johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,112
Ubinafsi wa vyama vya Siasa umebainika leo wakati Zitto Kabwe alipotumia Muda wa salamu za vyama vya Upinzani kwa family ya Membe kutoa salam zake Binafsi na kuwafanya Godbless Lema wa Chadema na mzee Cheyo wa UDP kushikwa na mshangao
Zitto alisema " nimeambiwa nitoe salamu za vyama vya Upinzani lakini mimi natoa salamu Zangu Binafsi kwa sababu sijaagizwa na vyama kuvisemea'
Baada ya hapo ndio Msibani pakageuka eneo la mafumbo
Rip Membe
Zitto alisema " nimeambiwa nitoe salamu za vyama vya Upinzani lakini mimi natoa salamu Zangu Binafsi kwa sababu sijaagizwa na vyama kuvisemea'
Baada ya hapo ndio Msibani pakageuka eneo la mafumbo
Rip Membe