Mzee Makamba, Kama unataka January awe Rais chunga ulimi wako usimharibie

Freed Freed

JF-Expert Member
Jun 27, 2017
6,232
6,479
Huyu Mzee anaamini mwanaye January Makamba ni presidential material. Shida Mzee hajui kuchagua cha kuongea kwenye halaiki.

Kwa kufanya hivyo anajikuta akimtengenezea mwanaye maadui yeye akijua anamjenga na kumuandalia njia kupitia wakubwa.

Mzee Makamba Kama unataka January awe Rais wa Tanzania chunga ulimi wako usimharibie.
 
CCM hawataki Makamba, nimeangalia kura zao kwenye huo uchaguzi ni wazi kama sio bahasha kuna wapwa wasingetoboa, hembu tazama mpaka Msukuma kamlambisha mchanga presida material
Screenshot_20221208_173146_Twitter.jpg
 
Huyu Mzee anaamini mwanaye January Makamba ni presidential material. Shida Mzee hajui kuchagua cha kuongea kwenye halaiki.

Kwa kufanya hivyo anajikuta akimtengenezea mwanaye maadui yeye akijua anamjenga na kumuandalia njia kupitia wakubwa.

Mzee Makamba Kama unataka January awe Rais wa Tanzania chunga ulimi wako usimharibie.
January Makamba awe rais?
 
Huyu Mzee anaamini mwanaye January Makamba ni presidential material. Shida Mzee hajui kuchagua cha kuongea kwenye halaiki.

Kwa kufanya hivyo anajikuta akimtengenezea mwanaye maadui yeye akijua anamjenga na kumuandalia njia kupitia wakubwa.

Mzee Makamba Kama unataka January awe Rais wa Tanzania chunga ulimi wako usimharibie.


Kaharibu nini??
 
Huyu Mzee anaamini mwanaye January Makamba ni presidential material. Shida Mzee hajui kuchagua cha kuongea kwenye halaiki.

Kwa kufanya hivyo anajikuta akimtengenezea mwanaye maadui yeye akijua anamjenga na kumuandalia njia kupitia wakubwa.

Mzee Makamba Kama unataka January awe Rais wa Tanzania chunga ulimi wako usimharibie.
Tanzania hakuna uchaguzi. Hivyo Makamba atakuwa rais upende usipende. Makamba the next president.
 
Huyu Mzee anaamini mwanaye January Makamba ni presidential material. Shida Mzee hajui kuchagua cha kuongea kwenye halaiki.

Kwa kufanya hivyo anajikuta akimtengenezea mwanaye maadui yeye akijua anamjenga na kumuandalia njia kupitia wakubwa.

Mzee Makamba Kama unataka January awe Rais wa Tanzania chunga ulimi wako usimharibie.
makambajr ni overrated.
 
Tanzania hakuna uchaguzi. Hivyo Makamba atakuwa rais upende usipende. Makamba the next president.
Sio rahisi hivyo. Kikwete alikuwa anajua kabisa baada ya Mkapa ni yeye ila 2005 alipita kwa mbinde. CCM sio CHADEMA ambao hadi wakati wa uchaguzi mwenyekiti anaweza badili jina la mgombea na kumweka anayetaka yeye.
 
Cha ajabu kasoma na kupata masters degree in cnflicts resolution yaani usuluhishi wa migogoro.
Aanze na gogoro la mitihani, ningekuwa mwandishi wa habari ningemfuata na kumuuliza anadhani serikali ichukue hatua gani kuzuia wizi wa mitihani
 
Back
Top Bottom