Team Samia Suluhu Hassan was not observed during general meeting kosa ni kuwa Chongolo umefeli kutengeneza team Mama kwenye huu uchaguzi sijui ulikua unafanya nini maybe you don't know your power...
Pamoja na kwamba Taifa la Norway lina kiwango kikubwa cha gesi linategemea kwa kiasi kikubwa umeme wa maji (Hydroelectric power)
Kwenye suala la umeme uchaguzi wa kutumia umeme wa maji...
Huyu Mzee anaamini mwanaye January Makamba ni presidential material. Shida Mzee hajui kuchagua cha kuongea kwenye halaiki.
Kwa kufanya hivyo anajikuta akimtengenezea mwanaye maadui yeye akijua...
Matukio mawili yaliyo jitokeza kwenye huo mkutano mkuu wenu yameonyesha wazee mastaafu aina ya Makamba hawapo ndani ya CCM kukusaidia bali kulinda maslahi yao na watoto wao kwa kutumia style za...
Huyu kijana mwenye uhusiano mzuri na watumishi wa nyumba za ibada na na anyeng'aa kila wizara anayopelekwa je ndio afuataye?
Moja ya vipimo vya mtu kujua kama anakubalika ama laa huwa ni...
Ni vyema tukubali kuwa kazi inaendelea. Miradi mikakati inakwenda vizuri. Mfano daraja la Wami limekamilika. Sgr kipande cha Dar Moro kipo tayari na na kitaleta mabadiliko ya maisha kwa wananchi...
Napenda nimpe moyo na nguvu ya kuendeleza kazi Rais Wetu mama Samia Suluhu,lakini pia naamini atakuwa amejifunza ndani ya siku hizi chache kuwa ni nani wazalendo wa kweli na ni nani ni chawa...
Mchungaji Lusekelo amesema haelewi Chanzo cha mvurugano wa Shehe wa Mkoa alhad Salum na Dr Mwaka ambaye ni mganga.
Lusekelo amesema kimsingi Biblia imekataza Mkristo kuombewa na Mtu wa Dini...
Mwenyekiti wa CCM Rais Samia amesema pamezuka nongwa za hapa na pale ndani ya Chama Tawala hivyo ni lazima tujirekebishe
Kuna Wanaccm ambao wamekulia ndani ya Chama hawa hawawezi kukidhuru chama...
Hawa wawili Dr Bashiru Ally na Dr Wilson Mukama ndio makatibu wakuu wa CCM waliojaliwa PhD.
Wengine akina Kawawa, Kolimba, Gama, Kinana, Makamba nk...nk ni wasomi wa kawaida siyo wabobezi labda...
Tuliosikiliza mistari ya Mwenyekiti na kumuelewa tumepata ujumbe wa kishujaa kwa miaka zaidi ya 100 ijayo.
Tumepata fikra mpya yaani kuuendeleza Msingi na muhimili wa Taifa hili ambao ni Ujamaa na...
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Tulia Ackson amewataka vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) kutumia nafasi zao kubishana kwa hoja na kuendelea kudumisha amani ,umoja na...
Kila ifikapo mwezi wa 12/09 tunasherekea uhuru kutoka kwa mkoloni mzungu lakini tukiwa watumwa wa fikra zetu dhaifu pamoja na sheria+mifumo mibovu tuliojiwekea.
Tupambane sasa siku moja...
Jana wakati wa matokeo ya uenyekiti kura ya hapana ilikua ni moja.
Ila leo aliposimama Rais Dkt. Shein ambaye alikuwa akisimamia zoezi la uchaguzi alisema alishangazwa na WATATU waliopiga Kura ya...
Kwa kawaida tunasema"Chema hakidumu"
Mzee wangu kusema Viongozi wazuri hawafi ni uongo mtupu.
Hii ni njia inayotumika sana na WALAMBA ASALI ili kumpumbaza Mama, na hivyo aendelee kuwapa nyadhifa...
Tumeonya mara nyingi sana humu kwamba CCM inao wenyewe, lakini tumekuwa kama tunampigia mbuzi Gitaa, wengi wametuona kama tumechanganyikiwa.
Vijana wengi waliamini kwamba wakivaa tu yale manguo...
Leo mnakula Bata, mnatanua mnavyotaka, mnatudharau watoto wa wanyonge wa nchi hii, na wengine mnatupiga, mnatufunga na hata kutuua kama wanyama Kwa sababu ya majina ya wazazi wenu.
Viongozi wengi...
Ni aibu kwa taifa na kwa Serikali Rais kutoa maneno ya kijembe hadharani ya kusema kwamba anayekijua chama hawezi kuwa na Nongwanongwa kwa kusema hadharani hii maana yake ni kwamba maovu yote kwa...
MAGUFULI NA UHURU WA TANZANIA, MAADUI WA NCHI NI NANI?
Na, Robert Heriel.
Leo ni kumbukizi ya sherehe ya uhuru wa nchi yetu ambapo hapo awali ilifahamika kama Tanganyika kabla ya kuungana na...