Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,800
- 71,222
Matukio mawili yaliyo jitokeza kwenye huo mkutano mkuu wenu yameonyesha wazee mastaafu aina ya Makamba hawapo ndani ya CCM kukusaidia bali kulinda maslahi yao na watoto wao kwa kutumia style za uchawa wanazotumia hasa wasanii.
1. Alipokuwa nje ya ukumbi akihojiwa na waandishi, lilipofika suala muhimu la umeme akapandwa na jazba za wazi kuonyesha kumlinda mwanae badala ya kutumia busara kulielezea na jinsi ccm itakavyo isaidia serikali kutafuta utatuzi. Yeye kafanya ni la familia kwa sababu ya mlo wa January na mfanya biashara wa majenereta Mwamvita.
2. Pamoja na Magufuli kuwa na matatizo yake (hasa nje ya ccm) Makamba hakupaswa kutamka maneno mabaya kama yale kuwa wema hawafi katika kipindi hiki kifupi ambacho ndio umeingia madarakani baada ya mtangulizi wako KUFA. Tena mbele ya mjane wa marehemu, watu wa kanda ya ziwa alikototea mtangulizi wako nk.
Hakuna aliye shindwa kuelewa kuwa alilengwa Magufuli na kwa vile yeye anamuona mbaya kwake kwani alikataa unafiki wake na ujanja ujanja wa mwanae January.
Ni vile tuu busara za mwenyekiti zilitumika ku sawazisha kauli ile lakini Chama kilikuwa kinasamvaratikia kauli ile baada ya mkutano kwisha.
Huyu mzee ni wa kukaa naye kwa machale, na mbaya zaidi katika hali ya kawaida kuna sifa ya Wasambaa kuwa ni wapenda majungu na unafiki. Najua sio wote lakini majority wako hivyo ni asili yao tuu.
Anyway, kama atasikilizwa basi iwe huko ndani ya CCM yenu ila kama Rais na taasisi hiyo ya kitaifa wajiepushe naye huyo mzee mchumia tumbo maana huyo anayemlinda January ni mtumishi wa umma na uzembe wake unaumiza taifa.
1. Alipokuwa nje ya ukumbi akihojiwa na waandishi, lilipofika suala muhimu la umeme akapandwa na jazba za wazi kuonyesha kumlinda mwanae badala ya kutumia busara kulielezea na jinsi ccm itakavyo isaidia serikali kutafuta utatuzi. Yeye kafanya ni la familia kwa sababu ya mlo wa January na mfanya biashara wa majenereta Mwamvita.
2. Pamoja na Magufuli kuwa na matatizo yake (hasa nje ya ccm) Makamba hakupaswa kutamka maneno mabaya kama yale kuwa wema hawafi katika kipindi hiki kifupi ambacho ndio umeingia madarakani baada ya mtangulizi wako KUFA. Tena mbele ya mjane wa marehemu, watu wa kanda ya ziwa alikototea mtangulizi wako nk.
Hakuna aliye shindwa kuelewa kuwa alilengwa Magufuli na kwa vile yeye anamuona mbaya kwake kwani alikataa unafiki wake na ujanja ujanja wa mwanae January.
Ni vile tuu busara za mwenyekiti zilitumika ku sawazisha kauli ile lakini Chama kilikuwa kinasamvaratikia kauli ile baada ya mkutano kwisha.
Huyu mzee ni wa kukaa naye kwa machale, na mbaya zaidi katika hali ya kawaida kuna sifa ya Wasambaa kuwa ni wapenda majungu na unafiki. Najua sio wote lakini majority wako hivyo ni asili yao tuu.
Anyway, kama atasikilizwa basi iwe huko ndani ya CCM yenu ila kama Rais na taasisi hiyo ya kitaifa wajiepushe naye huyo mzee mchumia tumbo maana huyo anayemlinda January ni mtumishi wa umma na uzembe wake unaumiza taifa.