kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,000
- 17,909
Hivi mnafanya hivi kumkomoa mwendazake au kunufaisha mabeberu?
Mimi sikuwahi kumpenda mwendazake hadi leo na sitokuja kumpenda ila kwenye suala la madini, SGR na Bwawa la Nyerere nilimuunga mkono maana huo ni utaifa na ni suala la utaifa.
Ila kwakweli kwenye Bwawa la Nyerere mnayoyafanya yanasikitisha sana na yanaumiza moyo?Kuna wakati najiuliza mnafanya kwa faida za nani? Hivi mnamkomoa mwendazake au?
Kwasababu, Mmmnh! Watanzania wenzangu hebu nisaidieni kuelewa kitu hapa!! Mwaka 2021 ilifikikia 37% sasa tupo 2022 74%. Then tunaambiwa mpaka 2024 ndiyo likamilike! Sasa hii iko vp ndugu wadau? Kimahesabu imebaki 26% kama nipo sahihi? Swali moja kubwa na kidogo linashangaza kwanini ndani ya mwaka mmoja kazi ifanyike kwa 37% na 26% iliyobakia igarimu muda wa miaka miwili?() ️
Ukweli ni kuwa mwenye bwawa angekuwepo saivi lishawashwa ila Hawa wajanja wanaamua watupige kimya kimya tu!
Nahisi hakuna mradi mkubwa aliouacha mzee ambao umekamilika mpaka Sasa!
Hii Tanzania bado tunahitaji Rais ambaye ni katili zaidi ya Putin ndo mambo yataenda au? Huyu makamba sio mtu nzuri kabisa, narudia huyu jamaa nahisi naye sijui km ana uzalendo hata kidogo huyu jamaa nitakua wa mwisho kumuamini huyu jamaa
Najua Wanataka mradi wa Magufuli wautumie kwenye kampeni za Uchaguzi, wananchi watawakataa, wanajua hamjajenga ninyi, ni magufuli kajenga, Kama mngefahamu ni kheri Kama mngekamilisha kwa Wakati ili wananchi wauone mradi ukifanya kazi kwa wakati mwafaka na wapate huduma kwa Uharaka ikiwemo Usafiri wa Reli (SGR).
Mimi sikuwahi kumpenda magufuli, na.sitokuja kumpenda ila hili suala la SGR, Nyerere dam, na madini nilisimama nae bega kwa bega maana hayo ni maslahi ya taifa lakini kwa hili ni kama mnapambana na huyo mzee wa watu mnapambana ili tu muharibu yale mema yake machache mliyoyaacha.
Hakika Makamba kwa hili la bwawa nitazidi kukuchukia sana roho inaniuma sana imebid nipaki gari pembeni nasikia uchungu sana hadi natetemeka kwa hasira maana nina taarifa kwamba hata haya matatizo ya umeme unapata mgawo, ishu ya taifa gas/mihan unapata huko.
Kinachotia hasira unaichelewesha na kuuharibu huu mradi wa kitaifa wa Nyerere kwa maslah yako binafsi na chuki zako binafsi juu ya kilichofanyika lakini ipo siku yako inshallah mungu anawaona mjuwe mnachokifanya ni kibaya sana
Mnisamehe wakuu ila nina hasira sana.
Mimi sikuwahi kumpenda mwendazake hadi leo na sitokuja kumpenda ila kwenye suala la madini, SGR na Bwawa la Nyerere nilimuunga mkono maana huo ni utaifa na ni suala la utaifa.
Ila kwakweli kwenye Bwawa la Nyerere mnayoyafanya yanasikitisha sana na yanaumiza moyo?Kuna wakati najiuliza mnafanya kwa faida za nani? Hivi mnamkomoa mwendazake au?
Kwasababu, Mmmnh! Watanzania wenzangu hebu nisaidieni kuelewa kitu hapa!! Mwaka 2021 ilifikikia 37% sasa tupo 2022 74%. Then tunaambiwa mpaka 2024 ndiyo likamilike! Sasa hii iko vp ndugu wadau? Kimahesabu imebaki 26% kama nipo sahihi? Swali moja kubwa na kidogo linashangaza kwanini ndani ya mwaka mmoja kazi ifanyike kwa 37% na 26% iliyobakia igarimu muda wa miaka miwili?() ️
Ukweli ni kuwa mwenye bwawa angekuwepo saivi lishawashwa ila Hawa wajanja wanaamua watupige kimya kimya tu!
Nahisi hakuna mradi mkubwa aliouacha mzee ambao umekamilika mpaka Sasa!
Hii Tanzania bado tunahitaji Rais ambaye ni katili zaidi ya Putin ndo mambo yataenda au? Huyu makamba sio mtu nzuri kabisa, narudia huyu jamaa nahisi naye sijui km ana uzalendo hata kidogo huyu jamaa nitakua wa mwisho kumuamini huyu jamaa
Najua Wanataka mradi wa Magufuli wautumie kwenye kampeni za Uchaguzi, wananchi watawakataa, wanajua hamjajenga ninyi, ni magufuli kajenga, Kama mngefahamu ni kheri Kama mngekamilisha kwa Wakati ili wananchi wauone mradi ukifanya kazi kwa wakati mwafaka na wapate huduma kwa Uharaka ikiwemo Usafiri wa Reli (SGR).
Mimi sikuwahi kumpenda magufuli, na.sitokuja kumpenda ila hili suala la SGR, Nyerere dam, na madini nilisimama nae bega kwa bega maana hayo ni maslahi ya taifa lakini kwa hili ni kama mnapambana na huyo mzee wa watu mnapambana ili tu muharibu yale mema yake machache mliyoyaacha.
Hakika Makamba kwa hili la bwawa nitazidi kukuchukia sana roho inaniuma sana imebid nipaki gari pembeni nasikia uchungu sana hadi natetemeka kwa hasira maana nina taarifa kwamba hata haya matatizo ya umeme unapata mgawo, ishu ya taifa gas/mihan unapata huko.
Kinachotia hasira unaichelewesha na kuuharibu huu mradi wa kitaifa wa Nyerere kwa maslah yako binafsi na chuki zako binafsi juu ya kilichofanyika lakini ipo siku yako inshallah mungu anawaona mjuwe mnachokifanya ni kibaya sana
Mnisamehe wakuu ila nina hasira sana.