Rais Samia: Hakuna nchi inayoendelea bila kuheshimu Utawala wa Sheria na Haki za Binadamu

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,118
Rais Samia amesema hakuna Taifa linaloendelea Kiuchumi na Kijamii kwa kukiuka Utawala Bora na Haki za Binadamu na Nchi yotote yenye mifumo Mibovu ya Utawala wa Sheria inakosa mafanikio endelevu.

Rais ameyasema hayo leo Nov 24, 2022 wakati akifungua Mkutano wa 27 wa Jumuiya ya Wanasheria Afrika Mashariki (EALS), jijini Arusha.

Amesema “Sijawahi kuona Taifa lililofikia Mageuzi Kijamii na Kiuchumi kwa kukiuka Utawala wa Sheria. Hata wakikua Kiuchumi wanakuwa katika makaratasi lakini Uchumi hauendi chini kwa Wananchi.”

Aidha, ameongeza kuwa, “Kutenda Haki na kuheshimu Utawala Bora ni misingi ambayo Serikali yoyote inayotokana na Watu inapaswa kuifuata bila shinikizo kutoka nje, sisi tumeamua kuijenga Tanzania yenye Haki, Demokrasia na Usawa.”
 
maana ya utawala bora na haki inategemea sana unazungumza kutokea upande upi, kinachoitwa utawala bora kwa watu wa magharibi hakifanani na kinachoitwa utawala bora na haki kwa wachina na dunia nyingine , so angesema yeye anazungumzia mlengo gani na je utawala bora ni kuruhusu rushwa , tozo na unyonyaji kwa watu wa chini,
 
Rais Samia amesema hakuna Taifa linaloendelea Kiuchumi na Kijamii kwa kukiuka Utawala Bora na Haki za Binadamu na Nchi yotote yenye mifumo Mibovu ya Utawala wa Sheria inakosa mafanikio endelevu.

Rais ameyasema hayo leo Nov 24, 2022 wakati akifungua Mkutano wa 27 wa Jumuiya ya Wanasheria Afrika Mashariki (EALS), jijini Arusha.

Amesema “Sijawahi kuona Taifa lililofikia Mageuzi Kijamii na Kiuchumi kwa kukiuka Utawala wa Sheria. Hata wakikua Kiuchumi wanakuwa katika makaratasi lakini Uchumi hauendi chini kwa Wananchi.”

Aidha, ameongeza kuwa, “Kutenda Haki na kuheshimu Utawala Bora ni misingi ambayo Serikali yoyote inayotokana na Watu inapaswa kuifuata bila shinikizo kutoka nje, sisi tumeamua kuijenga Tanzania yenye Haki, Demokrasia na Usawa.”
Rais Samia Suluhu anaendelea kuupiga mwingi
 
Utawala bora ni pamoja na kuchukua Hatua kali kisheria KWA wabadhirifu wa mali za umma!

KUVUMILIA wizi, ubadhirifu wa fedha za umma(KWA mujibu wa ripoti ya CAG) watu kukaa gizani bila umeme na maji hilo hapana!

Chukua Hatua!

Lakini kama ni vinginevyo mimi hapana!Eti Mimi nivumilie UPIGAJI,ujanja ujanja kisa eti utawala Bora unaojali sheria!hilo hapana!!

Mawazo HURU HAYA KUTOKA KWA mtanzania!!!
 
Huyu mtu bana, Ok anaheshim, mafisadi kawaachia, watendaji wanajipigia.

Kuna Nuru yoyote ya kuendelea alionyesha mpaka Sasa??.


Muafrika alikoswa Akili kwelikweli !! .
 
Kama utawala bora ni KUVUMILIA wizi, ubadhirifu wa fedha za umma,watu kukaa gizani bila umeme na maji!

Basi sawa!

Lakini kama ni vinginevyo mimi hapana!Eti Mimi nivumilie UPIGAJI,ujanja ujanja kisa eti utawala Bora unaojali sheria!hilo hapana!!

Mawazo HURU HAYA KUTOKA KWA mtanzania!!!
Umesema kweli Sana!
 
Rais Samia amesema hakuna Taifa linaloendelea Kiuchumi na Kijamii kwa kukiuka Utawala Bora na Haki za Binadamu na Nchi yotote yenye mifumo Mibovu ya Utawala wa Sheria inakosa mafanikio endelevu.

Rais ameyasema hayo leo Nov 24, 2022 wakati akifungua Mkutano wa 27 wa Jumuiya ya Wanasheria Afrika Mashariki (EALS), jijini Arusha.

Amesema “Sijawahi kuona Taifa lililofikia Mageuzi Kijamii na Kiuchumi kwa kukiuka Utawala wa Sheria. Hata wakikua Kiuchumi wanakuwa katika makaratasi lakini Uchumi hauendi chini kwa Wananchi.”

Aidha, ameongeza kuwa, “Kutenda Haki na kuheshimu Utawala Bora ni misingi ambayo Serikali yoyote inayotokana na Watu inapaswa kuifuata bila shinikizo kutoka nje, sisi tumeamua kuijenga Tanzania yenye Haki, Demokrasia na Usawa.”
Utawala wa Sheria ameutekelezaje kama yeye!
Mbona haki hazitendeki. Kusemwa ni Moja ya marekebisho!
 
Rais Samia amesema hakuna Taifa linaloendelea Kiuchumi na Kijamii kwa kukiuka Utawala Bora na Haki za Binadamu na Nchi yotote yenye mifumo Mibovu ya Utawala wa Sheria inakosa mafanikio endelevu.

Rais ameyasema hayo leo Nov 24, 2022 wakati akifungua Mkutano wa 27 wa Jumuiya ya Wanasheria Afrika Mashariki (EALS), jijini Arusha.

Amesema “Sijawahi kuona Taifa lililofikia Mageuzi Kijamii na Kiuchumi kwa kukiuka Utawala wa Sheria. Hata wakikua Kiuchumi wanakuwa katika makaratasi lakini Uchumi hauendi chini kwa Wananchi.”

Aidha, ameongeza kuwa, “Kutenda Haki na kuheshimu Utawala Bora ni misingi ambayo Serikali yoyote inayotokana na Watu inapaswa kuifuata bila shinikizo kutoka nje, sisi tumeamua kuijenga Tanzania yenye Haki, Demokrasia na Usawa.”
Contradiction, au haelewi anachozungumza:

Mdomo huo huo ukatamka, tena kwenye muda mfupi ifuatavyo:

"Nikijua wewe ni dhidi yangu, siwezi kukushirikisha. Utatumia sheria zote za kimataifa, nitatumia za ndani kuku-bar."


Hivi anajisemea tu mambo bila ya kujua anasema nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom