Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,762
- 71,145
CYPRIAN MUSIBA.
Huyu mtu ametufefhehesha, kututukana, kututishia akilindwa na Magufuli na kutudhalilisha sana. Sio nyie wawili tuu bali wapenda haki wote Tanzania.
Sasa Fatma na mhe.Membe mkaamua kufuata mkondo wa sheria na haki ikapatikana sio kwenu tuu bali furaha ikawa ya wote.
Sasa hukumu haitekelezwi mko kimya, hatua hamchukui kwa nini?
Tunajua hamna njaa na pengine mnaweza kusema basi yaishe maana analialia sana. Mkumbuke hiyo hukumu haikuwa yenu bali yetu sote watetea demokrasia, hivyo hata kama hamna haja na fedha zake haramu basi malipo yatakayo patikana kwa kuuza mali zake YATUMIKE KUZIPATIA UWEZO TAASISI ZA KIDEMOKRASIA.
Au kashindwa kabisa hana mali ya kukamatwa aende JELA mpuuzi huyo.
Please, Fatma Katume na mzee wetu Bernard Membe hebu fanyeni yapaswayo, Mbinguni hawaendi eti kwa kuwasamehe watu kama Cyprian Musiba.
Huyu mtu ametufefhehesha, kututukana, kututishia akilindwa na Magufuli na kutudhalilisha sana. Sio nyie wawili tuu bali wapenda haki wote Tanzania.
Sasa Fatma na mhe.Membe mkaamua kufuata mkondo wa sheria na haki ikapatikana sio kwenu tuu bali furaha ikawa ya wote.
Sasa hukumu haitekelezwi mko kimya, hatua hamchukui kwa nini?
Tunajua hamna njaa na pengine mnaweza kusema basi yaishe maana analialia sana. Mkumbuke hiyo hukumu haikuwa yenu bali yetu sote watetea demokrasia, hivyo hata kama hamna haja na fedha zake haramu basi malipo yatakayo patikana kwa kuuza mali zake YATUMIKE KUZIPATIA UWEZO TAASISI ZA KIDEMOKRASIA.
Au kashindwa kabisa hana mali ya kukamatwa aende JELA mpuuzi huyo.
Please, Fatma Katume na mzee wetu Bernard Membe hebu fanyeni yapaswayo, Mbinguni hawaendi eti kwa kuwasamehe watu kama Cyprian Musiba.