Salamu zenu nyote!
Mtakubaliana na Mimi kuwa Rais wetu alipoapishwa kuendeleza kijiti Cha Urais, alipania kuendeleza Yale aliyoyafanya JPM.
Kwanza, alitoa kauli iliyoashiria ukuu wa mamlaka kwa kuweka wazi hatopenda kuchezewa na mtu, Kama ambavyo Magufuli hakupenda!
"Anayesimama hapa ndio Raisi katika umbo la kike!"
Akaweka kauli mbiu iliyoweka wazi kuwa Mambo yaliyofanywa na Magufuli yanaendelezwa!
"Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kazi uendelee!"
Akaweka msisitizo wa wakuu wa mikoa, na wilaya kutatua kero, na akiona bango la wananchi kwenye ziara zake, mhusika atatumbuliwa immediately!
Of course hiyo Ni hulka ya Magufuli.
Tukumbuke pia, Lile katazo la mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa liliendelezwa kwenye kipindi chake, hio kuonesha wazi Mama yetu aliutamani Sana umagufuli
Kuna walamba asali wengi walitamani miradi ya JPM iachwe, but naona mama amekaza!
Kuna walamba asali walitamani, viongozi wote wa Magufuli waondolewe serikalini, Kama Waziri mkuu, na wengineo, but mama amekaza!
Na huenda hata Mbowe, kwenye vikao vyake na mama, alipendekeza waondolewe viongozi wote wa Serikali waliotekeleza maagizo ya JPM ya kuwabana Chadema!
Mama amewahi kukiri kuwa viatu vya JPM vimempwaya!
Kauli hii inathibitisha matamanio yake ya kupita njia za Magufuli, Ila tu ameshindwa kufanya hivyo!
Mama Ni mfuasi Halisi wa Magufuli!
Kuna pahala hapakumuendea vizuri
Wajuzi tufahamishane yaliyomsibu huyu Rais wetu mpendwa, kipenzi Cha utawala wa mpendwa wetu Dr. John Pombe Maguli!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mtakubaliana na Mimi kuwa Rais wetu alipoapishwa kuendeleza kijiti Cha Urais, alipania kuendeleza Yale aliyoyafanya JPM.
Kwanza, alitoa kauli iliyoashiria ukuu wa mamlaka kwa kuweka wazi hatopenda kuchezewa na mtu, Kama ambavyo Magufuli hakupenda!
"Anayesimama hapa ndio Raisi katika umbo la kike!"
Akaweka kauli mbiu iliyoweka wazi kuwa Mambo yaliyofanywa na Magufuli yanaendelezwa!
"Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kazi uendelee!"
Akaweka msisitizo wa wakuu wa mikoa, na wilaya kutatua kero, na akiona bango la wananchi kwenye ziara zake, mhusika atatumbuliwa immediately!
Of course hiyo Ni hulka ya Magufuli.
Tukumbuke pia, Lile katazo la mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa liliendelezwa kwenye kipindi chake, hio kuonesha wazi Mama yetu aliutamani Sana umagufuli
Kuna walamba asali wengi walitamani miradi ya JPM iachwe, but naona mama amekaza!
Kuna walamba asali walitamani, viongozi wote wa Magufuli waondolewe serikalini, Kama Waziri mkuu, na wengineo, but mama amekaza!
Na huenda hata Mbowe, kwenye vikao vyake na mama, alipendekeza waondolewe viongozi wote wa Serikali waliotekeleza maagizo ya JPM ya kuwabana Chadema!
Mama amewahi kukiri kuwa viatu vya JPM vimempwaya!
Kauli hii inathibitisha matamanio yake ya kupita njia za Magufuli, Ila tu ameshindwa kufanya hivyo!
Mama Ni mfuasi Halisi wa Magufuli!
Kuna pahala hapakumuendea vizuri
Wajuzi tufahamishane yaliyomsibu huyu Rais wetu mpendwa, kipenzi Cha utawala wa mpendwa wetu Dr. John Pombe Maguli!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app