benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,504
- 3,035
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Mwalimu Julius Nyerere, Dk. Philip Daninga, alisema Rais Dk. Samia, kuwa, anaishi anazidi kuonyesha misingi ya utawala bora na anatekeleza kwa vitendo yale anayoahidi.
Dk. Daninga alisema maelekezo ya Rais Dk. Samia kwa Jaji Mutungi inaonyesha yeye ni Rais anayekeleza mambo kwa vitendo ana dhamira ya kunakikisha suala la katiba mpya linatekelezeka.
Msajili wa vyama vya siasa, Jaji Francis Mutungi, akifafanua kuhusu maagizo aliyopewa na Rais Samia, Jaji Mutungi alisema watu watumie muda kuandaa hoja ambazo zitakidhi kiu ya katiba mpya.
"Kwa kweli itabidi tuandae mkutano mkubwa sana wa wadau, kwa sababu hili ni suala ambalo kila mtu analisubiri. Siwezi kuwaambia nimepata maagizo usiku kisha niwaambie mkutano huo tutaufanya kesho, itakuwa maandalizi hafifu, tunataka kufanya maandalizi haswa."
"Watu wakae wakijiandaa, watumie muda huu kujiandaa na hoja zao, tutafanya mkutano mkubwa sana utakaokidhi kiu ya wengi kuhusu hoja hiyo," alisema.
Mchambuzi wa masuala ya Siasa na Diplomasia Greyson Mgonja alisema hatua ya Rais Dkt Samia kutoa maelekezo kwa Jaji Mutungi inaleta tafsiri kuwa anaendeleza dhamira njema aliyonayo, katika kuendelea kujenga demokrasia, taifa moja na umoja.
Pia, Mgonja alisema kupitia mchakato wa katiba mpya, Rais Dk. Samia, ataweka historia nyingine kubwa duniani katika kusimamia misingi ya demokrasia huku akiwa anaonyesha mwendelezo wa kujenga taifa moja na wanasisa watakwenda kumwelewa zaidi.
"Kwa maelekezo ya Rais Dk. Samia kwa Jaji Mutungl, sasa mama (Rais Dk. Samia), anaonyesha mwendelezo wa kujenga taifa moja na umoja, anakwenda kujenga historia nyingine, kubwa Watanzania wengi hasa wanasiasa sasa watatamani aendelee kuwepo madarakani,"alisema.
Chama Cha ACT -Wazalendo, Chama Cha ACT-Wazalendo, kilisema kinaunga mkono maagizo ya Rais Dk. Samia ya kumwagiza Jaji Mutungi kuitisha kikao hicho na kwamba, kipo tayari kutoa ushirikiano. Pia, kimesema ni matumaini yao kwamba, kikao hicho kitapatiwa ratiba itakayohakikisha kuna sheria mpya ya uchaguzi na sheria mpya ya vyama vya siasa.Dk. Daninga alisema maelekezo ya Rais Dk. Samia kwa Jaji Mutungi inaonyesha yeye ni Rais anayekeleza mambo kwa vitendo ana dhamira ya kunakikisha suala la katiba mpya linatekelezeka.
Msajili wa vyama vya siasa, Jaji Francis Mutungi, akifafanua kuhusu maagizo aliyopewa na Rais Samia, Jaji Mutungi alisema watu watumie muda kuandaa hoja ambazo zitakidhi kiu ya katiba mpya.
"Kwa kweli itabidi tuandae mkutano mkubwa sana wa wadau, kwa sababu hili ni suala ambalo kila mtu analisubiri. Siwezi kuwaambia nimepata maagizo usiku kisha niwaambie mkutano huo tutaufanya kesho, itakuwa maandalizi hafifu, tunataka kufanya maandalizi haswa."
"Watu wakae wakijiandaa, watumie muda huu kujiandaa na hoja zao, tutafanya mkutano mkubwa sana utakaokidhi kiu ya wengi kuhusu hoja hiyo," alisema.
Mchambuzi wa masuala ya Siasa na Diplomasia Greyson Mgonja alisema hatua ya Rais Dkt Samia kutoa maelekezo kwa Jaji Mutungi inaleta tafsiri kuwa anaendeleza dhamira njema aliyonayo, katika kuendelea kujenga demokrasia, taifa moja na umoja.
Pia, Mgonja alisema kupitia mchakato wa katiba mpya, Rais Dk. Samia, ataweka historia nyingine kubwa duniani katika kusimamia misingi ya demokrasia huku akiwa anaonyesha mwendelezo wa kujenga taifa moja na wanasisa watakwenda kumwelewa zaidi.
"Kwa maelekezo ya Rais Dk. Samia kwa Jaji Mutungl, sasa mama (Rais Dk. Samia), anaonyesha mwendelezo wa kujenga taifa moja na umoja, anakwenda kujenga historia nyingine, kubwa Watanzania wengi hasa wanasiasa sasa watatamani aendelee kuwepo madarakani,"alisema.
Taarifa iliyotolewa kwa umma jana na ACT- Wazalendo, ilisema nI mategemeo ya chama hicho kuwa, Baraza la Vyama vya Siasa, litakuwa n/ sehemu ya maandalizi ya mkutano wa kitaifa wa kujadili mambo mchakato kupata katiba mpya.
Unaweza kuongeza ya kwako uliyokutana nayo
Unaweza kuongeza ya kwako uliyokutana nayo