Virus wanaodaiwa kumuua Membe waliondoka na viongozi wengi miaka miwili nyuma. Madaktari wawezeshwe wafanye utafiti, tusipuuze

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
877
4,105
Nimemsikiliza Daktari wa Familia ya Mzee Membe, ameeleza kitaalam kwamba Membe alikuwa na mafua ya kawaida kwa siku tatu na mwisho kupelekea kifo chake baada ya virus kushambullia mfumo wa damu.

Hawa Virus naamini kama wameweza kufanya damu kuganda hadi kusababisha kifo watakuwa hatari sana na yawezekana awapo kwenye mataifa mengine bali wapo Tanzania.

Napendekeza watoa maamuzi wachukue hatua ya kufanya uchunguzi kuhusu sampuli za virus hao na kuona namna ya kushughulika nao.

Tusipuuze au tufanye kazi kulinda afya zetu
 
Nimemsikiliza Daktari wa Familia ya Mzee Membe, ameeleza kitaalam kwamba Membe alikuwa na mafua ya kawaida kwa siku tatu na mwisho kupelekea kifo chake baada ya virus kushambullia mfumo wa damu.

Hawa Virus naamini kama wameweza kufanya damu kuganda hadi kusababisha kifo watakuwa hatari sana na yawezekana awapo kwenye mataifa mengine bali wapo Tanzania.

Napendekeza watoa maamuzi wachukue hatua ya kufanya uchunguzi kuhusu sampuli za virus hao na kuona namna ya kushughulika nao.

Tusipuuze au tufanye kazi kulinda afya zetu
Prof kazingua !! Amejuaje kama ni virus wakati hamna sample imechukuliwa? Hii inaleta taharuki mwa madaktari na manesi waliyomhudumia na waombolezaji ! Je chanjo za covid 19 hakupata?
 
Nimemsikiliza Daktari wa Familia ya Mzee Membe, ameeleza kitaalam kwamba Membe alikuwa na mafua ya kawaida kwa siku tatu na mwisho kupelekea kifo chake baada ya virus kushambullia mfumo wa damu.

Hawa Virus naamini kama wameweza kufanya damu kuganda hadi kusababisha kifo watakuwa hatari sana na yawezekana awapo kwenye mataifa mengine bali wapo Tanzania.

Napendekeza watoa maamuzi wachukue hatua ya kufanya uchunguzi kuhusu sampuli za virus hao na kuona namna ya kushughulika nao.

Tusipuuze au tufanye kazi kulinda afya zetu
Virusi vinaitwa Sukuma gang
 
Nimemsikiliza Daktari wa Familia ya Mzee Membe, ameeleza kitaalam kwamba Membe alikuwa na mafua ya kawaida kwa siku tatu na mwisho kupelekea kifo chake baada ya virus kushambullia mfumo wa damu.

Hawa Virus naamini kama wameweza kufanya damu kuganda hadi kusababisha kifo watakuwa hatari sana na yawezekana awapo kwenye mataifa mengine bali wapo Tanzania.

Napendekeza watoa maamuzi wachukue hatua ya kufanya uchunguzi kuhusu sampuli za virus hao na kuona namna ya kushughulika nao.

Tusipuuze au tufanye kazi kulinda afya zetu
Ndugu, corona bado ipo na chanjo bado inatolewa. Haya mafua bado ni hatari. Ukiona tu wanakwambia pneumonia.....
 
Back
Top Bottom