Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,618
Binadamu siku zote hufanya mahesabu kabla ya kufanya jambo lolote lile. Hakuna binadamu anayefanya jambo ilimradi tu, ukiona binadamu anafanya jambo ujue ana mategemeo fulani.
Kuna dalili zote kuwa ndugu Lowasa anataka kugeuza uraisi ni biashara. Kwamba ukiwa na mtaji wa laki mbili baada ya biashara kufanyika utakuwa na laki tano.
Lowasa, hizo pesa unazozitumia utarudisha vipi?
Nikipata majibu ya kuridhisha ya hili swali nakuhakikishia kukupa kura yangu pamoja na watu wote wanaonizunguka.
Hizo pesa utazirudishaje?
Posted by: MCHUNGUZI HURU (Associate Professor)
Kuna dalili zote kuwa ndugu Lowasa anataka kugeuza uraisi ni biashara. Kwamba ukiwa na mtaji wa laki mbili baada ya biashara kufanyika utakuwa na laki tano.
Lowasa, hizo pesa unazozitumia utarudisha vipi?
Nikipata majibu ya kuridhisha ya hili swali nakuhakikishia kukupa kura yangu pamoja na watu wote wanaonizunguka.
Hizo pesa utazirudishaje?
Posted by: MCHUNGUZI HURU (Associate Professor)
Last edited by a moderator: