisoma huon struggle kabisa zaid ya watu waliokua wanakutania kwenye bao na vijiwe vya kahawa eti ndo wapigania uhuru hao

Wako wanaosema historia ya Tanzania imechakachuliwa kwa upande mwingine nakubaliana nao ila still hata ukisoma huo upande wa uliochakachuliwa huon struggle kabisa

Madhara ya kupewa uhuru instead ya kuupigania imeleta vizazi vya watu dhaifu na waoga, ukweli ni kwamba watanzania ni waoga na waliojaa na unafki

Ukienda kwa wakenya wale uhuru waliupigania hawakupewa na hii imepelekea kushape kizazi cha kenya kwenye fikra kuliko sis watanzania, mkenya even mtu wa kawaida anajiamin na anajua haki zake na yuko kuzipigania ila mtanzania ni mwoga, mnafki na kila jambo ambalo liko ndani ya uweza wake atakuambia ana mwachia Mungu

Point hapa sio kuisifia sana Kenya hapana still wanamatatizo yao kama rushwa, ukabila, kiwango chao cha maendeleo hakija pishana sana na Tanzania, ila jambo ambalo nauhakika nalo wakenya sio mazoba kama watanzania
 
Mwalimu ni moja ya vichwa adimu mno na mwenye akili sana, alijua kabisa uhuru ungechelewa sana kama tungeingia msituni. Hivi nawe unajiona ni shujaa kweli ambaye ungepambania Uhuru Kama tu unatumia jina bandia hapa JF?
 
Mwalimu ni moja ya vichwa adimu mno na mwenye akili sana, alijua kabisa uhuru ungechelewa sana kama tungeingia msituni. Hivi nawe unajiona ni shujaa kweli ambaye ungepambania Uhuru Kama tu unatumia jina bandia hapa JF?
Jamiiforum ni kwa ajili ya anonymous a.k.a ndo msingi na lengo la jamiiforum ilivyoanzishwa ina uhusiano gani na kupigania uhuru
 
Naunga mkono hoja. Ukiwasikia wazee Tbc Taifa wanajisifia eti harakati za uhuru zilikuwa zinachapishwa kwenye magazeti halafu yale magazeti yanafungiwa mandazi na vitumbua ili mtu ukinunua kitumbua upate na msg kwenye gazeti😀😀. Nikasema dah hivi nchi iliyopata uhuru kwa magazeti ya vitumbua raia wake wanaweza kuingia mtaani kupambana na FFU?
 
Naunga mkono hoja. Ukiwasikia wazee Tbc Taifa wanajisifia eti harakati za uhuru zilikuwa zinachapishwa kwenye magazeti halafu yale magazeti yanafungiwa mandazi na vitumbua ili mtu ukinunua kitumbua upate na msg kwenye gazeti😀😀. Nikasema dah hivi nchi iliyopata uhuru kwa magazeti ya vitumbua raia wake wanaweza kuingia mtaani kupambana na FFU?
Huo ndo ukweli kwa jinsi tulivyopigania uhuru ni ngumu sana kuwa na kizazi cha watu majasiri sis uhuru tulipewa hatukuupigania
 
Mzee Mohamed Said huwa anaambiwa haya kila siku lakini anashupuza shingo tu na historia ya "wazee wake"
Yoda,
Kwa kuwa hamtaki historia ya wazee wangu waliounda African Association Kleist Abdallah Kleist, Mzee bin Sudi, Ibrahim Hamisi basi nami nikubali kutoieleza.

Kwa kuwa hampendi kusikia historia ya babu yangu Salum Abdallah aliyeongoza mgomo wa Relwe 1960 uliodumu siku 82 na kuweka historia Afrika nzima basi nikubali kuwa babu yangu hakuwapo.

Kwa kuwa naeleza historia ya Nyerere kuwa alifatwa Dar es Salaam kupelekwa Southern Province na Ali Mnjawale na Salum Mpunga kuipa nguvu TANU iliyokuwa inapigwa vita na watu fulani niache kueleza historia hii kwa kuwa hamuipendi.

Kwa kuwa mnaniambia kila siku kuwa historia hii ya wazee wangu hamuitaki basi nikutiini.

Wewe ungekubali babu yako aunde chama kilichopigania uhuru kisha iandikwe historia hiyo na jina la babu yako lifutwe uone yanatajwa majina ya watu wengine wewe ungekubali?

Kama wazee wako hawakuwako ndiyo hawakuwapo.

Kuuzima mshumaa wa mwenzako hakufanyi mshumaa wako uwe na mwanga zaidi.

Itakuwa hivi hadi kiama.
Kadi No. 3 ni ya Abdul Sykes, No. 2 ni Ally Sykes na No 1 ni Julius Nyerere.

Ilikuwaje ikawa hivi?
Hapo ndipo inapoanza historia ya kweli ya TANU na uhuru wa Tanganyika.
 
Ukiangalia historia ya uhuru wa tanzania utaona imechangia kwa kiasi kikubwa kushape fikra za watanzania wa leo, yaani ukisoma huon struggle kabisa zaid ya watu waliokua wanakutania kwenye bao na vijiwe vya kahawa eti ndo wapigania uhuru hao

Wako wanaosema historia ya Tanzania imechakachuliwa kwa upande mwingine nakubaliana nao ila still hata ukisoma huo upande wa uliochakachuliwa huon struggle kabisa

Madhara ya kupewa uhuru instead ya kuupigania imeleta vizazi vya watu dhaifu na waoga, ukweli ni kwamba watanzania ni waoga na waliojaa na unafki

Ukienda kwa wakenya wale uhuru waliupigania hawakupewa na hii imepelekea kushape kizazi cha kenya kwenye fikra kuliko sis watanzania, mkenya even mtu wa kawaida anajiamin na anajua haki zake na yuko kuzipigania ila mtanzania ni mwoga, mnafki na kila jambo ambalo liko ndani ya uweza wake atakuambia ana mwachia Mungu

Point hapa sio kuisifia sana Kenya hapana still wanamatatizo yao kama rushwa, ukabila, kiwango chao cha maendeleo hakija pishana sana na Tanzania, ila jambo ambalo nauhakika nalo wakenya sio mazoba kama watanzania
Upo sahihi ndio maana hata KUDAI HAKI zetu HATUWEZI tunasubiri TUPEWE kama tulivyopewa UHURU
 
Kwahiyo hata MajiMaji Rebelion walikuwa wanaamini kuwa risasi za Mjerumani zitageuka Kahawa?

Kwanini wasiviite vita vya KahawaKahawa?

My point is Wapigania Uhuru wa Tanganyika sio wote walikuwa watu waoga wa kukaa kwenye vijiwe vya kahawa.
 
Ukiangalia historia ya uhuru wa tanzania utaona imechangia kwa kiasi kikubwa kushape fikra za watanzania wa leo, yaani ukisoma huon struggle kabisa zaid ya watu waliokua wanakutania kwenye bao na vijiwe vya kahawa eti ndo wapigania uhuru hao

Wako wanaosema historia ya Tanzania imechakachuliwa kwa upande mwingine nakubaliana nao ila still hata ukisoma huo upande wa uliochakachuliwa huon struggle kabisa

Madhara ya kupewa uhuru instead ya kuupigania imeleta vizazi vya watu dhaifu na waoga, ukweli ni kwamba watanzania ni waoga na waliojaa na unafki

Ukienda kwa wakenya wale uhuru waliupigania hawakupewa na hii imepelekea kushape kizazi cha kenya kwenye fikra kuliko sis watanzania, mkenya even mtu wa kawaida anajiamin na anajua haki zake na yuko kuzipigania ila mtanzania ni mwoga, mnafki na kila jambo ambalo liko ndani ya uweza wake atakuambia ana mwachia Mungu

Point hapa sio kuisifia sana Kenya hapana still wanamatatizo yao kama rushwa, ukabila, kiwango chao cha maendeleo hakija pishana sana na Tanzania, ila jambo ambalo nauhakika nalo wakenya sio mazoba kama watanzania
Umeongea facts kabisa!
Umepataje uhuru wako?
Ni kitu muhimu sasa kwenye mchakato wa maendeleo!!
 
Mwalimu ni moja ya vichwa adimu mno na mwenye akili sana, alijua kabisa uhuru ungechelewa sana kama tungeingia msituni. Hivi nawe unajiona ni shujaa kweli ambaye ungepambania Uhuru Kama tu unatumia jina bandia hapa JF?
Sasa unaingia msituni kufanya nini wakati waingereza hawakuwa na shida ya kutupa uhuru wetu?! Isitoshe Tanganyika haikuwa koloni la waingereza isipokuwa walielekezwa na UNO kuwa walezi wetu hadi pale tutakapokuwa na uwezo wa kujitawala. Mwl. Nyerere katumia tu fursa, otherwise uhuru wetu ulishakuwa tayariitayari kama kifo cha mende.
Mapinduzi ya Zanzibar yenyewe ilikuwa ya virungu na jambia. Tangu lini unampindua mtawala kwa rungu?!
 
Sasa unaingia msituni kufanya nini wakati waingereza hawakuwa na shida ya kutupa uhuru wetu?! Isitoshe Tanganyika haikuwa koloni la waingereza isipokuwa walielekezwa na UNO kuwa walezi wetu hadi pale tutakapokuwa na uwezo wa kujitawala. Mwl. Nyerere katumia tu fursa, otherwise uhuru wetu ulishakuwa tayariitayari kama kifo cha mende.
Mapinduzi ya Zanzibar yenyewe ilikuwa ya virungu na jambia. Tangu lini unampindua mtawala kwa rungu?!
Ndo maana nyerere kwenye international stage anakua anachukuliwa powa sababu wanamuona kama alipewa uhuru kama zawadi
 
Ndo maana nyerere kwenye international stage anakua anachukuliwa powa sababu wanamuona kama alipewa uhuru kama zawadi
Ila ndani ya nchi akawaintoxic wanawanchi waone wazungu kama adui namba 1. Wakati huohuo yeye Masters kapewa na wazungu haohao, mihadhara anaenda kutoa kwenye vyuo vya wazungu haohao. JF Kenedy rafiki yake😂😂😂
 
Ukiangalia historia ya uhuru wa tanzania utaona imechangia kwa kiasi kikubwa kushape fikra za watanzania wa leo, yaani ukisoma huon struggle kabisa zaid ya watu waliokua wanakutania kwenye bao na vijiwe vya kahawa eti ndo wapigania uhuru hao

Wako wanaosema historia ya Tanzania imechakachuliwa kwa upande mwingine nakubaliana nao ila still hata ukisoma huo upande wa uliochakachuliwa huon struggle kabisa

Madhara ya kupewa uhuru instead ya kuupigania imeleta vizazi vya watu dhaifu na waoga, ukweli ni kwamba watanzania ni waoga na waliojaa na unafki

Ukienda kwa wakenya wale uhuru waliupigania hawakupewa na hii imepelekea kushape kizazi cha kenya kwenye fikra kuliko sis watanzania, mkenya even mtu wa kawaida anajiamin na anajua haki zake na yuko kuzipigania ila mtanzania ni mwoga, mnafki na kila jambo ambalo liko ndani ya uweza wake atakuambia ana mwachia Mungu

Point hapa sio kuisifia sana Kenya hapana still wanamatatizo yao kama rushwa, ukabila, kiwango chao cha maendeleo hakija pishana sana na Tanzania, ila jambo ambalo nauhakika nalo wakenya sio mazoba kama watanzania

Uko sahihi sana, uoga ni donda ndugu hapa Tanzania. Unafiki ndio nyumbani. Wangalau kinachofanyika Sudan sasa kifanyike na hapa nyumbani ili watu wabadilike.
 
Back
Top Bottom