Akihutubia umati mkubwa wa wananchi kwenye Kata ya Igawilo, Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini, Mwekezaji, Mfanyabiashara wa Kimataifa na Mfungwa wa kisiasa, baada ya kufungwa jela kisiasa kwa...
Akielezea hali ya mazingira yalivyo katika Juma Idris Chombo ambaye ni Makamu Mwenyekiti Soko la Mabibo Dar es Salaam anaelezea:
Makusanyo ya Tozo tunayokusanya hapa ni shilingi miamia...
Habari za muda mabibi na mabwana!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nawashauri wanachama wenzangu na wananchi kwa ujumla. Mwaka 2020 tusipoteze tena kama ilivyotokea mwaka 2015. Haya yote ni...
Nimesoma mahojiano ya Mheshimiwa Membe na Gazeti la Jamhuri akilalama kwamba Marehemu Magufuli alimuwekea roho ya Korosho ili asiwe Katibu Mkuu wa Jumuia ya Madola.Kasema mengi ikiwemo jinsi hiyo...
Halmashauri kuu ya CCM imemsamehe Katibu mkuu mstaafu kanali Kinana ambaye alipewa onyo kali na kuwekwa katika matazamio.
Halmashauri kuu pia imemfukuza kabisa yule mwingine ( Membe) ambaye...
Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe (68), hatimaye amefichua mambo yaliyomfanya asielewane na aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Dk. John Magufuli.
Membe...
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Jaji Mutungi amesema Ofisi yake imepokea maombi ya vyama vipya 18.
Kati ya hivyo vyama 6 vimeshakidhi vigezo na kupewa Usajili wa Muda/awali.
Mutungi amesema...
Narudia tena Watanzania ni Wanafiki sana wanajua mema na mabaya ila wanayaficha Moyoni.Wanasiasa msidanganyike na Maneno ya Watanzania fanyeni kilicho sahihi muingie mioyoni mwao.
Bernard...
Ukisoma vitabu vitakatifu utabaini viongozi wengi walibarikiwa vipawa, nguvu na maisha marefu. Utabaini viongozi wengi wanaombewa waishi sana; utabaini kwamba viongozi wengi walikuwa wana ulinzi...
Kabla ya utekelezaji wa mkataba wa kufunga Ziwa Tanganyika, lazima tuyajue mambo kadhaa Kwa uhalisia wake.
Mwambao mwa ziwa Tanganyika mkoani Kigoma kuanzia Kata ya Kagunga( Mpakani) Mpaka Kata...
PUSH UP ZA MAGUFULI ZILIANDIKWA MIAKA 2000 ILIYOPITA
Kuna andishi la muda mrefu sana. Liliandikwa na Tulius Quintus Cicero zaidi ya 2000 iliyopita. Kwa Kiingereza linaitwa On Winning Election...
Kuna uwezekano mkubwa ikitokea Magufuli kwa bahati mbaya au CCM ikitumia umafia kuiba kura halafu ikaingia Ikulu atajikuta anapata wakati mgumu sana kuongoza.
1.Hana uwezo na busara za kiuongozi...
Wakati Rais Magufuli akiingia madarakani mwaka 2015 aliikuta jamii ya Watanzania wengi iliyokuwa imekata tamaa (A desperate society) kwa sababu ya ugumu wa maisha. Ugumu huo wa maisha...
Hongereni Wapambanaji: Sasa Rais Magufuli anahitaji maombi ya kumjenga kiroho aelewe kuwa Malaika wa Mungu hatendi kwa Tamaa za Mtu. Leo sitoi Onyo wala Angalizo. Sitoi Tahadhari.Natoa pongezi...
Tumechoshwa na vitendo vya kuzomewa kwa mgombea wetu. Kuanzia kule Mbeya na hata hapa Dar es Salaam,Dr. Magufuli amekuwa akizomewa na kuoneshwa wazi kuwa hatakiwi. Yeye hujikaza kisabuni tu...
Hotuba za Magufuli
- dakk 15 anasalimia kwa lugha za makabila yote
- dakika 15 analalamikia serikali ya ccm na kushangaa kwanini mambo hayaendi na kusahau yeye naye ni sehemu ya serikai hiyohiyo
-...
KWANZA naomba radhi wasomaji wangu kutokana na kuchelewa kuendeleza makala yangu "Hawana jipya, CCM wamepoteza mwelekeo'' kama nilivyoahidi katika makala iliyopita nilipojibu makala ya Dk. Hamisi...
Wakuu nimewaza tu kwa umakini mkubwa kama lowassa angelikuwa ndiye Rais wetu sasa angeweza kusimama kwa masaa 2 kujibu maswali yote ya waandishi wa habari.
Rais Magufuli pamoja na kuwa maswali...
Wengi wanadhani kuna tofauti Kati ya Mbowe na Lissu kuhusiana na suala zima la Maridhiano.
Ila ukiangalia kwa umakini utagundua Tundu Lisu anaamini Maridhiano ni Upatanisho ambapo baada ya...