benzemah

JF-Expert Member
Nov 19, 2014
1,504
3,034
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Hosea Kutako, Windhoek nchini Namibia kwa ajili ya Mkutano wa dharura wa Troika plus wa Wakuu wa Nchi na Serikali za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) zinazochangia Vikosi kwenye Force Intervention Brigade (FIC) tarehe 07 Mei, 2023.

Mkutano huo utajadili hali ya Usalama Mashariki mwa nchi ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC)

2BEC6A23-9C4D-4A54-92B4-8D33AA062576.jpeg


Kujua safari nyingine za Rais, Soma Safari/Ziara za nje ya Nchi za Rais Samia Suluhu tangu awe Rais wa Tanzania 19 Machi, 2021
 
Tayari Rais wa JMT yupo Namibia kwaajili ya kuzumgumzia issue ya DRC.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Hosea Kutako, Windhoek nchini Namibia kwa ajili ya Mkutano wa dharura wa Troika plus wa Wakuu wa Nchi na Serikali za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) zinazochangia Vikosi kwenye Force Intervention Brigade (FIC) tarehe 07 Mei, 2023.

Mkutano huo utajadili hali ya Usalama Mashariki mwa nchi ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC)
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amewasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Hosea Kutako, Windhoek nchini Namibia kwa ajili ya Mkutano wa dharura wa Troika plus wa Wakuu wa Nchi na Serikali za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) zinazochangia Vikosi kwenye Force Intervention Brigade (FIC) tarehe 07 Mei, 2023. Mkutano huo utajadili hali ya Usalama Mashariki mwa nchi ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).
 

Attachments

  • FB_IMG_1683479360552.jpg
    FB_IMG_1683479360552.jpg
    134.9 KB · Views: 4
  • FB_IMG_1683479357270.jpg
    FB_IMG_1683479357270.jpg
    147.8 KB · Views: 5
  • FB_IMG_1683479355272.jpg
    FB_IMG_1683479355272.jpg
    96.4 KB · Views: 4
  • FB_IMG_1683479353276.jpg
    FB_IMG_1683479353276.jpg
    79.6 KB · Views: 5
  • FB_IMG_1683479351250.jpg
    FB_IMG_1683479351250.jpg
    61.5 KB · Views: 4
  • FB_IMG_1683479349122.jpg
    FB_IMG_1683479349122.jpg
    109.3 KB · Views: 4
Dharura wangetumia mawasiliano kama nyakati za corona
 
Bana Lunda bana Kin

Huu ni muda ba waKongoman wote kula matunda yao ya bunchini mwetu hakuna mutu kuleta masase yake kumchi yetu.
Akaye mukwake atulie Bakongomani bose sasa tumeshikamana mutu na mutu kuweka amani ya nchi yetu ..
Tutamupiga na masase muzito muzito mupaka bukimbie ...
 
Tayari Rais wa JMT yupo Namibia kwaajili ya kuzumgumzia issue ya DRC

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. @SuluhuSamia akiwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Hosea Kutako, Windhoek nchini Namibia kwa ajili ya Mkutano wa dharura wa Troika plus wa Wakuu wa Nchi na Serikali za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC)

zinazochangia Vikosi kwenye Force Intervention Brigade (FIC) tarehe 07 Mei, 2023. Mkutano huo utajadili hali ya Usalama Mashariki mwa nchi ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC)
Kwa sasa Tanzania ndio mwenyekiti wa jeshi la Afrika mashariki ndio maana Kamala Halisi alikuja kujadili ishu ya amani ya maziwa makuu ,Rwanda inaiomba Tanzania isimamie zoezi la upatanishi hasa kati ya Rwanda na jumuiya ya kimataifa ,Ruto alikuwa Rwanda kanda kagame haja hapa pia rais wa Burundi kumbuka huko zamani m23 waliondoshwa na Tanzania pekee na kagame asingetaka sisi tutumie na wazungu kuwaondoa hao m23 hasa kipindi hiki cha Samia na Kikwete aliye adui mkubwa wa kagame ,

Ni lazima Rwanda aje hapa kujisalimisha hata huko namibia Tanzania ina nguvu kubwa kumua nini kifanyike chini ya msuruhishi Kenyatta

Ukiacha ishi ya kongo kuna ishi ya copa Delgado ambapo sisi na Rwanda tunashirikiana kupambana na wale wavaa kobazi

USSR
 
Kagame ana nguvu kubwa sana nyuma ya pazia, inahtajika nguvu kubwa sana kumaliza kile alichokianzisha huko kivu
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Hosea Kutako, Windhoek nchini Namibia kwa ajili ya Mkutano wa dharura wa Troika plus wa Wakuu wa Nchi na Serikali za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) zinazochangia Vikosi kwenye Force Intervention Brigade (FIC) tarehe 07 Mei, 2023.

Mkutano huo utajadili hali ya Usalama Mashariki mwa nchi ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC)

View attachment 2613613
Bridger
 
Kwa sasa Tanzania ndio mwenyekiti wa jeshi la Afrika mashariki ndio maana Kamala Halisi alikuja kujadili ishu ya amani ya maziwa makuu ,Rwanda inaiomba Tanzania isimamie zoezi la upatanishi hasa kati ya Rwanda na jumuiya ya kimataifa ,Ruto alikuwa Rwanda kanda kagame haja hapa pia rais wa Burundi kumbuka huko zamani m23 waliondoshwa na Tanzania pekee na kagame asingetaka sisi tutumie na wazungu kuwaondoa hao m23 hasa kipindi hiki cha Samia na Kikwete aliye adui mkubwa wa kagame ,

Ni lazima Rwanda aje hapa kujisalimisha hata huko namibia Tanzania ina nguvu kubwa kumua nini kifanyike chini ya msuruhishi Kenyatta

Ukiacha ishi ya kongo kuna ishi ya copa Delgado ambapo sisi na Rwanda tunashirikiana kupambana na wale wavaa kobazi

USSR
Kumbe rais anakazi nyingi sana isee anachoka sana isee..
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Hosea Kutako, Windhoek nchini Namibia kwa ajili ya Mkutano wa dharura wa Troika plus wa Wakuu wa Nchi na Serikali za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) zinazochangia Vikosi kwenye Force Intervention Brigade (FIC) tarehe 07 Mei, 2023.

Mkutano huo utajadili hali ya Usalama Mashariki mwa nchi ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC)

View attachment 2613613
Kuhudhuria mikutano ya kimataifa siyo ziara.
 
Ziara ni zile za kuimarisha mahusiano na mashirikiano ya kimataifa. Mara hii Rais ameenda kuhudhurua mkutano wa SADC juu ya FIB.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom