Halima Mdee apigwa za uso Bungeni na waziri Bashe

Halima Mdee apigwa za uso Bungeni na waziri Bashe

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
12,005
Reaction score
28,362
Mjadala unaendelea na za uso kama Kawa
Hapo awali Mdee alimuita waziri Bashe mwongo na anadanganya watu kuhusu BBT sasa kwa sasa waziri ana round up amempa za uso mpaka akachakaa


Fuatilieni mjadala

USSR
 
Hili bunge kweli kibogoyo.mimi nimeamua kuzima tv.yaani bashe anashindwa kujibu hoja anaamua kumulisha maneno ya uongo halima mdee.
 
Hili bunge kweli kibogoyo.mimi nimeamua kuzima tv.yaani bashe anashindwa kujibu hoja anaamua kumulisha maneno halima mdee.
Ukimsikia Halima lakini ? Acha avuliwe u-barvicha

USSR
 
Mjadala unaendelea na za uso kama Kawa
Hapo awali Mdee alimuita waziri Bashe mwongo na anadanganya watu kuhusu BBT sasa kwa sasa waziri ana round up amempa za uso mpaka akachakaa


Fuatilieni mjadala

USSR
Sisi hatuangaliagi bunge haramu la machawa
 
Pumbafu awala a bashe wewe Sasa umeripoti nn hapo?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo ulipo umelowa sana huko chini

USSR
 
Mjadala unaendelea na za uso kama Kawa
Hapo awali Mdee alimuita waziri Bashe mwongo na anadanganya watu kuhusu BBT sasa kwa sasa waziri ana round up amempa za uso mpaka akachakaa


Fuatilieni mjadala

USSR
Za uso ziko USSR kwa Putin, hata clip hamna.
 
Mjadala unaendelea na za uso kama Kawa
Hapo awali Mdee alimuita waziri Bashe mwongo na anadanganya watu kuhusu BBT sasa kwa sasa waziri ana round up amempa za uso mpaka akachakaa


Fuatilieni mjadala

USSR
Acha unazi Mkuu,Bashe amejikita kwenye ubishi kuliko kujibu hoja.Alafu Bashe ni muongeaji sana na siyo msikilozaji yaani Wazaramo wanaita "Much know".
Halima amesema kuwa kwanini serikali isijikite kusaidia Wakulima wadogowadogo na pia BBT Kwanini isiende kule vijijini ambako ndiko kuna vijana wanaolima na kuachana na hawa vijana wa Mjini.
I stand to be corrected!
 
Mjadala unaendelea na za uso kama Kawa
Hapo awali Mdee alimuita waziri Bashe mwongo na anadanganya watu kuhusu BBT sasa kwa sasa waziri ana round up amempa za uso mpaka akachakaa


Fuatilieni mjadala

USSR

Nani ana muda wa kufuatilia hilo bunge kibogoyo la majizi ya kura? Hilo bunge linafuatiliwa na wazee ama watu waliopoteza ramani.
 
Nani ana muda wa kufuatilia hilo bunge kibogoyo la majizi ya kura? Hilo bunge linafuatiliwa na wazee ama watu waliopoteza ramani.
Lile la wapuuzi akimbia mada na kwenda kupiga gambe aka mr konyagi

USSR
 
Back
Top Bottom