Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akihutubia Wananchi wa Kizimkazi, Zanzibar leo Agosti 13, 2026, wakati akizindua rasmi Mradi wa Maji wa Kizimkazi, amesisitiza...
0 Reactions
4 Replies
116 Views
Binafsi naamini Samia ndio kinara na master mind wa madhila yote ya utekaji wa watu na hizi ndio sababu zangu. Alitekwa mdude akakaa kimya Alitekwa mzee kibao akatoa kauli ya kejeli. Alitekwa...
7 Reactions
17 Replies
212 Views
Akizunguma kwenye mahojiano na M & S podcast yaliyorushwa Agosti 13, 2026, Mbunge wa Jimbo la Tarime Vijijini, Mwita Waitara amesema Ripoti nyingi zinaonyesha tatizo kubwa la nchi hii ni rushwa...
0 Reactions
4 Replies
97 Views
Nimekuwa najiuliza hivi huwa mwenyekiti wa CCM taifa anapatikanaje Ni kina nani hupiga kura na ni kipindi gani huchaguliwa nijuzeni wagombea huchukua fomu kwa nan na ni nani msimamizi wa uchaguzi
1 Reactions
8 Replies
93 Views
Watu ukikosoa wanasema kisa mi si muislamu ndo maana namkosoa Samia, Kwamba hata Jakaya nilimkosoa ila Magufuli hapana! Kama kuna mtu alimlaza Magufuli basi alikuwa Mimi, na kule twitter...
2 Reactions
13 Replies
344 Views
Ukiuliza Wanasias wengi,Vyama vyote, Kipi unakisimamia Moyoni Mwako? Jambo gani umeweza kulisimamia kama Mwanasiasa katika Maisha yako bila kuyumba utakosa majibu! Ukisikia wanasiasa wanaongea...
1 Reactions
5 Replies
29 Views
1/ Kuna kitu kinashangaza wengi kwenye forum yetu. Mwanachama wa CCM anayeitwa BRITANICCA amekuwa gumzo. 2/ BRITANICCA ni mwanachama wa chama tawala CCM. Lakini kazi yake kubwa ni kukosoa...
15 Reactions
33 Replies
607 Views
Ukimsikiliza kwa makini Heche anaeleweka sana. Amejenga ushawishi mkubwa sana hapa Tanzania. Ni hakika Heche ni tatizo la CCM. Ni Hakika Heche ni Tunu ya Taifa. Vigogo wa Chadema mliojipanga...
22 Reactions
38 Replies
679 Views
LIssu anasoma magazeti kama mshtakiwa wa kisiasa. Anajua fitina zinazoendelea. Lissu anajua mapandikizi ya Serikali ya CCM walioko kwenye chama chake. Kauli aliyomwambia Heche mahakamani kwamba...
0 Reactions
1 Replies
155 Views
The late Tanzanian president John Pombe Magufuli. (Photo: Flickr / GCIS) Tundu AM Lissu Africa did not mourn the passing of Idi Amin, Bokassa, Mobutu Sese Seko or, more recently, Robert...
44 Reactions
299 Replies
22K Views
Mbunge wa Jimbo la Tarime Vijijini, Mwita Waitara, ameweka wazi kuwa uamuzi wake wa kuhama kutoka chama cha upinzani (CHADEMA) na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) mwaka 2018 haukusukumwa na...
1 Reactions
9 Replies
162 Views
Picha: Huyu ndiye Amini Said Mahamba halisi ambaye ni marehemu. Alikuwa Askari Polisi ktk cheo cha SACP. ================= Ikumbukwe kwamba kumekuwa na minong’ono mingi kuhusu shahidi huyu...
22 Reactions
44 Replies
1K Views
Iko kwenye list ya bank zilizofilisika, cha kushangaza yenyewe tu ndo imepandishwa kwenye zinazouzwa kumbe ni mchezo wanasiasa wanachakata kupitishia Pesa za seyschekkes yote Pili Kikwete...
39 Reactions
100 Replies
3K Views
Akizungumza katika mahojiano na M & S Podcast yaliyorushwa Agosti 12, 2026, Mbunge wa Jimbo la Tarime Vijijini, Mwita Waitara, amefunguka kuhusu mambo yaliyokuwa yakiendelea ndani ya Chama cha...
0 Reactions
1 Replies
54 Views
Mwandishi Khalifa Said ni miongoni mwa sauti chache katika uandishi wa habari wa Tanzania wanaochanganya taaluma, uadilifu na ujasiri wa kusema ukweli. Ameendelea kujenga nafasi ya uandishi...
36 Reactions
61 Replies
2K Views
Dhambi kubwa aliyofanya Nyererew ni kuiacha katiba ambayo mwenyewe kwa kinywa chake alisema katiba hii akiipata dictator, ataumiza sana watu/ WATANZANIA/WATANGANYIKA. Kwa vile ilikuwa inampa...
8 Reactions
44 Replies
1K Views
Kuna dalili jamaa akaachiwa HURU Mama kaamua kuwa mzazi ,,,uongozi kauweka pembeni ..... Tuendelee kuvuta subira
11 Reactions
74 Replies
1K Views
Tanzania ni miongoni mwa serikali 67 kati ya serikali 139 na taasisi moja zilizotathminiwa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani ambazo hazikufikia viwango vya chini vya uwazi wa fedha (Fiscal...
5 Reactions
8 Replies
147 Views
HII NAYO NI MUHIMU MNO 1. Magufuli udikteta wako haisaidii maana Sisi sote ni Nyama ipo siku utaondoka tena yawezekana hujamaliza muhula ujao kwakuwa Hakuna anayejua ya Mungu 2. Rejesha pesa za...
38 Reactions
98 Replies
11K Views
John Heche Makamu Mwenyekiti wa Chadema bara, akizungumza na Vijana wa Chama hicho Mjini Dodoma leo Jumatano amesema Taifa linaangamizwa na watu wasio na maarifa wanaogopa hadi Tiktok...
7 Reactions
10 Replies
168 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…