Lowassa, Pesa unazozitumia hivi sasa utazirudishaje?

Lowassa, Pesa unazozitumia hivi sasa utazirudishaje?

Old Member (Retired)

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2012
Posts
3,401
Reaction score
1,618
Binadamu siku zote hufanya mahesabu kabla ya kufanya jambo lolote lile. Hakuna binadamu anayefanya jambo ilimradi tu, ukiona binadamu anafanya jambo ujue ana mategemeo fulani.

Kuna dalili zote kuwa ndugu Lowasa anataka kugeuza uraisi ni biashara. Kwamba ukiwa na mtaji wa laki mbili baada ya biashara kufanyika utakuwa na laki tano.

Lowasa, hizo pesa unazozitumia utarudisha vipi?

Nikipata majibu ya kuridhisha ya hili swali nakuhakikishia kukupa kura yangu pamoja na watu wote wanaonizunguka.

Hizo pesa utazirudishaje?

Posted by: MCHUNGUZI HURU (Associate Professor)
 
Last edited by a moderator:
Huko Ikulu kuna biashara gani? na je inalipiwa kodi/EFD's machine?
 
Hili ndo tatizo LA watu wenye akili ndogo.kutwa hukaa kumjadili MTU.yaaan ni aina za tabia ambazo ni za kike kike.hivi MBNA hamuwahoji hapo wengine wanaotoa misaada kila siku kua watarudishaje??hivi lowasa pekee kutoa msaada ndo imekua habari ya mjini???MBNA haujahoji amezipataje???wachaga umbea na kuchafua chafua watu kama mwanamke Malaya aliekimbiwa na bwanake.mnakela sana.kila siku lowasa lowasa.ngoja aingie ikulu mtaenda kuishi uamishoni somalia..time will tell na mtajibeba!!
 
Hili ndo tatizo LA watu wenye akili ndogo.kutwa hukaa kumjadili MTU.yaaan ni aina za tabia ambazo ni za kike kike.hivi MBNA hamuwahoji hapo wengine wanaotoa misaada kila siku kua watarudishaje??hivi lowasa pekee kutoa msaada ndo imekua habari ya mjini???MBNA haujahoji amezipataje???wachaga umbea na kuchafua chafua watu kama mwanamke Malaya aliekimbiwa na bwanake.mnakela sana.kila siku lowasa lowasa.ngoja aingie ikulu mtaenda kuishi uamishoni somalia..time will tell na mtajibeba!!

mh!... Kazi kwako mtoa mada mjibu sasa mke wa EL
 
Hili ndo tatizo LA watu wenye akili ndogo.kutwa hukaa kumjadili MTU.yaaan ni aina za tabia ambazo ni za kike kike.hivi MBNA hamuwahoji hapo wengine wanaotoa misaada kila siku kua watarudishaje??hivi lowasa pekee kutoa msaada ndo imekua habari ya mjini???MBNA haujahoji amezipataje???wachaga umbea na kuchafua chafua watu kama mwanamke Malaya aliekimbiwa na bwanake.mnakela sana.kila siku lowasa lowasa.ngoja aingie ikulu mtaenda kuishi uamishoni somalia..time will tell na mtajibeba!!

mh!... Kazi kwako mtoa mada mjibu sasa mke wa EL amechoka kuchafuliwa mme wake....
 
Akiingia ikulu watz tutakamuliwa mpaka tone la mwisho la damu maana jasho letu halitatosha kurudisha mtaji alioutumia kuingia ikulu. NOTHING GOES FOR NOTHING hiyo pesa anayoitoa anaiwekeza na lazima itamzalishia maradufu.
Nawashangaa sana watu ambao wanashindwa kujiuliza na kuling'amua hili.
 
Hee! Huyu mtu afya yake ni mbaya sana kiasi kwamba hata akigombea chama chake watakuwa wanatembea na madripu. Mwacheni apumzike.
Kama ni hivyo, kwa nini anang'ang'ania Urais? Au anataka kutuacha wajane Watanzania?
 
Lowasa akiwa Rais nitajiunga rasmi na kina Kiranga na Nyani Ngabu kutoamini uwepo wa Mungu maana huyo atakuwa Mungu Kanjanja tu na mimi siwezi kuabudu kanjanja anayeweza kubaliki mateso kwa viumbe wake, maana tumeaminishwa Mungu ni muweza wa vyote. Mimi namsubili ajidhihirishe.
 
Last edited by a moderator:
Lowasa akiwa Rais nitajiunga rasmi na kina Kiranga na Nyani Ngabu kutoamini uwepo wa Mungu maana huyo atakuwa Mungu Kanjanja tu na mimi siwezi kuabudu kanjanja anayeweza kubaliki mateso kwa viumbe wake, maana tumeaminishwa Mungu ni muweza wa vyote. Mimi namsubili ajidhihirishe.
We kaka wewe! Mbona unanichekesha sana?
 
Back
Top Bottom