Si chini ya Mara mbili kumsikia Makamu wa Rais na Waziri Mkuu kwa nyakati tofauti wakiweka msisitizo na mkazo juu ya waliohusika na ufisadi na waliotajwa na Ripoti ya CAG kuchukuliwa hatua kali za kinidhamu, kiuwajibikaji na kisheria. Je, msisitizo huo wa Mara kwa Mara una maana ipi hasa?
Nina hamu kuu ya kuona matokeo ya msisitizo huo ndio maana nina imani na Rais Samia, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu. Ninaona kwa mbali rungu zito likitua kila mahali.
Nina hamu kuu ya kuona matokeo ya msisitizo huo ndio maana nina imani na Rais Samia, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu. Ninaona kwa mbali rungu zito likitua kila mahali.