Ndugu zangu Ni historia ambayo Rais Samia amejiandikia na kujiwekea kwa kufanikiwa kupata uungwaji na kukubalika na makundi yote na vyama vyote, hii Ni kutokana na Imani kubwa ambayo watu...
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar Es Salaam, pamoja na watumishi wengine 9 wamesimamishwa kazi hii leo na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, ili kupisha uchunguzi
Jumanne Shauri pamoja na...
Nakumbuka kwenye kipindi cha Big Agenda mtangazaji Aloyce Nyanda alimuuliza DC Sabaya kuhusu kutoonekana hadharani kwa Rais Magufuli na Sabaya akajibu yupo na aliongea naye kwa Simu kabla...
Rais Samia amesema hakuna Taifa linaloendelea Kiuchumi na Kijamii kwa kukiuka Utawala Bora na Haki za Binadamu na Nchi yotote yenye mifumo Mibovu ya Utawala wa Sheria inakosa mafanikio endelevu...
Masuala sita (6) yaliyoibuliwa na wananchi: Mrejesho wa Ziara ya Kiongozi wa Chama Mikoa 3 ya Kusini (Selous, Mtwara na Lindi)
Utangulizi
Kati ya tarehe 15 hadi 21 Novemba 2022 nilihitimisha...
Je, Majambazi wakivamia eneo ulipo wewe, na kisha wakati uvamizi ukiendelea akatokea Jambazi mmoja akujuaye binafsi, ambae kumbe ni jirani yako kule mtaani kwako.
Ila kwa bahati mbaya mmekutana...
Ninyi ni viongozi wetu lakini mnakaa sana ofisini, mnazidisha mpaka vijana wanakosa ajira. Mtu miaka 50 yote bado yupo ofisini na bado akitumbuliwa anaendelea kuwa chawa ili arudishwe ofisini...
Maneno haya yanamaana sawa kimantiki " Rais kafanya X " " Serikali imefanya Y " au " " Tumefanya Z " tumia lolote utakuwa sahihi tu.
Kunabaadhi ya wenzetu wameishiwa hoja hasa huku mitandaoni...
Ndugu wanagenzi Wasalaam, naamini sote tu buheri wa Afya na amani mioyoni mwetu.
Mosi, Kwa Hali ya kipekee namshukuru mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema kwa uhai alionipa na amani ya moyo aliyonipa...
Aliyewahi kuwa Waziri wa Nishati na Mbunge wa Bukoba Vijijini mwaka 2005-2010 Naziri Karamagi ameibuka kidedea ametangazwa kuwa mshindi katika nafasi ya Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kagera baada ya...
Vigezo vya maendeleo vikiwa:
Pato la mtu binafsi.
Lishe, angalau milo miwili yenye virutubisho vyote kwa watu wa mjini, mitatu mashambani.
Urahisi wa kupatikana elimu inayokidhi na huduma za afya...
Hivi sasa kuna utaratibu usio rasmi kuwa kama shule ya msingi ya serikali inao uwezo wa kuendesha mafunzo ya elimu ya msingi kwa lugha ya kiingereza hupewa ruhusa ya kubadilisha na kuwa english...
Ndugu Zangu Hivyo Ndivyo unavyoweza kusema kuwa Rais Mama Samia Ni Dereva Mahiri na shupavu Sana katika kuliendesha gari hili la Safari ya maendeleo ya Tanzania, Ni dereva Ambaye ameonyesha...
Nani asiyejua umuhimu wa katiba mpya? Nani anaweza kuthubutu kujipa jukumu hilo peke yake na kuwasusa wengine kwa sababu zozote zilizokwisha pita?
Misahafu inasema ni furaha kuu mbinguni kwa...
Chama changu CDM tufanye himahima tuwapige bao CUF, tumteke Dr. Bashir huyo ni karata turufu kuzoa kura za mafuriko Kanda ya Ziwa uchaguzi mkuu wa 2025. Viongozi wangu watukufu tulizeni akili, Dr...
Nijambo la kujivunia, miezi sita ya kwanza ya Rais Samia uwekezaji ulikua kwa 400% Ukafikia US$3BL toka US$510M | Nikaribu mara sita zaidi ya ule wa mtangulizi wake katika kipindi kama hicho...
Tangu ujio wa chama kipya cha siasa UPT kumekuwa na maneno mengi yanayozungumzwa chini chini hasa uhusika wa baadhi ya viongozi waliohudumu katika awamu ya 5 ndani ya CCM kuhusishwa na chama hiki...
Piga uwa hapo Lumumba ukibahatika kuukwaa Uwaziri mkuu wa JMT au ukatibu mkuu wa CCM basi jiandae na misukosuko mingi ikiwemo kuzushiwa na kusingiziwa mambo. Hii imekuwepo tokea enzi za Akina...
Mjadala ulioshika kasi nchini ni madai ya Katiba mpya, hasa kutoka vyama vya upinzani.
Naweka bandiko hili baada ya kusoma michango wa ASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT)...
====
Rais Samia aifikisha Tanzania ukuaji wa Uchumi wa 5.2% kutoka 2.1%,Heko Tanzania,
According to National Bureau of Statistics (NBS) Pato la Taifa yaani Tanzania Gross Domestic Product- GDP...