Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wana JF Ukimwona kwa macho ya kurukaruka unaweza ukadhani Msukuma na Gwajima ni ndugu lakini hawana ubini kabisa japokuwa wote ni kabila moja la kanda ya ziwa. Katika harakati za kutafuta pesa...
1 Reactions
6 Replies
906 Views
Habari za Jumapili wapendwa Mwl. J.k. Nyerere aliwahi kusema upinzani wa kweli utatoka ndani ya CCM. Mimi ninasema, uadui wa kweli upo ndani ya CCM. Huwezi kupambana na adui usiyemjua, Hilo...
3 Reactions
4 Replies
541 Views
Wadau habari! Nawaza tu na kutafakari hoja ya Dr. Bashiru dhidi ya Mh. Rais Kumsifia Raisi kwa mazuri ayafanyayo si dhambi. Utamaduni huu haujaanza Leo labda tu kama anayesifiwa, Bashiru...
0 Reactions
3 Replies
361 Views
Tanesco wametutaarifu kuwa vyanzo vyote vya mabwawa yanayofua umeme yamepatwa na upungufu wa maji na hivyo uwezo wa kuzalisha umeme ni mdogo. Consequently jana tulikuwa hatuna umeme (total...
5 Reactions
56 Replies
5K Views
Huu ni mfululizo wa kudanganyana na wanaotudanganya wanatuona sisi ni washamba, nimemsikiliza kiongozi mmoja akiendelea kutetea mabehewa duni yaliyoletwa. Kiongozi huyo akifafanua huku...
5 Reactions
28 Replies
3K Views
Kwa idadi ile ya wabunge wa Chadema kama mzee Lowasa angetangazwa asingeweza kuunda serikali na ingemlazimu aishirikishe CCM Sasa ndio najiuliza ingekuwa serikali ya Chadema au CCM? Lowasa...
0 Reactions
2 Replies
332 Views
MIF: Mwanamke Initiative Foundation. Hii ni taasisi iliyozinduliwa hivi karibuni na mama Samia ikiwa chini ya binti yake mpendwa Wanu Ameir Hafidh yenye maskani yake kuu Zanzibar. Swali: Kwa...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Hivi mnafanya hivi kumkomoa mwendazake au kunufaisha mabeberu? Mimi sikuwahi kumpenda mwendazake hadi leo na sitokuja kumpenda ila kwenye suala la madini, SGR na Bwawa la Nyerere nilimuunga mkono...
20 Reactions
79 Replies
6K Views
Habari wakuu, Serikali ya awamu ya sita imezidiwa. Tena imezidiwa haswaa. Hakuna upande hata mmoja uliotekelezwa na kwenda kama inavyotakiwa kwa maana nyingine, sera za serikali hii kwa kiasi...
17 Reactions
72 Replies
3K Views
Mwezi huu November tumeshuhudia Viongozi wa Chadema wa kitaifa na wale wa ACT Wazalendo wakijichimbia mkoani Lindi kwa mikutano mbalimbali Ndio nauliza " kwanini Lindi tu?" Au kwa vile Lindi...
1 Reactions
11 Replies
701 Views
Katika sera ya utawala bora ni pamoja na kuhakikisha maendeleo sawia katika kanda zote za nchi husika. Ni ukweli usiopingika kuwa katika miongo kadhaa iliyopita tangu nchi ya Tanganyika ijipatie...
-1 Reactions
3 Replies
1K Views
https://www.yahoo.com/news/brazil-election-court-throws-bolsonaro-144821018.html
0 Reactions
0 Replies
385 Views
Erythrocyte hapa chini nimekunukuu [emoji116] "Pichani ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema akiwaeleza Viongozi na wabunge wa CDU kuhusu hali ya kisiasa ilivyo nchini Tanzania , kikao hiki...
1 Reactions
30 Replies
2K Views
Kina tetesi kwamba Bashiru amekuwa na vikao vya Siri sana na viongozi wa juu wa CUF. Moja kati ya mambo waliyojadili ni mapokezi makubwa ya Bashiru Ally Kakurwa ambaye muda si punde atarejea...
11 Reactions
55 Replies
5K Views
Shirika la Ndege la Air Tanzania linatathmini hali ya Ndege zake ili kuziba pengo linalojitokeza katika kutoa huduma lililosababishwa na kusimamishwa kwa Ndege zake za Airbus A220 kutokana na...
7 Reactions
102 Replies
8K Views
Neno "Megawatt" lilikuwa halijulikani kwa ngwini wengi mpaka Kikwete alipokuwa madarakani kama Rais. Kipindi cha JK ndiyo tukajua kumbe TANESCO ni shirika linalotegemea makampuni mengine...
17 Reactions
50 Replies
3K Views
Kwa sasa hauwezi kuitofautisha CCM na Serikali Kuanzia chini hadi juu Mwenyekiti wa CCM taifa ndiye Rais wa JMT na Wenyeviti wa Serikali za mitaa Nchi ni wanachama wa CCM Kwahiyo naishauri CCM...
1 Reactions
1 Replies
304 Views
Habari ndugu zanguni. Kutokana na hali ngumu ya kimaisha ambayo Watanzania wanapitia kwa sasa( ofcourse tulitabiri hili) ni muda sasa vijana wa kitanzania wakawa Absorbed kwenye ajira za viwanda...
15 Reactions
75 Replies
3K Views
Mahubiri ya leo ikiwa ni Jumapili ya Kwanza ya kipindi cha Majilio yamenibariki sana Hivi yule Dereva wa Tundu Lisu alitowekaje Baada ya lile shambulio? Kimsingi alitakiwa aisaidie polisi...
0 Reactions
3 Replies
411 Views
Mapenzi ya mtu na nchi yake ni jambo la msingi kujenga ustawi wa Taifa bora na lenye watu wenye kuungana kuwa na nia moja ya kujenga Taifa lao na kunyanyuana bila kujali itikadi zao. Mitazamo na...
0 Reactions
5 Replies
417 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…