Wana JF
Ukimwona kwa macho ya kurukaruka unaweza ukadhani Msukuma na Gwajima ni ndugu lakini hawana ubini kabisa japokuwa wote ni kabila moja la kanda ya ziwa. Katika harakati za kutafuta pesa...
Habari za Jumapili wapendwa
Mwl. J.k. Nyerere aliwahi kusema upinzani wa kweli utatoka ndani ya CCM.
Mimi ninasema, uadui wa kweli upo ndani ya CCM. Huwezi kupambana na adui usiyemjua, Hilo...
Wadau habari!
Nawaza tu na kutafakari hoja ya Dr. Bashiru dhidi ya Mh. Rais
Kumsifia Raisi kwa mazuri ayafanyayo si dhambi. Utamaduni huu haujaanza Leo labda tu kama anayesifiwa, Bashiru...
Tanesco wametutaarifu kuwa vyanzo vyote vya mabwawa yanayofua umeme yamepatwa na upungufu wa maji na hivyo uwezo wa kuzalisha umeme ni mdogo. Consequently jana tulikuwa hatuna umeme (total...
Huu ni mfululizo wa kudanganyana na wanaotudanganya wanatuona sisi ni washamba, nimemsikiliza kiongozi mmoja akiendelea kutetea mabehewa duni yaliyoletwa.
Kiongozi huyo akifafanua huku...
Kwa idadi ile ya wabunge wa Chadema kama mzee Lowasa angetangazwa asingeweza kuunda serikali na ingemlazimu aishirikishe CCM
Sasa ndio najiuliza ingekuwa serikali ya Chadema au CCM?
Lowasa...
MIF: Mwanamke Initiative Foundation.
Hii ni taasisi iliyozinduliwa hivi karibuni na mama Samia ikiwa chini ya binti yake mpendwa Wanu Ameir Hafidh yenye maskani yake kuu Zanzibar.
Swali: Kwa...
Hivi mnafanya hivi kumkomoa mwendazake au kunufaisha mabeberu?
Mimi sikuwahi kumpenda mwendazake hadi leo na sitokuja kumpenda ila kwenye suala la madini, SGR na Bwawa la Nyerere nilimuunga mkono...
Habari wakuu,
Serikali ya awamu ya sita imezidiwa. Tena imezidiwa haswaa.
Hakuna upande hata mmoja uliotekelezwa na kwenda kama inavyotakiwa kwa maana nyingine, sera za serikali hii kwa kiasi...
Mwezi huu November tumeshuhudia Viongozi wa Chadema wa kitaifa na wale wa ACT Wazalendo wakijichimbia mkoani Lindi kwa mikutano mbalimbali
Ndio nauliza " kwanini Lindi tu?"
Au kwa vile Lindi...
Katika sera ya utawala bora ni pamoja na kuhakikisha maendeleo sawia katika kanda zote za nchi husika. Ni ukweli usiopingika kuwa katika miongo kadhaa iliyopita tangu nchi ya Tanganyika ijipatie...
Erythrocyte hapa chini nimekunukuu
[emoji116]
"Pichani ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema akiwaeleza Viongozi na wabunge wa CDU kuhusu hali ya kisiasa ilivyo nchini Tanzania , kikao hiki...
Kina tetesi kwamba Bashiru amekuwa na vikao vya Siri sana na viongozi wa juu wa CUF. Moja kati ya mambo waliyojadili ni mapokezi makubwa ya Bashiru Ally Kakurwa ambaye muda si punde atarejea...
Shirika la Ndege la Air Tanzania linatathmini hali ya Ndege zake ili kuziba pengo linalojitokeza katika kutoa huduma lililosababishwa na kusimamishwa kwa Ndege zake za Airbus A220 kutokana na...
Neno "Megawatt" lilikuwa halijulikani kwa ngwini wengi mpaka Kikwete alipokuwa madarakani kama Rais.
Kipindi cha JK ndiyo tukajua kumbe TANESCO ni shirika linalotegemea makampuni mengine...
Kwa sasa hauwezi kuitofautisha CCM na Serikali Kuanzia chini hadi juu
Mwenyekiti wa CCM taifa ndiye Rais wa JMT na Wenyeviti wa Serikali za mitaa Nchi ni wanachama wa CCM
Kwahiyo naishauri CCM...
Habari ndugu zanguni.
Kutokana na hali ngumu ya kimaisha ambayo Watanzania wanapitia kwa sasa( ofcourse tulitabiri hili) ni muda sasa vijana wa kitanzania wakawa Absorbed kwenye ajira za viwanda...
Mahubiri ya leo ikiwa ni Jumapili ya Kwanza ya kipindi cha Majilio yamenibariki sana
Hivi yule Dereva wa Tundu Lisu alitowekaje Baada ya lile shambulio?
Kimsingi alitakiwa aisaidie polisi...
Mapenzi ya mtu na nchi yake ni jambo la msingi kujenga ustawi wa Taifa bora na lenye watu wenye kuungana kuwa na nia moja ya kujenga Taifa lao na kunyanyuana bila kujali itikadi zao.
Mitazamo na...