Master Legendary
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 549
- 785
Narudia tena Watanzania ni Wanafiki sana wanajua mema na mabaya ila wanayaficha Moyoni.Wanasiasa msidanganyike na Maneno ya Watanzania fanyeni kilicho sahihi muingie mioyoni mwao.
Bernard Camilius Membe ndiyo mwanaume pekee ndani ya CCM aliyeweza kusimama dhidi ya baadhi ya Matendo Magufuli yasiyokubalika katika kipindi ambacho wanaume wote ndani ya CCM waliufyata, kwa wanaofahamu zama zile ni dhahiri alihatarisha hata maisha yake.
Leo Taifa zima linazizima mwamba amelala kwasababu ya utetezi,uthubutu na ujasiri wake wa kukemea mabaya, alifanya kilicho sahihi kwa wakati sahihi akaingia Mioyoni mwa watu.
Nakumbuka shujaa Lissu pia alivyopigwa Risasi Taifa zima lilizizima sababu ni hizihizi za Membe, yeye pia alivaa ujasiri wa kupambana dhidi ya mabaya na kugeuka mtetezi wa watu.
Ninachoweza kuwaambia Jakaya na Samia wanapendwa na wako Mioyoni mwa Watanzania ila Watanzania ni wanafiki,keep my words time will tell.
Jumanne tujitokeze kumpumzisha Mwamba Mtwara.
Bernard Camilius Membe ndiyo mwanaume pekee ndani ya CCM aliyeweza kusimama dhidi ya baadhi ya Matendo Magufuli yasiyokubalika katika kipindi ambacho wanaume wote ndani ya CCM waliufyata, kwa wanaofahamu zama zile ni dhahiri alihatarisha hata maisha yake.
Leo Taifa zima linazizima mwamba amelala kwasababu ya utetezi,uthubutu na ujasiri wake wa kukemea mabaya, alifanya kilicho sahihi kwa wakati sahihi akaingia Mioyoni mwa watu.
Nakumbuka shujaa Lissu pia alivyopigwa Risasi Taifa zima lilizizima sababu ni hizihizi za Membe, yeye pia alivaa ujasiri wa kupambana dhidi ya mabaya na kugeuka mtetezi wa watu.
Ninachoweza kuwaambia Jakaya na Samia wanapendwa na wako Mioyoni mwa Watanzania ila Watanzania ni wanafiki,keep my words time will tell.
Jumanne tujitokeze kumpumzisha Mwamba Mtwara.