Kesi ya Mbowe vs Kesi ya Musiba

yvegenc prymacov

JF-Expert Member
Jan 22, 2023
1,523
1,912
Ktk kesi ya mbowe ya ugaidi,mahakama ilimkuta na kesi ya kujibu,mashabiki woote wa chadema waliilalamikia mahakama kwa kutumika kisiasa kukandamiza upinzani,wakasema mahakama za Tanzania ni hovyo kabisa na mahakimu hawana uweredi.

Lkn cha kushangaza,ktk kesi ya musiba v/s membe,wanachadema wanasema mahakama imetenda haki,na imetimiza wajibu wake sahihi kw kutafsiri sheria,
Unajiuliza,kumbe mahakama ikitimiza wajibu wake kwa chadema,inakuw ni tatizo,lkn kwa wengine ni sahihi,?
 
Hii mada yako ni mufilisi. Umelazimisha mfanano, na wakati hizo kesi zote mbili hazifanani kwa namna yoyote ile.

Bila shaka utakuwa una mafungamano na huyo Cyprian Musiba. Maana unaonekana hauko sawa. Hivyo binafsi nichukue nafasi hii kukupa tu pole kwa changamoto mnazopitia.
 
Hii mada yako ni mufilisi. Umelazimisha mfanano, na wakati hizo kesi zote mbili hazifanani kwa namna yoyote ile.

Bila shaka utakuwa una mafungamano na huyo Cyprian Musiba. Maana unaonekana hauko sawa. Hivyo binafsi nichukue nafasi hii kukupa tu pole kwa changamoto mnazopitia.
Angalia maudhui ya nilichoandika!, lkn kama wewe una msimamo wako binafsi mfukoni,ni ngumu kunielewa.
 
Ktk kesi ya mbowe ya ugaidi,mahakama ilimkuta na kesi ya kujibu,mashabiki woote wa chadema waliilalamikia mahakama kwa kutumika kisiasa kukandamiza upinzani,wakasema mahakama za Tanzania ni hovyo kabisa na mahakimu hawana uweredi.

Lkn cha kushangaza,ktk kesi ya musiba v/s membe,wanachadema wanasema mahakama imetenda haki,na imetimiza wajibu wake sahihi kw kutafsiri sheria,
Unajiuliza,kumbe mahakama ikitimiza wajibu wake kwa chadema,inakuw ni tatizo,lkn kwa wengine ni sahihi,?
KESI YA MBOWE ILIKUWA YA MCHONGO KAMA UNA AKILI TIMAMU JIULIZE KWANINI DPP HAKUIONDOA KESI KABLA MAHAKAMA HAIJAMKUTA NA KESI YA KUJIBU WAKATI HUO HUO JIULIZE KWANINI AMEIONDOA BAADA YA MAHAKAMA KUMKUTA NA KESI YA KUJIBU.KUYAJUA HAYO MPAKA UWE NA AKILI KUBWA.
 
Ktk kesi ya mbowe ya ugaidi,mahakama ilimkuta na kesi ya kujibu,mashabiki woote wa chadema waliilalamikia mahakama kwa kutumika kisiasa kukandamiza upinzani,wakasema mahakama za Tanzania ni hovyo kabisa na mahakimu hawana uweredi.

Lkn cha kushangaza,ktk kesi ya musiba v/s membe,wanachadema wanasema mahakama imetenda haki,na imetimiza wajibu wake sahihi kw kutafsiri sheria,
Unajiuliza,kumbe mahakama ikitimiza wajibu wake kwa chadema,inakuw ni tatizo,lkn kwa wengine ni sahihi,?

Wewe ni pumbu kabisa
 
Ktk kesi ya mbowe ya ugaidi,mahakama ilimkuta na kesi ya kujibu,mashabiki woote wa chadema waliilalamikia mahakama kwa kutumika kisiasa kukandamiza upinzani,wakasema mahakama za Tanzania ni hovyo kabisa na mahakimu hawana uweredi.

Lkn cha kushangaza,ktk kesi ya musiba v/s membe,wanachadema wanasema mahakama imetenda haki,na imetimiza wajibu wake sahihi kw kutafsiri sheria,
Unajiuliza,kumbe mahakama ikitimiza wajibu wake kwa chadema,inakuw ni tatizo,lkn kwa wengine ni sahihi,?
Upo sahihi. Maharamia wengi waliokuwa na wanaendelea kuendesha kampeni za Kumchafua Hayati Rais, ndio hao hao waliokuwa wakidai "Mahakama" au mkondo wa sheria hauko sawa na unatumiwa kwa matakwa ya kisiasa. Ni kweli, na ni dhahiri hawa toto propagandist ndio wanaodai leo hii kwamba Sheria na Mahakama zinafanya kazi.
Ni dhahiri mihemeko yao ilikuwa imejaa visasi pamoja na viashiria vya vita za matabaka na tamaduni. Yaani ubaguzi dhahiri dhidi ya Jamii au Kabila fulani.


Tutajua mengi mbeleni kuhusu sakata zima....kuanzia zile simu, ugaidi, usaliti n.k mpaka amri ya Mahakama kwenye jambo la hili la Membe.

isitoshe wapo wengi humu humu jamvini wanaotakiwa wawe membefied kama sio musibafied
 
Ktk kesi ya mbowe ya ugaidi,mahakama ilimkuta na kesi ya kujibu,mashabiki woote wa chadema waliilalamikia mahakama kwa kutumika kisiasa kukandamiza upinzani,wakasema mahakama za Tanzania ni hovyo kabisa na mahakimu hawana uweredi.

Lkn cha kushangaza,ktk kesi ya musiba v/s membe,wanachadema wanasema mahakama imetenda haki,na imetimiza wajibu wake sahihi kw kutafsiri sheria,
Unajiuliza,kumbe mahakama ikitimiza wajibu wake kwa chadema,inakuw ni tatizo,lkn kwa wengine ni sahihi,?
Sukuma Gang mtaacha lini upumbavu wenu? Mchangieni taahira mwenzenu musiba badala ya kutujazia server kwa mabandiko yenu ya kijuha.
 
Ktk kesi ya mbowe ya ugaidi,mahakama ilimkuta na kesi ya kujibu,mashabiki woote wa chadema waliilalamikia mahakama kwa kutumika kisiasa kukandamiza upinzani,wakasema mahakama za Tanzania ni hovyo kabisa na mahakimu hawana uweredi.

Lkn cha kushangaza,ktk kesi ya musiba v/s membe,wanachadema wanasema mahakama imetenda haki,na imetimiza wajibu wake sahihi kw kutafsiri sheria,
Unajiuliza,kumbe mahakama ikitimiza wajibu wake kwa chadema,inakuw ni tatizo,lkn kwa wengine ni sahihi,?
Hivi wewe kashfa na matusi ya Musiba ulihitaji mpk Mahakama ukitafsirie kweli!
Ukiingia YouTube ht ss hv utasikia kashfa hizo
 
Ktk kesi ya mbowe ya ugaidi,mahakama ilimkuta na kesi ya kujibu,mashabiki woote wa chadema waliilalamikia mahakama kwa kutumika kisiasa kukandamiza upinzani,wakasema mahakama za Tanzania ni hovyo kabisa na mahakimu hawana uweredi.

Lkn cha kushangaza,ktk kesi ya musiba v/s membe,wanachadema wanasema mahakama imetenda haki,na imetimiza wajibu wake sahihi kw kutafsiri sheria,
Unajiuliza,kumbe mahakama ikitimiza wajibu wake kwa chadema,inakuw ni tatizo,lkn kwa wengine ni sahihi,?
Kesi ya Mbowe ni jinai na kesi ya misiba ni madai.
 
Ktk kesi ya mbowe ya ugaidi,mahakama ilimkuta na kesi ya kujibu,mashabiki woote wa chadema waliilalamikia mahakama kwa kutumika kisiasa kukandamiza upinzani,wakasema mahakama za Tanzania ni hovyo kabisa na mahakimu hawana uweredi.

Lkn cha kushangaza,ktk kesi ya musiba v/s membe,wanachadema wanasema mahakama imetenda haki,na imetimiza wajibu wake sahihi kw kutafsiri sheria,
Unajiuliza,kumbe mahakama ikitimiza wajibu wake kwa chadema,inakuw ni tatizo,lkn kwa wengine ni sahihi,?
Unatumia akili ya aina gani kutofautisha haya mambo.
Mimi sio mfuasi wa upande wowote ila unadhani aliyekuwa anayafanya Musiba Nani alikuwa Nyuma yake! Ilikuwaaje akajiamini hivyo! Baada ya kuondokewa na aliyekuwepo mbona alikaa kimya utata!?!?
 
Upo sahihi. Maharamia wengi waliokuwa na wanaendelea kuendesha kampeni za Kumchafua Hayati Rais, ndio hao hao waliokuwa wakidai "Mahakama" au mkondo wa sheria hauko sawa na unatumiwa kwa matakwa ya kisiasa. Ni kweli, na ni dhahiri hawa toto propagandist ndio wanaodai leo hii kwamba Sheria na Mahakama zinafanya kazi.
Ni dhahiri mihemeko yao ilikuwa imejaa visasi pamoja na viashiria vya vita za matabaka na tamaduni. Yaani ubaguzi dhahiri dhidi ya Jamii au Kabila fulani.


Tutajua mengi mbeleni kuhusu sakata zima....kuanzia zile simu, ugaidi, usaliti n.k mpaka amri ya Mahakama kwenye jambo la hili la Membe.

isitoshe wapo wengi humu humu jamvini wanaotakiwa wawe membefied kama sio musibafied
Na huo ndio ukweli mkuu,huu ni mwendelezo wa vita kati ya wema na waovu.wapigaji na wapugwaji,musiba anachukiwa si kwa kauli zake tu,bali anachukiwa kwa sababu alikuwa anamtetea jpm,

Lkn pia angalia chadema namna walivyoshangilia pindi mbowe alipoachiwa huru,walisema mahakama imetenda haki,japo mbowe hakuachiwa na mahakama. Na ujionee mwenyewe baada ya sabaya kushinda kesi zake nyingi,chadema waliitukana mahakama matusi yoote kisa tu sabaya kaachiwa,hivyo unagundua hoja sio haki,hoja ni nani kapewa hiyo haki.
 
Musiba alikuwa anatukana watu hadharani, alikuwa anatishia kuua hadharani na mengine mengi aliyafanya hadharani kupitia gazeti vyombo vyake vya habari.
 
unagundua hoja sio haki,hoja ni nani kapewa hiyo haki.
Hapo mkuu Umehitimisha. Ndilo suala lenyewe. Vilevile ndipo unapoona wanawahusisha watu wote wanaodai "Mahakama imesukumwa? kiaina" kuwa ni "Wasukuma" as in reference to Hayati Rais J.P.M. Haijalishi, watapindisha kila kitu, watatumia kila mbinu(mbinu yao kubwa ni matusi) kukuondoa kujadili unaloliona halijakaa sawa katika sakata hili. Siulizi kimzahaha mzaha je,kuna mikono mirefu na mifuko mirefu kwenye suala hili...ukumbuke pia vyama hivi mbadala wamekiri kuwa "wasirudi kutengeneza mazingira kama waliyokuwa wametengeneza wakati wa J.P.M...kwa hayo unaweza kutoa tafsiri lukuki...je, haya ni maendelezo au ni hitimisho la "mazingira" hayo? ni uthibitisho, kitu ambacho huwa kinajitokeza baada ya muda tu... Tutajua huko mbele. Sasa,kuna watu wanatumika vibaya? Ni nani haswa anayejaribu na aliyekuwa anajaribu kuweka taswira ya "hatuna imani" na "tunayo imani" How extensive is the web?
Nisijichoshe,
narudia, Asijifiche mtu kwenye chaka la maridhiano. Kitaeleweka.
 
Lakini zote zilitolewa hukumu na mahakama. Kwa nini hukumu dhidi ya Mbowe iwe si sawa na ya Musiba iwe sawa kamq sio unafiki ni nini,?
Kwenye mahakama Kuna tofauti ya judgment na Rulling. Judgment ni baada

Kwanza kesi ya Musiba imetolewa Judgment yani maamuzi ya mwisho baada ya ushahidi wote kusikilizwa. Kwa maana kesi ya Musiba ilisikilizwa yote na ushahidi kuchambuliwa na hukumu kutolewa.

Pili kesi ya Mbowe imetolewa Rulling, maana yake maamuzi madogo ndani ya kesi. Kwenye kesi ya Mbowe mahakama haikutia hatiani bali ilitoa rulling ya case to answer , maana yake maamuzi madogo ndani ya kesi ya jinai ya kumruhusu Mshitakiwa kujibu tuhuma dhidi yake na kubatilisha ushahidi uliotolewa.
 
Back
Top Bottom