Nani asiyejua umuhimu wa katiba mpya? Nani anaweza kuthubutu kujipa jukumu hilo peke yake na kuwasusa wengine kwa sababu zozote zilizokwisha pita?
Misahafu inasema ni furaha kuu mbinguni kwa mwenye dhambi mmoja akitubu.
Hivi hata ya waungwana hatuyasikii?
Nini tofauti ya ya chawa uchwara wanaowanyanyapaa kina Bashiru, Polepole au wengine wajao na yule mwana mwema aliyechukizwa na kurejea kwa mwana mpotevu nyumbani kwa baba yake?
Waelimishwe wanachama na mashabiki kuzielewa agenda za chama dhidi ya chuki binafsi.
Ifahamike agenda za chama ni za kudumu, si marafiki wala maadui.
Tufike mahali tupeane makavu.
Mpo ndugu ambao kwa hakika (siyo siri) mnakera.
Misahafu inasema ni furaha kuu mbinguni kwa mwenye dhambi mmoja akitubu.
Hivi hata ya waungwana hatuyasikii?
Nini tofauti ya ya chawa uchwara wanaowanyanyapaa kina Bashiru, Polepole au wengine wajao na yule mwana mwema aliyechukizwa na kurejea kwa mwana mpotevu nyumbani kwa baba yake?
Waelimishwe wanachama na mashabiki kuzielewa agenda za chama dhidi ya chuki binafsi.
Ifahamike agenda za chama ni za kudumu, si marafiki wala maadui.
Tufike mahali tupeane makavu.
Mpo ndugu ambao kwa hakika (siyo siri) mnakera.